Nifanye maamuzi gani kwa huyu mwanamke?

Hapa najiona pia kwa adui "ujinga" kati ya maadui watatu
Tujitahid huwakimbiza hao maadui wa taifa.

Nukuu ya baba wa taifa.
""UTII UKIZIDI SANAA HUZAA UOGA, UOGA UKIZIDI SANA HUZAA UNAFIKI NA KUJIPENDEKEZA NA MWISHO WAKE NI MAUTI""
 
Kuna comment moja nilisoma youtube,,ni moja ya comment bora kabisa inasema:

furahia na mwanamke ukiwa nae na akienda usipoteze mda kumfikiria ila jiweke bize na mambo yako,ukitaka uaminifu wa mwanamke utakuwa dhaifu na kukosa nguvu kama mwanaume,uaminifu ni jukumu lake na si lako

Nimeipenda hii
 
Hii kama vle imekaa poa sana bro... nmeielewa na mimi
 
Mle tiGo alafu muache
 
Sina hata hamu nae. Haya manguo na mazaga yake nayakadiria niyataftie kigari kiyapeleke kwao tu. Ndo ubinadam nlobak nao juu yake
Kuna mambo sita mwanamke anayecheat huwa nayo,nakupa moja ishi nalo

Ukimhoji na kutaka kujua mambo flan flan atakwambia yan mimi huniamini mbona unakuwa na hofu isiyo na sababu au atakwambia mimi na yule jamaa ni marafiki tu

Shtuka boss
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…