binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 11,201
- 28,642
Very bad news.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona yupo sana tu....Ana ID yake nyingine sitaweza kukutajiaUmeanza [emoji851] ila Swahiba wako Rebecca hayupo siku hizi kupiga debe la "Haki Sawa" [emoji1]
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Ni kukusanya trash za 2023 na kuzibin 🚮Dah kichafueni tu😀😂
Sawa nipo na vitu mingi ya kufanya wacha Munge asemeYaani kisa umeumizwa na mmoja ndio unachukia mapenzi?Mapenzi ni kitu kizuri ila sio Kila penzi lazima lilete matoleo chanya,mengine ni njia tu,mengine ni lesson ila Kuna muda utampata mtakayefanana,,,HUNA sababu ya kuchukia mapenzi.....ona mfano wa Nifah Yuko very strong,and that is how it should be
Nifah aliumia sana kuachana na dogoukisikia kenge anapiga kelele jua amefinywa sawasawa. Mwamba ukute hata alishamsahau dada yetu ila dada yetu bado anamkumbuka tangu August huko, hapo ndio utajua aliyeachwa ni nani
Na wewe ukiona kitu hujaelewa basi jipigepige na kidole cha kati kisha jinuse uone kinanukaje,Sorry, next time ukiona hujaelewa kitu ujue hakikuhusu.
Safi kabisa, kata mti panda mti maisha ndiyo haya haya [emoji142]NINA MPENZI!
Azikwee tu😀😂😂Ni kukusanya trash za 2023 na kuzibin 🚮
Wewe na Nyani Ngabu ukiijiita Dina
. Pole sana mkuu, 😟View attachment 2858656
Mapenzi kama yalivyo mambo mengine yana mwanzo na mwisho pia. Ni wachache waliobarikiwa na wenye bahati katika mapenzi huishia pamoja kwa kudumu milele hadi kifo kuwatenganisha, Huku wengi wakiishia njiani na hakuna ubaya katika hilo. Ndio maisha na mapenzi…. Ni safari isiyotabirika.
Miaka kadhaa iliyopita nilipata kuingia katika mapenzi yaliyofahamika na wengi hapa jamvini.
Hivyo basi, kwa kuwa mapenzi yale hayapo tena, imeniwia vyema kurudi tena hapa kuweka hilo wazi.
Tulikuwa na malengo ya kufika mbali, lakini kutokana na kutofautiana katika mambo mengi tulishindwa hata kufikia hatua za kuyarasimisha mahusiano yetu kuwa halali.
Tulitengana rasmi mwezi August mwaka huu 2023, na kutokana na hilo pengine huenda yakawa ndio mahusiano yangu ya mwisho kuyaweka wazi.
Mapenzi ya wazi hapa yamenipa wakati mgumu kujibu mamia ya wanachama waliokuwa wakihoji endapo bado tupo pamoja, na ndio sababu kuu naweka uzi huu kuwafahamisha wote kwa pamoja, hatupo tena katika mahusiano.
Tumeachana kwa amani, na kwa dhati kabisa namtakia kheri katika maisha mapya bila ya uwepo wangu kwa aliyekuwa mwenzangu.
Nifah
Dah😀😂😂Nilikuachia wewe akuoe vipi mshazaa na watoto?
Hajawahi kuwa bubu!hakika atasemaSawa nipo na vitu mingi ya kufanya wacha Munge aseme
Dah[emoji3][emoji23][emoji23]
Nije lini ili tuzungumze tafadhali.Mlango ushafungwa na kuna ulinzi mkaliiii!
ndo maana umepakwa makeup kwenye avatar yakoPole[emoji41]
Tulia na mkeo we jamaa. Pole sana mkuu, 😟
. Ila Mkuu tuaze lini kutuma maombi mapya 😐