muya ataho
JF-Expert Member
- Jun 25, 2017
- 508
- 340
- Thread starter
- #81
Jibu tu mkuuNilichotaka kukujibu hadi mimi mwenyewe nimecheka sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jibu tu mkuuNilichotaka kukujibu hadi mimi mwenyewe nimecheka sana
Huyo jamaa cyo mtu mwemaDuh! Kumbe huwa unapenda kuoma vifo vya wenzako?
Ukapige kelele IkuluJaman wana jamvi nimeona jinsi dk shika alivyokuwa maarufu ghafla mnisaidie niwe maarufu pia kama yeye nifanyeje
Jaman kauliza swali afanye nini ili awe maarufu ......anafikiri doctor shika kaupata umaarufu bure.....kachezea virungu vya police yule baada ya kuharibu mnada......kila kitu kina ghalama apambane na hali yakeDuh! Kumbe huwa unapenda kuoma vifo vya wenzako?
Bora nae afanye ivyo otherwise ni kifoJaman kauliza swali afanye nini ili awe maarufu ......anafikiri doctor shika kaupata umaarufu bure.....kachezea virungu vya police yule baada ya kuharibu mnada......kila kitu kina ghalama apambane na hali yake
Leo tangazo limetoka atatayeharibu mnada adhabu Kali itafuata juu yakeBora nae afanye ivyo otherwise ni kifo
Nipm nikushauri, watu wote maarufu wamepitia kwangu Gigi money,diamond, Zito kabwe, baadhi ya wakuu wa Mikoa hata Dr Shika mwenyewe.Jaman wana jamvi nimeona jinsi dk shika alivyokuwa maarufu ghafla mnisaidie niwe maarufu pia kama yeye nifanyeje
Nenda kanye posta mchana..!Jaman wana jamvi nimeona jinsi dk shika alivyokuwa maarufu ghafla mnisaidie niwe maarufu pia kama yeye nifanyeje
Nyumba za lugumi mnada unaludiwa fanya juu chin uwe maalufuJaman wana jamvi nimeona jinsi dk shika alivyokuwa maarufu ghafla mnisaidie niwe maarufu pia kama yeye nifanyeje
Kwaiyo na mimi nikatwe vidoleHujaskia mwenzio alishakatwa na baadhi ya vidole?
Kampige Kibao Makonda kesho kwenye FiestaJaman wana jamvi nimeona jinsi dk shika alivyokuwa maarufu ghafla mnisaidie niwe maarufu pia kama yeye nifanyeje
Sio kila siku ni jumapili.Jaman wana jamvi nimeona jinsi dk shika alivyokuwa maarufu ghafla mnisaidie niwe maarufu pia kama yeye nifanyeje
HahaaaaKatwa vidole vinnne, ung'olewe meno, upondwe kidole mpaka niwe chapati, upigwe mabanzi mpaka sikio lichanike, uwe na connection na CIA, uwe na PhD AF uishi kwa kula mlo mmoja huku ukikaa geto la uswazi kisha utakuwa maarufu.