Nifah: Rasmi, Mimi & The Bold tumeachana

Nifah: Rasmi, Mimi & The Bold tumeachana

AD.jpeg

If you love something, let it go
If it comes back to you, it yours
If it doesn't , you never know.
 
We unapenda vya chinichini weka wazi watu tujue,,,,sio na kale ka girl Kako ka Missy Gf mnatuchanganyia habari ,mara mnajikausha,mara mnajiweka wazi mnatuchanganya wambea!Hebu semeni kweli tujue😜😜
Kheee shogaangu usijenizulia ya kuzua
Halafu mimi sio ka girl
Hakuna kinachoendelea kati yetu mambo ya jf usiyachukulie serious sana
 
Eehhh hizi ni zaman za kuambiana ukweli.

Juzi Kuna Manzi nmeisemeshaa weeeee kwenye simu, lkn mwisho ikaniambia...

Mimi Nawewe sio wapenzi..kama una taka tu Nikupe mzigoo, njooo na maokoto yako.


Nikamwambia safiii, wee unajitambua.😂😂

Bila hivo angepigwa mkopo.
Huyo dada muongeze maokoto inaonesha ni muhudhuriaji mzuri wa vikao vyetu 🤣🤣😍
 
Wewe ni extrovert yeye no introvert mkashindwana kiasili!

Huyu ni mkimya anawaza aandike kuhusu Somo jasusi fulani,lakini wewe Trend reader sanguine mcheshi ukajikuta unapiga story mwenyewe halafu ukataka umbadili awe mcheshi mwenye kuelewa mwitikio wa hisia zako na unapotaka uguswe Kihisia ukakuta ndio kwanza "ujasusi sebuleni" akiandika!

Aiseh,

Poleni sana!
Una maono kiasi, utafika mbali 🤣👏🏽
 
Back
Top Bottom