Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaogopwa kusutwaSeems Juzi ni pendhi jipya after hili 🤭 uzuri anaandika mwenyewe.
Sema mdogo wangu...mje mfundwe na dada zenuKwanza ujasiri huu wa kuweka mahusiano Yao wazi wanatoaga wapi,Sijawahi kuamini kama ukiwa na mahusiano na mtu ni lazima muonyeshe watu Kuwa mnapendana
Perfect bbyThanks
Siwezi kusema tofauti na nilichokisema hapa, wengi wamenitafuta kwa kila namna ila nimeshikilia msimamo huuhuu.
Mapenzi yakiisha sio vita, ni vyema kuheshimu zile nyakati nzuri na kusonga mbele kwa amani.
Bibi kila kitu anajua hahahahWewe acha ujuaji wewe
Waswahili tunasema ndo ladha ya mapenziNifah your brain work is next level. Salute!
Ninayo Imani ya kutosha kuamini kuwa msingi wa mgogoro ama tofauti za penzi lenu ni penzi lenu wenyewe. Kimombo niseme: methodological implementation and presentation of your love life. Hili ni hitimisho nimeikia baada ya kusoma maandiko yako kwenye sakata hili.
Imani yangu kwenu ni kuwa ikitokea mkaketi chini na kuamua kutanzua tofauti hizo, ikiwapendeza msione shida kupandisha daraja mahusiano yenu. Maana mnachopitia wakati huu ni misukosuko wa kawaida kabisa kwenye maisha ya mapenzi na mahusiano.
Hivyo wala usiwaze sana, wala usiumie moyo sana. Maana that's how the love pendulum swing on its axis
Best wishes
Kweli amewehuka aisee...Mimi Raia mwema napambana sana jamaa Maghayo aache bange yeye pamoja na genge lake kwani madhara yake ni makubwa kwa members humu.
Cheki mfano hapo chini Ghayo's gang wakiingia Jf baada ya kushambulia vipisi vya bange , Bora hata dronedrake Bakari Nondo yake haikeri members humu.View attachment 2858733
Mtupe darasa kabisa la Bure maana tunaendeshwa Zaid na hisia kuliko akili😀Sema mdogo wangu...mje mfundwe na dada zenu
For sure....ila nimeona umeongea point ya kikomavu kabisa..just keep ur relation low key...Mtupe darasa kabisa la Bure maana tunaendeshwa Zaid na hisia kuliko akili😀
Hapo ndo huwa wadada wanafeli...Si ili aonekane kama ameonekana😃😃, kwamba na yeye ni one out of millions of Jf ladies 😂😂😂😂🤣🤣
😍😍For sure....ila nimeona umeongea point ya kikomavu kabisa..just keep ur relation low key...
Beshte acha umbea... 🤣 🤣 🤣 siku hizi jukwaani sikuoni naona umeleft..umehamia hukuSi ndiyo...
Kuna hilo Husiano moja lilikuwaga humu[emoji1]Enzi hizo Bidada kila sehemu ni kumtaja jamaa...
Jamaa akija ana'like tu.. hajibu wala nini...Ni kama jamaa alikuwa hapendi ile kitu..
Sasa hivi sijui hata lilishiaga wapi[emoji1]
Anazingua sana😂😂Bibi kila kitu anajua hahahah
MhhhhMnapendana? Nae akae 4 years bila ndoa akuachie tu zawadi ya kua single maza
Uwe single maza kwa wanaume wawili?
Labda kama wewe ndo una matatizo wanashindwa kukuoa
lkn kama upo sawa, 2024 usiishe bila ndoa cz mnazeeka 30's hamna utoto wakuganda kwenye uchumba
Wewe ni mzuri sanaaaa, nilivyokuona hadi mimi nilichanganyikiwa sembuse mwanaume.
NB: Sijawahi kuolewa, Sio mshauri wa Ndoa.