Nifanyaje ajue nampenda, nimechoka kujizuia

Nifanyaje ajue nampenda, nimechoka kujizuia

sasa kimtazamo wako huwez jiona kasoro. Yeye ndie anae ku describe. na features anazo taka

Sasa mbona kama umemsemea hiyo kigezo and all I know wanaume warefu huoa wanawake wafupi ni mara chache sana tall man kuoa tall girl so hii cancel haiwezi kuwa reason

Nilichomsoma ni mtu ambae anaogopa wadada wa mjini kupitia story zake
 
Sasa mbona kama umemsemea hiyo kigezo and all I know wanaume warefu huoa wanawake wafupi ni mara chache sana tall man kuoa tall girl so hii cancel haiwezi kuwa reason

Nilichomsoma ni mtu ambae anaogopa wadada wa mjini kupitia story zake
Sasa kama ukeshamsoma inabidi uskae kimjinimjini sana
 
Sasa mbona kama umemsemea hiyo kigezo and all I know wanaume warefu huoa wanawake wafupi ni mara chache sana tall man kuoa tall girl so hii cancel haiwezi kuwa reason

Nilichomsoma ni mtu ambae anaogopa wadada wa mjini kupitia story zake
Mmh!! we Mrembo ni mbishi sana
 
Mimi kadogo2 kwa mara ya kwanza nimekuwa wa kwanza kumpenda mwanaume, haijawai tokea hata siku moja kumpenda mwanaume bila yeye kuniambia kuwa ananipenda ndipo na mimi nijifunze kumpenda…


Mkaka wa kisukuma mimi nishampenda kiasi kwamba siachi kumfikiria[emoji3526] najua atakuwa na mtu hilo
Mimi sijali kwanza hakuna wanaume single sasa mimi nitamtoa wapi..

Tunawasiliana na huwa anaonesha interested na mimi, japo muda mwinginee ana ni ignore hapo ndio ananivuruga.. natamani hata atamke kuwa ana nihitaji but hajawai Sema.. maneno yake ni yaleyale kila siku kusema anafurahi kunipata sijui kufahamiana na mimi..

Ukweli nina furahi uwepo wake.. huwa tunapata chance ya kutoka out ni yeye ananitoa story ni nyingi but hiyo nakupendaa hasemi… mimi nishazimika kwake mpk kuna muda huwa nina type sms kumwambia namna ninavyojisikia but naghairi naifuta naona atanichukulia kama muhuni mwanamke kumtongoza mwanaume..

Jamani huyu Kaka ameshajua kuwa nampenda sasa sijui kwanini ananifanyia hivyo

Naombeni ushauri juu ya Hii hali nimpoteze, nimemwambie au nife nalo moyoni… ukweli nimempenda kama ikitokea nikawa nae basi nitazikwa nae Simu A-C Hii[emoji12]🥹
Jibu haya maswali, ukijibu kwa ufasaha nitafanya haya....
1. Nitakwambia ikiwa anakupenda ama hapana.
2. Nitakwambia nini ufanye ili umpate.

Maswali....
1. Wewe ni kabila gani?
2. Wewe ni mweupe au mweusi kwa rangi?
3. Ni mrefu au mfupi?
4. Una shepu gani?
5. Ukiwa nae huwa unamwambia asante kwa chochote anachokufanyia?
6. Ukichelewa kufika sehem mliyokubaliana kukutana akakusubiria muda mrefu huwa unaomba samahani?
7. Mkiwa wote, wewe pia ni mwongeaji sana na huwa unamkatisha kabla hajamaliza kuongea?

Hayo ni kwa ufupi, ukiyajibu kwa moyo wa dhati bila unafiki, nakuambia anakupenda au hapana.
 
Back
Top Bottom