princess ariana
JF-Expert Member
- Aug 19, 2016
- 9,245
- 18,347
amewahi kuwa video queen wa Rich mavoko .
ameimba na mesen selekta sare sare
anakasauti katamu..
ameimba na mesen selekta sare sare
anakasauti katamu..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mambo MalaikaAnaitwa Diana Malaika Exavery Clavery.
Alikuwa anafanya visual lab kw adam kama artist make up kwa wasanii na ma model kwenye video jambo lililomfanya akutane na wasanii wengi.
Mwaka 2013 ndipo chegge alisikia sauti yake akaamua mshirikisha kwenye ngoma ya uswaz take away.
From there akapata confidence ya kuendelea n mziki.
Hajaolewa na hana mtoto...
Avatar yako mkuu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Naupenda huu wimbo wake wa kuraruana, halafu alitolewaga na Chege hivi mtoto wa Mama Said alimuacha kweli huyu? Maana si haba
Akili yako haina tofauti na username yakoMambo Malaika
Hivyo vingine sijui ila yeye ni muhayaAna mume na watoto wawili, anaishi masaki, ni mchagga wa rombo.
Unasahau kuwa anafuata nyayo za wasanii wenzake.huyo ni msanii muongo muongo sanaa yaan yaan mala kanunua gari kumbe kapewa saa hz anadai anajenga nyumbaa
Pia ana miaka 41.Hivyo vingine sijui ila yeye ni muhaya
Napenda sana midomo yake
Yule jamaa nasikia ni mbongo movie, ni kweli?Ana jamaa yake wameachana sio mda jamaa kwa hasira akamtolea mguu wa kuu
alikuwa anajihusha na hizo issue kama meneja tu, si unajua anamtonyo kimtindo!Yule jamaa nasikia ni mbongo movie, ni kweli?
.....we si manzi lakini?...Napenda sana vile anavyotabasamu na pozi zake katika video yake.
Nikiangalia sichoki
alikuwa anajihusha na hizo issue kama meneja tu, si unajua anamtonyo kimtindo!
mi nnayo ya zantel,nikupe?Mwenye no yake ya voda anisaidie tafadhari.
nahis ni hartman mbilinyiMkuu ninani huyo jamaa mtaje bc tumjue au weka picha yke
mi nnayo ya zantel,nikupe?
Kweli yupo poa...daaah
Na Ruby basiAna undugu na Magufuli na Lady JayDee.
mapungufu gani anayo mbona mtoto yuko vyema?Moja kati ya the most beautiful creatures nshaonaga bongo..tabasamu lake tu[emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7]. Penda sana regardless mapungufu yake.