Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kheee shogaangu usijenizulia ya kuzuaWe unapenda vya chinichini weka wazi watu tujue,,,,sio na kale ka girl Kako ka Missy Gf mnatuchanganyia habari ,mara mnajikausha,mara mnajiweka wazi mnatuchanganya wambea!Hebu semeni kweli tujue😜😜
Huyo dada muongeze maokoto inaonesha ni muhudhuriaji mzuri wa vikao vyetu 🤣🤣😍Eehhh hizi ni zaman za kuambiana ukweli.
Juzi Kuna Manzi nmeisemeshaa weeeee kwenye simu, lkn mwisho ikaniambia...
Mimi Nawewe sio wapenzi..kama una taka tu Nikupe mzigoo, njooo na maokoto yako.
Nikamwambia safiii, wee unajitambua.😂😂
Bila hivo angepigwa mkopo.
Worry out!!! Love you beautiful [emoji3590][emoji85]Haha, Its you vs you in the battle field, mambo ya raia waachie wenyewe..
But sorry Lovely Masta [emoji23]
Alivyosema ni uzushi, sababu zipo nyingi ila sio alizozisema.Kuna mdaku ameanzisha uzi, eti kaongea na the bold kutuletea alivyosema.
Una maono kiasi, utafika mbali 🤣👏🏽Wewe ni extrovert yeye no introvert mkashindwana kiasili!
Huyu ni mkimya anawaza aandike kuhusu Somo jasusi fulani,lakini wewe Trend reader sanguine mcheshi ukajikuta unapiga story mwenyewe halafu ukataka umbadili awe mcheshi mwenye kuelewa mwitikio wa hisia zako na unapotaka uguswe Kihisia ukakuta ndio kwanza "ujasusi sebuleni" akiandika!
Aiseh,
Poleni sana!
Achana naye huyo, Mimi nipo hapa utaenjoy sana. 😋😋Maombi mapya tena wakati kuna mwamba yupo kazini tayari? 🤣🤣