Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 50,587
- 71,492
Hahaa watu wa usiku wa manane wanisaidie kukujibu
Utasutwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaa watu wa usiku wa manane wanisaidie kukujibu
Mtihani upo kwa kuendelea kuwasiliana na baba watoto, na kama hukuweza kufill ile gap( na hii haiwezekani maana Mungu amemuumba Kila mwanaume tofauti), anaweza pasha kiporo kwake.Waaolewa ndio, lakini mimtihani mkubwa.
Maana yake jimbo liko wazi, Haya ngoja tuwashe chopa zetu tuje kupiga kampeni huko uchaguzi mdogo!!
Do I look like I care? 🤣🤣 kusutwa jf si kama kupewa msosi tu usio na chumviUtasutwa
Kwa lolote pia usisahau kuleta taarifa,mjomba wako niko upande wako.🤣
Kwakweli aje atuambie.
Oooh shangazi acha kushangaa🤣shoga weeee niko nyuma ka mkia wa paka
Sio lazima labda ifike hatua muhimu zaidi kama ndoa.Kwanza ujasiri huu wa kuweka mahusiano Yao wazi wanatoaga wapi,Sijawahi kuamini kama ukiwa na mahusiano na mtu ni lazima muonyeshe watu Kuwa mnapendana
Thubutu 😂Kwa lolote pia usisahau kuleta taarifa,mjomba wako niko upande wako.🤣
Do I look like I care? [emoji1787][emoji1787] kusutwa jf si kama kupewa msosi tu usio na chumvi
WalitusumbuaaWao pia yaliyoyoma labda kama wamerudiana.
Hilo huwa ni tatizo la akili na mara nyingi kwenye mahusiano ya namna hiyo kuna mmoja huwa hafurahishwi na hayo mahusianoKwanza ujasiri huu wa kuweka mahusiano Yao wazi wanatoaga wapi,Sijawahi kuamini kama ukiwa na mahusiano na mtu ni lazima muonyeshe watu Kuwa mnapendana
Yani mkiachana maswali ni mengi maneno pia mengi kiasi hata mkisalimiana watu lazima watengeneze story Haina afya ukiwa na mahusiano mengine piaSio lazima labda ifike hatua muhimu zaidi kama ndoa.
Ila mara nyingi, mwanamke anayekupenda anaweza weka wazi ila indirectly ili watu wafahamu kuwa she's taken ila anaweza mficha mtu mpaka wakati sahihi.
Auntie tulia 🤣🤣🤣Kwanza ujasiri huu wa kuweka mahusiano Yao wazi wanatoaga wapi,Sijawahi kuamini kama ukiwa na mahusiano na mtu ni lazima muonyeshe watu Kuwa mnapendana