Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 67,252
- 168,563
Asantreeeeee!Thanks
Siwezi kusema tofauti na nilichokisema hapa, wengi wamenitafuta kwa kila namna ila nimeshikilia msimamo huuhuu.
Mapenzi yakiisha sio vita, ni vyema kuheshimu zile nyakati nzuri na kusonga mbele kwa amani.
Tatizo Hawatakuelewaaa🤭