Nifah: Rasmi, Mimi & The Bold tumeachana

Aisee hapo wanafeli sana kushindwa kuzama,,,uhandsome wao unakuwa kazi bureeeee🤣🤣🤣🤣🤣wanakuwa hata hawasisimui hata ukiwaangalia🏃🏃🏃
🤣🤣🤣nilisema hivyo manake najua mama mchungaji pamoja na kuimba vizuri anapenda sana vigelegele kunako😀😀😀
 
Thanks

Siwezi kusema tofauti na nilichokisema hapa, wengi wamenitafuta kwa kila namna ila nimeshikilia msimamo huuhuu.

Mapenzi yakiisha sio vita, ni vyema kuheshimu zile nyakati nzuri na kusonga mbele kwa amani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…