Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂Mie wa kupita kimya uweeeh! Hata Dunia nzima iunganee hahahaaa..
Heko kwa Nifah
Lakini tumpe muda...mwenzake 10hag kule ndiyo yupo taabani hata haijulikani mchezo wanaocheza 😜Arteta ni bwege😀😂😂😂, atokee tu.
🤣🤣🤣🤣Babu upare ni lazima Kwa mustakabali wa Taifa....nimekutumia tayari PM babuKweli Upare sio lazima uzaliwe milimani 😜🙌
Haya nipage hiyo namba ya kukutumia hizo shekeli maana mjukuu ni wangu mwenyewe nitafanyaje sasa 😅
🥂
Balaa na nusu!😇Ni hatariiii
Namaanisha ni hatari
Bwana atanipa mwingine 😂Endelea kuogopa watu wanajipakulia minyama..
Ni hatariiiiBalaa na nusu!😇
Upite kimya kwa kumuogopa nani mama mchungaji weeeh!
Lazima atatoa tamu tu maana sifa alizomwagiwa huyu jamaa shetani mwenyewe kaaibika Yuko anashangaashangaa🤣Kwa hiyo tayana anasemaje sasa🤣🤣
Umenyanyua mikono juu? Handsome wanasemekana eti, eti wao ni malaya sana...halafu hawapendi kuzama..hahaha joking!Bwana atanipa mwingine 😂
Jicho ndio km jichoKupeana macho tena doh!
Naona naona😂Upite kimya kwa kumuogopa nani mama mchungaji weeeh!
Karibu tupate ubuyu toka kwa Nifah hapaa!
Watu wanaona kama ni kitu cha kufanyia jokes....sio poaKuna mdaku ameanzisha uzi, eti kaongea na the bold kutuletea alivyosema.
Ulijaaga kwa jamaa kizembe sana ,[emoji23]View attachment 2858656
Mapenzi kama yalivyo mambo mengine yana mwanzo na mwisho pia. Ni wachache waliobarikiwa na wenye bahati katika mapenzi huishia pamoja kwa kudumu milele hadi kifo kuwatenganisha, Huku wengi wakiishia njiani na hakuna ubaya katika hilo. Ndio maisha na mapenzi…. Ni safari isiyotabirika.
Miaka kadhaa iliyopita nilipata kuingia katika mapenzi yaliyofahamika na wengi hapa jamvini.
Hivyo basi, kwa kuwa mapenzi yale hayapo tena, imeniwia vyema kurudi tena hapa kuweka hilo wazi.
Tulikuwa na malengo ya kufika mbali, lakini kutokana na kutofautiana katika mambo mengi tulishindwa hata kufikia hatua za kuyarasimisha mahusiano yetu kuwa halali.
Tulitengana rasmi mwezi August mwaka huu 2023, na kutokana na hilo pengine huenda yakawa ndio mahusiano yangu ya mwisho kuyaweka wazi.
Mapenzi ya wazi hapa yamenipa wakati mgumu kujibu mamia ya wanachama waliokuwa wakihoji endapo bado tupo pamoja, na ndio sababu kuu naweka uzi huu kuwafahamisha wote kwa pamoja, hatupo tena katika mahusiano.
Tumeachana kwa amani, na kwa dhati kabisa namtakia kheri katika maisha mapya bila ya uwepo wangu kwa aliyekuwa mwenzangu.
Nifah
Nili kuwa nasoma, watu Waki raruana mithili ya mapanga ya kikorea 😂😀Kumbe nawe mdau?