Zulu man
JF-Expert Member
- Nov 28, 2020
- 6,084
- 15,998
Jesusssss..!🤣🤣🤣 bora umeweka wazi,, huna majigambo,,
Kuna yule kenge mmoja alipgwa tukio hana hamu,,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jesusssss..!🤣🤣🤣 bora umeweka wazi,, huna majigambo,,
Kuna yule kenge mmoja alipgwa tukio hana hamu,,
Arsenal bila cf hatu toboi, natamani tunge kuwa hata na cr7 😀Kweli Mzee wenu nimezeeka 😜
Nifa Amejua kutukomesha dah😁Nifaha🙌😅
Nakupenda sana Babu..🥰Nimeamua nikutumie sehemu ya pension yangu Mjukuu 🤗
Kuku wako nitakutunzia hadi siku ukija
Mkuu Ume furahia nini 🤣😂Afadhali
🤣🤣🤣nilisema hivyo manake najua mama mchungaji pamoja na kuimba vizuri anapenda sana vigelegele kunako😀😀😀Aisee hapo wanafeli sana kushindwa kuzama,,,uhandsome wao unakuwa kazi bureeeee🤣🤣🤣🤣🤣wanakuwa hata hawasisimui hata ukiwaangalia🏃🏃🏃
ThanksVery bright of you
Wengi wakiachana husihia kuchafuana na kulaumiana.
Umeweka wazi hapa kuwa mmeachana. Na anayeumia sana nyie kuachana akasaka sababu ni vyema akaja inbobo kuliko kukulazimisha kumwaga siri za sirini hadharani
Kudos
Demi mimi nawe tufike wapi ili unielewe
Angalia wasijekukumaliza "nguvu za kike"🤣Hajambo, leo nimempumzisha kidogo niko na wadau hapa.
Ni muhimu sanaArsenal bila cf hatu toboi, natamani tunge kuwa hata na cr7 😀
Sawa nimekuelewatulia kuwa mpenzi msomaji
Twende mdogo mdogo tusikolezane🥰😅😅😅
Haya mambo ya kupendana hadi unachanganyikiwa halafu mnakuja kuachana mi staki bana
Kama vipi apindue meza,atutajie tu kwani sh ngapi bwanaaa,🤣🤣🤣ila katuchangamsha sana kumaliza 2023.......Sema nini, mleta mada akalogwa tu akawaambia wana jimbo limebebwa na nani, utashangazwa sana another episode itakavyokuwa...