Nifanyaje ajue nampenda, nimechoka kujizuia

Nifanyaje ajue nampenda, nimechoka kujizuia

Mimi kadogo2 kwa mara ya kwanza nimekuwa wa kwanza kumpenda mwanaume, haijawai tokea hata siku moja kumpenda mwanaume bila yeye kuniambia kuwa ananipenda ndipo na mimi nijifunze kumpenda…


Mkaka wa kisukuma mimi nishampenda kiasi kwamba siachi kumfikiria[emoji3526] najua atakuwa na mtu hilo
Mimi sijali kwanza hakuna wanaume single sasa mimi nitamtoa wapi..

Tunawasiliana na huwa anaonesha interested na mimi, japo muda mwinginee ana ni ignore hapo ndio ananivuruga.. natamani hata atamke kuwa ana nihitaji but hajawai Sema.. maneno yake ni yaleyale kila siku kusema anafurahi kunipata sijui kufahamiana na mimi..

Ukweli nina furahi uwepo wake.. huwa tunapata chance ya kutoka out ni yeye ananitoa story ni nyingi but hiyo nakupendaa hasemi… mimi nishazimika kwake mpk kuna muda huwa nina type sms kumwambia namna ninavyojisikia but naghairi naifuta naona atanichukulia kama muhuni mwanamke kumtongoza mwanaume..

Jamani huyu Kaka ameshajua kuwa nampenda sasa sijui kwanini ananifanyia hivyo

Naombeni ushauri juu ya Hii hali nimpoteze, nimemwambie au nife nalo moyoni… ukweli nimempenda kama ikitokea nikawa nae basi nitazikwa nae Simu A-C Hii[emoji12]🥹
Ulishawah Ona kicheche anavotega huku hadi anaikamata??

Kicheche huwa anageuza kishundu chake kwenye upande anatokea kuja kudonoa akiingiza tu mdomo kwisha kazi! Kadakwa
 
Kwaiyo nyie wasukuma mkija mjini hampendi wanawake wenginee ama… hiyo kumu approch nimeghahiri nataka nifute namba ili ni moveon
Sisi hatuzingatii kupenda tunazingatia kujenga future.

Future hujengwa na familia imara yenye mama na baba bora.

Mjini kumejaa wanawake wengi wana -harakati ni ngumu kumpata mama bora.
 
Wafupi wa futi ngapii maana mimi kwake ni mfupi nafika kifuani kwake na yeye si mrefu ni wa kawaidaa
sasa kimtazamo wako huwez jiona kasoro. Yeye ndie anae ku describe. na features anazo taka
 
usawa mnaoutaka ndo huu sasa,

mmejifunza kutafuta hela kama sisi,

mjifunze kutongoza kama sisi,

na mzoee kukataliwa kama sisi.

Siku nikitaka kufa ndio nitakiri kuwa nampenda ila kwa sasa haiwezekani
 
Ulishawah Ona kicheche anavotega huku hadi anaikamata??

Kicheche huwa anageuza kishundu chake kwenye upande anatokea kuja kudonoa akiingiza tu mdomo kwisha kazi! Kadakwa

Fumbua fumbo
 
Sisi hatuzingatii kupenda tunazingatia kujenga future.

Future hujengwa na familia imara yenye mama na baba bora.

Mjini kumejaa wanawake wengi wana -harakati ni ngumu kumpata mama bora.

Mjini hata wanawake bora wapo ni vile tu mnaonaga kama mjini wanawake ni wahuni unajua aliwahi niambia wanawake wa usukumani ni tofauti na wa town sikutilia maanani
 
Back
Top Bottom