Asantreeeeee!Thanks
Siwezi kusema tofauti na nilichokisema hapa, wengi wamenitafuta kwa kila namna ila nimeshikilia msimamo huuhuu.
Mapenzi yakiisha sio vita, ni vyema kuheshimu zile nyakati nzuri na kusonga mbele kwa amani.
🤣🤣🤣🤣Duh na yeye mdau?🤣🤣🤣nilisema hivyo manake najua mama mchungaji pamoja na kuimba vizuri anapenda sana vigelegele kunako😀😀😀
Tumshauri tu kuwa hii ibaki kama ilivyo, manake tunataka ndoa, hizi mambo ziwe na miisho mizuri...akitangaza tu hapa shughuli imeisha hiyo🤣Kama vipi apindue meza,atutajie tu kwani sh ngapi bwanaaa,🤣🤣🤣ila katuchangamsha sana kumaliza 2023.......
Watu hawataki kusikia mambo ya Zamani ati😁!Mimi pole tena wakati nilikwambia nilishajipata?
Haya yaliisha zamani, hapa naweka rekodi tu sawa.
Unajua fika Babu yako sina nguvu za kukimbia......huu sio mtego kweli Mjukuu 😜Nakupenda sana Babu..🥰
Huelewi kinachoendelea masikini!💪💪💪💪💪kunawatu mungu anajua kutujibia duazetu aiseee.
nakumbuka juzinilikesha kuomba baada yawewe niffah kusema unataka kuolewa namkiristo/kaafiri katika Imani
nikalalamika kwamungu kwanini unamtoa mjawako kwenye nuru nakumpeleka gizani☹️☹️
nikamuomba mungu azuie hilo hatimae mungu kazuia.mrembo niffah usihuzunike
kesho nisikumpya msahau anzaupya usije kufanya kama mahonda. temana nae mazima.
kwafuraha ulionipa njoo inbobo nikubariki sikukuu Yako hururain wangu
japo sikushauri!
Kuna mahali nilimsoma akisema bila hiyo shughuli sio kitu kwake🤣 Tayana-wog au uongo?🤣🤣🤣🤣Duh na yeye mdau?
Basi hongera na kujipata.Mimi pole tena wakati nilikwambia nilishajipata?
Haya yaliisha zamani, hapa naweka rekodi tu sawa.
Nilidhani mabazazi tu ndio wanapenda kumbe Hadi watenda kazi 🤣🤣Kuna mahali nilimsoma akisema bila hiyo shughuli sio kitu kwake🤣 Tayana-wog au uongo?
Ndio wana jf tulivo sasaHuelewi kinachoendelea masikini!
Kuna mdau kashusha uzi na kashamtaja mtu.....I hope iwe sio kweli aiseeTumshauri tu kuwa hii ibaki kama ilivyo, manake tunataka ndoa, hizi mambo ziwe na miisho mizuri...akitangaza tu hapa shughuli imeisha hiyo[emoji1787]
Nitakunywesha glucose Babu worry out😁😁Unajua fika Babu yako sina nguvu za kukimbia......huu sio mtego kweli Mjukuu 😜
Mwenzio umri huu safari ndefu siweziNitakunywesha glucose Babu worry out😁😁
Thanks
Siwezi kusema tofauti na nilichokisema hapa, wengi wamenitafuta kwa kila namna ila nimeshikilia msimamo huuhuu.
Mapenzi yakiisha sio vita, ni vyema kuheshimu zile nyakati nzuri na kusonga mbele kwa amani.