Nifanyaje niwe Maarufu kama Dkt. Shika?

Nifanyaje niwe Maarufu kama Dkt. Shika?

Nenda Kanye kwenye kiti cha magufuli utatangazwa hadi CCN

Ngoja niangalie TBC nione mtu anavyokua maarufu
 
Jaman wana jamvi nimeona jinsi dk shika alivyokuwa maarufu ghafla mnisaidie niwe maarufu pia kama yeye nifanyeje
Chukua nguruwe kamfunge msikitini siku ya ijumaa saa sita usipokuwa marufu zaidi ya dr shika njoo nikupe na mwisho kiboko
 
Back
Top Bottom