Nifanyaje kuzuia matangazo kuingia kwenye simu yangu wakati wa kutafuta kitu kwenye Browser

Nifanyaje kuzuia matangazo kuingia kwenye simu yangu wakati wa kutafuta kitu kwenye Browser

Nenda setting kwenye simu yako, ingia kwenye upande wa connections tafuta neno limeandikwa private DNS, kama hujaliona ingia kwenye maandishi ya more connection settings na utaona maandishi yaliyoandikwa private DNS.

Baada ya kubonyeza hilo neno la Private DNS, yatakuja maneno matatu, Off, Automatic na Private DNS Provider Hostname.

Bonyeza katika Private DNS Provider Hostname na kwachini yake utaandika maneno yafuatayo,

dns.adguard.com

Kisha bonyeza save.
Faida:
Ita blocks ads kwenye browser zote na pamoja na ads za kwenye Apps zote za simu yako, hivyo hautapata tena usumbufu wa aina yoyote ya matangazo sehemu yoyote ya simu yako.
Hii mpaka YouTube?
 
Wakuu

Nifanyaje kuzuia matangazo kuingia kwenye simu yangu wakati natafuta kitu kwenye web browser

Nawakilisha hapa nashindwa hata kuandika
1. Tumia browser yenye ad block ya maana, mfano Firefox na Ublock origin.

Ukitembea site za ovyo ovyo tumia hio browser.

2. Tumia private DNS kama ya Adguard itablock matangazo.

3. Kagua mara kwa mara settings then apps futa apps uSizozijua.
 
Back
Top Bottom