Mbona unanipa kimuhemuhe cha kutaka kumjua 'The Guy'. Sio kwa sifa hizi anazomwagiwaAah the guy he is very handsome,I mean handsome mpk sio vzr
Sitaki kutumia moyo ,Nina roho ndogo[emoji1787][emoji1787]
Hahaha, niko vizuri kwenye usuluhishi...🤣mwaka unatakiwa kuanza na vibe la mahaba!🤣🤣🤣🤣Vikao Tena,unataka kunipa ugonjwa wa Figo legend nivimbe miguu nife....mi nataka amani tu uzee wangu
Aaah aahKuna mdaku ameanzisha uzi, eti kaongea na the bold kutuletea alivyosema.
Hata mi nimeukuta sio muda🙌Mtanange Umeanza tangu saa moja huu😂😂😂
Uko nyuma ya muda wewe🤣🤣🤣🤣watu washaongea wamechokaaaa
Sanaa🤣🤣🤣Haya mi nimeukuta sio muda🙌
Nimepitwa🤣🤣
Jf ya moto sikuhizi
Watakuchapia, sura personal zina afadhali...🤣Aah the guy he is very handsome,I mean handsome mpk sio vzr
Sitaki kutumia moyo ,Nina roho ndogo🤣🤣
Kweli Upare sio lazima uzaliwe milimani 😜🙌Cheers Babu,🥂🥂🥂 ila nisaidie kumuuza huyo kitoweo unitumie hizi shekeli zitakazopatikana🤣
Mie wa kupita kimya uweeeh! Hata Dunia nzima iunganee hahahaaa..
Who's lucky dude jamani🥰🥰??Aah the guy he is very handsome,I mean handsome mpk sio vzr
Sitaki kutumia moyo ,Nina roho ndogo🤣🤣
Kwa hiyo tayana anasemaje sasa🤣🤣Halafu tamu ya dada mlokole ujue?
Arteta ni bwege😀😂😂😂, atokee tu.Arteta amefanya hadi Bibi yako leo nipoteze hamu ya kumsalimia....
Ameniharibia mood kabisa 🙌
Watakuchapia, sura personal zina afadhali...
🤣NaogopaWatakuchapia, sura personal zina afadhali...🤣
Ni hatariiiiWho's lucky dude jamani🥰🥰?
Endelea kuogopa watu wanajipakulia minyama..🤣Naogopa
Hata mi nimeukuta sio muda🙌
Nimepitwa🤣🤣
Jf ya moto sikuhizi