- Thread starter
- #21
Mpaka hapa mpotezee,utaumia
[emoji174]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpaka hapa mpotezee,utaumia
I swear, utaishia kuumia[emoji174]
We mpe goli ilo afunge mfuzu afcon
mmhh!! Kwa maongez zaid bofya *149*PM# nikuelewesh vzrWanaume gani hata hatuna ukaribu kiasi kwamba akaona mimi nazungumza na wenginee… tunakaa sehemu tofauti tunaonana mpk atake yeye ndio tunaenda out
Kama hakuonyeshi unaotaka bora ukae mbali nae
Usikose wengine na mume kakosa kama sio yeye.. akija tena atasema nia, akinyamaza endelea na maisha yako sio kumganda muwe wote kila mara na mitoko yote.
@kadogo2 nakupenda ila nina mambo mengi nielewewe..
Ukiwa unakata gogo.Toa ushaurii kwanza nijue picha gani nakutumia
Dada tafadhali Mimi sio msukuma mi mtu wa Kilimanjaro sema nimeishi tu usukumani, hua naelewa sana signal zako sema wanawake jamii yako ww sio vitu vyangu kbs huna taaa co ll, una sauti nzito kigimbi tani mbili & na mdomo unatema harufu mbaya
Kama huwa 'anakutoa out' maana yake anakupenda.huwa tunapata chance ya kutoka out ni yeye ananitoa
I swear, utaishia kuumia
mmhh!! Kwa maongez zaid bofya *149*PM# nikuelewesh vzr
Wanawake mnaogopa sana kukataliwa.
Mjifunze kwetu, unatongoza ke 10 unajua kabisa hupati zaidi ya 2, huwezi kupata bila kujaribu.
Ukiwa unakata gogo.
eNdelea kusubir mpaka aseme yeye,usijitongozeshe