Chabrosy
JF-Expert Member
- Feb 12, 2018
- 2,632
- 3,150
Ng'ombe dumeAcha unaa mkuu! Unatuharibia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ng'ombe dumeAcha unaa mkuu! Unatuharibia
Na kila mtu na mbabuko wake...wengine wanababuka mpk hawaeleweki kuna wengine mbabuko unawapendeza... 😊 🤣 🤣Mnajifunzia online? 😅😅 Kama kuna kitu ni ngumu kucopy kwa wengine, basi ni mahusiano. Kwenye hii game Kila mtu anababuliwa kivyake
DuuhNina imani huyu wa sasa, ana sifa hizi au zaidi ya hizi.
Kila la kheri
Watu wanaongea peke yao njiani. Kuna siku nilipishana na jamaa anajipiga piga kifua, kama vile anaweka nadhiri. Nikajua tayari ashababuliwa huyu 😅Na kila mtu na mbabuko wake...wengine wanababuka mpk hawaeleweki kuna wengine mbabuko unawapendeza... 😊 🤣 🤣
Heri ya Mwaka Mpya 2024 kwanza Beshte....Beshte acha umbea... [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] siku hizi jukwaani sikuoni naona umeleft..umehamia huku
Karibu sana beshte vijana wa Generali Benchika wanaleta matumaini...Heri ya Mwaka Mpya 2024 kwanza Beshte....
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Jukwaani kule nipo kipenzi...
Nilikuwa tight tu na 'Dizemba'..Sasa nimerudi....
HaswaaaaaNg'ombe dume
NaamWaswahili tunasema ndo ladha ya mapenzi
Sema jf [emoji28][emoji28][emoji1787][emoji1787]Hivi ontario ameoa?
[mention]Nifah [/mention]
Muda ukifika kila kitu/mtu huwa mahala pake anapostahili kuwa. Vitu vinaflow naturally.Ooh no ilikua couple yangu bora ya kila mwaka, why jamani? Mapungufu yapo hakuna mkamilifu, mmeshindwa kabisa kupata suluhu[emoji848]
Huyo na Mtanashati JF watu wanakuwaga serious kabisa.Mlivuma kama mwenzako Mahondwa or so..
Maisha yaendelee.. 🤗
Mlepeana vikojoleo?View attachment 2858656
Mapenzi kama yalivyo mambo mengine yana mwanzo na mwisho pia. Ni wachache waliobarikiwa na wenye bahati katika mapenzi huishia pamoja kwa kudumu milele hadi kifo kuwatenganisha, Huku wengi wakiishia njiani na hakuna ubaya katika hilo. Ndio maisha na mapenzi…. Ni safari isiyotabirika.
Miaka kadhaa iliyopita nilipata kuingia katika mahusiano yaliyofahamika na wengi hapa jamvini.
Hivyo basi, kwa kuwa mahusiano yale hayapo tena, imeniwia vyema kurudi tena hapa kuweka hilo wazi.
Tulikuwa na malengo ya kufika mbali, lakini kutokana na kutofautiana katika mambo mengi tulishindwa hata kufikia hatua za kuyarasimisha mahusiano yetu kuwa halali.
Tulitengana rasmi mwezi August mwaka huu 2023, na kutokana na hilo pengine huenda yakawa ndio mahusiano yangu ya mwisho kuyaweka wazi.
Mahusiano ya wazi hapa yamenipa wakati mgumu kujibu mamia ya wanachama waliokuwa wakihoji endapo bado tupo pamoja, na ndio sababu kuu naweka uzi huu kuwafahamisha wote kwa pamoja, hatupo tena katika mahusiano.
Tumeachana kwa amani, na kwa dhati kabisa namtakia kheri katika safari ya maisha yake mapya bila ya uwepo wangu kwa aliyekuwa mwenzangu.
Nifah
Duuh utani huu sasa 😅😅Mlepeana vikojoleo?
Uliona mbali sana maana kala mpaka elfu 60 ya Muha wa KigomaView attachment 2858656
Mapenzi kama yalivyo mambo mengine yana mwanzo na mwisho pia. Ni wachache waliobarikiwa na wenye bahati katika mapenzi huishia pamoja kwa kudumu milele hadi kifo kuwatenganisha, Huku wengi wakiishia njiani na hakuna ubaya katika hilo. Ndio maisha na mapenzi…. Ni safari isiyotabirika.
Miaka kadhaa iliyopita nilipata kuingia katika mahusiano yaliyofahamika na wengi hapa jamvini.
Hivyo basi, kwa kuwa mahusiano yale hayapo tena, imeniwia vyema kurudi tena hapa kuweka hilo wazi.
Tulikuwa na malengo ya kufika mbali, lakini kutokana na kutofautiana katika mambo mengi tulishindwa hata kufikia hatua za kuyarasimisha mahusiano yetu kuwa halali.
Tulitengana rasmi mwezi August mwaka huu 2023, na kutokana na hilo pengine huenda yakawa ndio mahusiano yangu ya mwisho kuyaweka wazi.
Mahusiano ya wazi hapa yamenipa wakati mgumu kujibu mamia ya wanachama waliokuwa wakihoji endapo bado tupo pamoja, na ndio sababu kuu naweka uzi huu kuwafahamisha wote kwa pamoja, hatupo tena katika mahusiano.
Tumeachana kwa amani, na kwa dhati kabisa namtakia kheri katika safari ya maisha yake mapya bila ya uwepo wangu kwa aliyekuwa mwenzangu.
Nifah
Maduhu ni msukuma sema anaishi Kasulu.Uliona mbali sana maana kala mpaka elfu 60 ya Muha wa Kigoma
Daah🤣🤣Maduhu ni msukuma sema anaishi Kasulu.
Waha wabahili hawawezi toa hela kununua vitabu