Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jana wamenichukulia 36000 bila ridhaa yangu manina hawa wakidai imekatwa Google Play hata sijui ni kitu gani nisaidie ni!Nawakilisha hapa nashindwa hata kuandika
Yaani hapa hata kuandika nashindwaNimewahi kupatwa na hilo tatizo. Lilikuwa sumbufu sana.
Nilipitia app zote na kufanya setting upya bado tatizo liliendelea.
Chrome mda mwingine wanazingua sana. Dawa pekee ni kwenda kwenye staesge kufagia mauchafu yote
Android moja eeeh?🤣Wakuu
Nifanyaje kuzuia matangazo kuingia kwenye simu yangu wakati natafuta kitu kwenye web browser
Nawakilisha hapa nashindwa hata kuandika
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Android moja eeeh?[emoji1787]
afuate ushauri huuNenda setting kwenye simu yako, ingia kwenye upande wa connections tafuta neno limeandikwa private DNS, kama hujaliona ingia kwenye maandishi ya more connection settings na utaona maandishi yaliyoandikwa private DNS.
Baada ya kubonyeza hilo neno la Private DNS, yatakuja maneno matatu, Off, Automatic na Private DNS Provider Hostname.
Bonyeza katika Private DNS Provider Hostname na kwachini yake utaandika maneno yafuatayo,
dns.adguard.com
Kisha bonyeza save.
Faida:
Ita blocks ads kwenye browser zote na pamoja na ads za kwenye Apps zote za simu yako, hivyo hautapata tena usumbufu wa aina yoyote ya matangazo sehemu yoyote ya simu yako.
Mkuu watu wapo web3 siku hizi.Wakuu
Nifanyaje kuzuia matangazo kuingia kwenye simu yangu wakati natafuta kitu kwenye web browser
Nawakilisha hapa nashindwa hata kuandika
Mwamba nimekukubali ungekuwa kalibu ningekupa zawadi,yaani simu imenisumbua kwa siku 2 kila sekunde zinaingia AplicationMkuu watu wapo web3 siku hizi.
Achana na hizo broweser nyingine kama Chrome au Firefox, ingia playstore kisha download browser inaitwa BRAVE, hutojutia hautaona tangazo kwenye site yoyote unayotumia.
Mmh hii ni mbaya unajikuta unaondoa vitu unavopendaga,unaharibiNjia pekee ya kuepuka usumbufu wa adds ni ku restore Kila kitu uanze setting upya..