Kumbe na sie tumekuwa wa hovyo tu!🤣🤣 hem mseme huyo mzee wa hovyo nimuweke kikao!Wazee wa humu mna macho juu juu sana,hamtulii🤣🤣🤣🤣
Kuna mdaku ameanzisha uzi, eti kaongea na the bold kutuletea alivyosema.Mbona hamna shida? Mpaka naleta hii maana yake najua ninachokifanya.
Usikufe Babu darling,mi nimejaa tele...Nimekumisi hadi nakaribia kukufa 😜
Heri ya mwaka mpya 2024 kwako pia.
Mungu mwenyezi, atupe kibali cha kuingia mwaka mpya 2024 sote na tuwapendao
Cheers 🥂
Sio vitu vyangu kabisa hivi, nimekutana na uzi trending nikajikuta nimefungua ila sielewi kitu ,Jf pana sana kumbe.Ninao basi...nimeshangaa tu kukuona hapa
Sio kwamba kabadilisha uhusika tu? Mambo ya humu yalivyo, hata kivuli chako kikwepe/usikiamini🤣🤣Halafu ss sikujua km kanieoewa au vipi nikawa naogopa, akinipa huyu nitaumia sbb nampenda!
Nikaamua nisimpe,Bora niumie sijampa kuliko niumie Kwa vyote ,kumpa na kuachwa🤣🤣🤣
Halafu Sina hakika km kaoa maana sioni ht dalili labda km kaamua kutoweka mambo yake kwenye Mitandao, ngoja nimcheki🏃🏃🏃🏃😂😂
Nikiweka 🆔 yake hapa utashangaa sn,sahivi hayupo active sn km zamani ila yupo
Nimeipenda hii...."Kuvunjika kwa koleo, sio mwisho wa uhunzi". ZINGATIA.
Halafu hizi username mnazobadili mnatuchanganya wajameni [emoji1787][emoji1787][emoji1787] hadi nimefuatilia profile ndio nimekujua, aisee hata sikufikiriaNgoja nikupigie
No si Ile Ile?
Kama ulivyotabiri page ya 45 sasa ,hii inchi ina kitu itafika mbali..Ngoja na mimi niweke comment maana huu uzi utakuwa mrefu sana
Tunashukuru kwa taarifa huu ndiyo uungwana
I mean no malice to nobody 🤒🤒, amani tu😀Wewe huyo🤣🤣🤣
😂Nani huyo kapoteza shilling?
Ni kweli huwa sikuoni mitaa kama hii. Mwaka ukawe mwema kwako piaSio vitu vyangu kabisa hivi, nimekutana na uzi trending nikajikuta nimefungua ila sielewi kitu ,Jf pana sana kumbe.
KheriYaMwakaMpya Khantwe.
Haya mambo yako ndio siyatakagi Mimi🤣🤣🤣🤣Ndio maana nakuitaga mchuzi bado wa motooo unywe supu we unatokea baada ya masaa SITA watu washakula nyama zote bakuli linaenda kuoshwa.🤣🤣🤣
Ndo kwanza nawaza kwenda church hapa nimechoka
Na Kuna kukesha plus ushirika wa meza ya Bwana.
Kulikuwa na nn jmn,khaa jf🙌🤔
Wacha weeee,kwani hamuwezi kuendelea mlipoishia🤣🤣🤣?😂
Wote tulipoteza
Duh ,mpk kazini kwake nilikuwa naenda, kwenye Ile wizara🙌🙌
Au basi......
Siwezi kumtaja , nampenda wasije waja wakaanza kumtafuta Bure😂
Kama kweli vile😂😀😀, akati una puliza Moshi 😂😀😀🤣 Ulikuwa kwenye maombi Nini mama mtumishi?watu humu nusu wararuane nguo nikakaza kunena sasa wamepoa amani imetawala
Amen MjukuuUsikufe Babu darling,mi nimejaa tele...
Amina ikawe heri kwetu site tuoone mwaka salama,,,
Mfikishishie bibi salam za upendo mkuu wa agape!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] nimeona pale juu, hongera mwaya unatoa kitu unaweka kituSipo single mpenzi, nishanyakuliwa [emoji1787][emoji1787]
Hapana yupoSio kwamba kabadilisha uhusika tu? Mambo ya humu yalivyo, hata kivuli chako kikwepe/usikiamini🤣🤣
We mzee si mumroge arteta, ana zingua kinyama😂😀🤒Amen Mjukuu
Bibi yako atafurahi sana kupokea salamu zako
Kwa kuwa kesho ni mwaka mpya ngoja nikutumie yule jogoo mkubwa umfanye kitoweo wakati ukifurahia sikukuu yako...
Enjoy 🥂