Hamumu
JF-Expert Member
- Jul 12, 2021
- 1,439
- 3,587
Umekuwa jengo la gorofa la kariakoo?Siku hizi wanaume hamna vifua nisije kuwa mada huko mjini daslam
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umekuwa jengo la gorofa la kariakoo?Siku hizi wanaume hamna vifua nisije kuwa mada huko mjini daslam
Sio rahisi sana wee ni bora akikubali akikukataa utahama na mtaaKutongoza mwanaume ni fedhea na kukataliwa na mwanaume ni fedhea ya pili na kutangazwa ni fedhea ya tatu
usawa mnaoutaka ndo huu sasa,Kutongoza mwanaume ni fedhea na kukataliwa na mwanaume ni fedhea ya pili na kutangazwa ni fedhea ya tatu
Kama huwa 'anakutoa out' maana yake anakupenda.
Vitendo huongea kuliko maneno, wasiwasi wako nini tena?
na pia kam ww n mfupi lazma jamaa kaona tatiz kwako
Dah hapo ni yeye tu , kirahisiii sana atakuchapa fimbo alfu akuache
Labda umekaa kimala mala , anaona humfai, sorry
Mwambie nataka nikupe tamu
Ulishawah Ona kicheche anavotega huku hadi anaikamata??Mimi kadogo2 kwa mara ya kwanza nimekuwa wa kwanza kumpenda mwanaume, haijawai tokea hata siku moja kumpenda mwanaume bila yeye kuniambia kuwa ananipenda ndipo na mimi nijifunze kumpenda…
Mkaka wa kisukuma mimi nishampenda kiasi kwamba siachi kumfikiria[emoji3526] najua atakuwa na mtu hilo
Mimi sijali kwanza hakuna wanaume single sasa mimi nitamtoa wapi..
Tunawasiliana na huwa anaonesha interested na mimi, japo muda mwinginee ana ni ignore hapo ndio ananivuruga.. natamani hata atamke kuwa ana nihitaji but hajawai Sema.. maneno yake ni yaleyale kila siku kusema anafurahi kunipata sijui kufahamiana na mimi..
Ukweli nina furahi uwepo wake.. huwa tunapata chance ya kutoka out ni yeye ananitoa story ni nyingi but hiyo nakupendaa hasemi… mimi nishazimika kwake mpk kuna muda huwa nina type sms kumwambia namna ninavyojisikia but naghairi naifuta naona atanichukulia kama muhuni mwanamke kumtongoza mwanaume..
Jamani huyu Kaka ameshajua kuwa nampenda sasa sijui kwanini ananifanyia hivyo
Naombeni ushauri juu ya Hii hali nimpoteze, nimemwambie au nife nalo moyoni… ukweli nimempenda kama ikitokea nikawa nae basi nitazikwa nae Simu A-C Hii[emoji12]🥹
Sisi hatuzingatii kupenda tunazingatia kujenga future.Kwaiyo nyie wasukuma mkija mjini hampendi wanawake wenginee ama… hiyo kumu approch nimeghahiri nataka nifute namba ili ni moveon
Umekuwa jengo la gorofa la kariakoo?
Unataka upendo kwake au nini dearHuu atapewa hata kama hajaomba ila mpk nipate nachokitaka
Sio rahisi sana wee ni bora akikubali akikukataa utajiona Mavi utahama na mtaa
sasa kimtazamo wako huwez jiona kasoro. Yeye ndie anae ku describe. na features anazo takaWafupi wa futi ngapii maana mimi kwake ni mfupi nafika kifuani kwake na yeye si mrefu ni wa kawaidaa
Lazima goli lifungwe kwanza ili lishawishi huo mgandano. Sasa we chelewa chelewa hadi ushindwe kufuzu afcon 2025 uone kama utafuzu ijayo.Hiyo mapema sana.. ila mimi nataka kugandana
usawa mnaoutaka ndo huu sasa,
mmejifunza kutafuta hela kama sisi,
mjifunze kutongoza kama sisi,
na mzoee kukataliwa kama sisi.
Ulishawah Ona kicheche anavotega huku hadi anaikamata??
Kicheche huwa anageuza kishundu chake kwenye upande anatokea kuja kudonoa akiingiza tu mdomo kwisha kazi! Kadakwa
Wanakataaga wengine ohoo[emoji2][emoji2][emoji2] kwani mnakataaga nyie si maharage ya mbeya maji mara moja
Sisi hatuzingatii kupenda tunazingatia kujenga future.
Future hujengwa na familia imara yenye mama na baba bora.
Mjini kumejaa wanawake wengi wana -harakati ni ngumu kumpata mama bora.
Unataka upendo kwake au nini dear