Nifah: Rasmi, Mimi & The Bold tumeachana

Pumbafu weee
 
Bado hawajaanza, ila wanashangilia mno huko waliko,..wanaomba babu trump afanye kweli... matokeo yake ndo haya watu presha ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ
Afanye kweli nataka niwaone wazee wa kula tunda kimasihara suruali zinavyoshuka viunoni na kubaki vichwa vikubwa km siafu..!! ๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น
 
Ni Kwanini AMEKUACHA?
 
Ni wakati wa kutulia sasa, usiingie kwenye mahusiano mapya haraka haraka, mapenzi ya kweli hayahitaji haraka, nakuombea upate mtu mwingine aliye bora ambaye mtafunga pingu za maisha na kutengeneza kizazi kijacho.
Huu ushauri si mahali pake humu. Unataka sasa asinanii harakaharaka akae nazo hizo niege mpaka lini? Acha hizi wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ