Mjapaniz008
New Member
- Mar 17, 2024
- 3
- 8
Habari zenu wapendwa,
Mimi ni kijana wa miaka 26, Nimesomea Bachelor of Human Resource Managment nmemaliza mwaka jana 2023 lakini sijabahatika kupata ajira.
Nilikuwa naomba mnishauri jambo. Nina mtaji wa laki 2 Je ni biashara gani inaweza ikakidhi mtaji wangu.
Ahsanteni
Mimi ni kijana wa miaka 26, Nimesomea Bachelor of Human Resource Managment nmemaliza mwaka jana 2023 lakini sijabahatika kupata ajira.
Nilikuwa naomba mnishauri jambo. Nina mtaji wa laki 2 Je ni biashara gani inaweza ikakidhi mtaji wangu.
Ahsanteni