moneytalk
JF-Expert Member
- Jan 23, 2017
- 7,976
- 16,769
mwenyezi mungu azidi kukutia nguvu,hakuwa riziki yako,Allah atakupa waubavu wakoPole mpenzi, usivunjike moyo kwa kuwa kila kitu kina kheri zake.
Chukulia in a positive way.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mwenyezi mungu azidi kukutia nguvu,hakuwa riziki yako,Allah atakupa waubavu wakoPole mpenzi, usivunjike moyo kwa kuwa kila kitu kina kheri zake.
Chukulia in a positive way.
Ufala ni mwingi sanaaaWeka wazi kwa wageni humu Nifah kuwa mna mtoto nae... Na mtaendelea kumlea pamoja....
Ili anaengia mchezoni atambue mapema kuwa yuko nyuma kwa 1-0 kabla mechi haijaanza!
I’m sorry darling.Ooh no ilikua couple yangu bora ya kila mwaka, why jamani? Mapungufu yapo hakuna mkamilifu, mmeshindwa kabisa kupata suluhu🤔
Mimi kama Muhuyul wa Six flying dragon jamaa hajawahi kufocous na mademu zaidi ya kazi yake ya Ugeneral na akafanikiwa haswa , mwengine ni General Ohyi(Oi) wa kwenye Jumong tokea ateswe na mapenzi kizembe jamaa hakutamani kupenda tena zaidi ya kufocous na goals zake na akawa mtu mbadi sana na hawakula nyetoh kama dronedrake ..Lee min ho adriz na Lee sung ji Mvaa Kobazi ana kuja😂😀
🤣🤣🤣 sina mengi wala! Usijifiche kwenye kivuli changu, weka mambo wazi wana wajiachieWe unapenda vya chinichini weka wazi watu tujue,,,,sio na kale ka girl Kako ka Missy Gf mnatuchanganyia habari ,mara mnajikausha,mara mnajiweka wazi mnatuchanganya wambea!Hebu semeni kweli tujue😜😜
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Pole sana, hayanaga muongozo...
Nipo nimejifingia chimbo la wakorea wa wenzangu Jf kule amani sana ,wewe ndio umepotea sana humu Jf🤣🤣🤣🤣Jamani upo
Nilidhani bado upo upo nije tuonge vizuri kumbe umeshampa mwingine nafasi!!Sijawahi, na haikuwa hivyo.
Baada ya kuachana na kupona ndipo nilipompa nafasi mwingine.
Muulize tu alimpa mpaka jicho maana alisema Lulu anampa Jicho Alikiba,Kuna kitu sio bure. Hii taarifa ya Nifah imekua ghafla sana anyways!
Kwa uzoefu wangu Amefanya jambo jema make dohh! Ni zaidi ya hatariiii
😅😅😅Very bright of you
Wengi wakiachana husihia kuchafuana na kulaumiana.
Umeweka wazi hapa kuwa mmeachana. Na anayeumia sana nyie kuachana akasaka sababu ni vyema akaja inbobo kuliko kukulazimisha kumwaga siri za sirini hadharani
Kudos
Demi mimi nawe tufike wapi ili unielewe
Maghayo akiendelea na pigo zake za kibarbarian ataishia kujiunga Chama la dronedrake kunyetuka daily maana anategemea anavyorudi bongo aingie chimbo akadake Wahadzabe vijijini maana kule wengi washamba sasa bahati mbaya Serikali ya awamu ya 5 imeboresha miundo mbinu kule wanapata kujanjaruka ,sasa miaka ijayo Mr Maghayo asipoacha pigo zake atakuwa hna njia isipokuwa kumuone dronedrake ampe mbinu za kujipoza.Aiseee nime cheka kibwege, ila adriz 😀🤣🤣