Nifanye maamuzi gani kwa huyu mwanamke?

Nifanye maamuzi gani kwa huyu mwanamke?

Pole sana mkuu,
Nilikuwa nina mpango wa kuoa October hii, ngoja nijipe muda kwanza .
Screenshot_20241013-222917~2.jpg
 
Habarini wadau.

Niende moja kwa moja kwenye mada...
Huyu mrembo wangu nimekuwa naye kwa zaidi ya miaka mitatu. Kabla hatujaanza kuishi pamoja alipata kazi mkoa wa mbali kidogo (dar) na hapa ninapoishi mimi (Arusha). Alienda na alifanya kazi hio kwa miezi 9 tu kisha akaachana nayo na kurudi nilipo mimi na kuendelea na shughuli alizokuwa akifanya kipindi cha nyuma.

Kwa vile tulishatambulishana na mahari nimemtolea sikuona vibaya kuanza kuishi nae kabla ya ndoa. Alibeba kila kilicho chake na kuhamia kwangu rasmi.
Juzi wakati tukiwa kwny stori za hapa na pale, aliomba kuangalia simu yangu ninayoitumia. Sikuona tabu nikampatia, cha ajabu hakuhangaika na vilivyomo ndani, badala yake alitoa kava na kuikagua jinsi ilivyo kwa nje kisha akatabasamu na kusema kuwa ameipenda, na kama haitakuwa noma tubadilishane simu.

Sikuwa na neno coz namjua anapenda sana show offs. Japo yake pia n simu kali ila nilimkubalia. Tukahamisha details muhimu then tukabalilishana simu.
Jana nlipotoka job sikuwa na la kufanya, nikaona si mbaya nipitepite kwa simu hii niizoee mkononi.
Nlijikuta nmefika kwny trash (zinapohifadhiwa picha na video zilizofutwa kabla ya kufutika mazima).

Nilikutana na picha nyingi sana za mwanamke wangu akiwa ktk moja ya fukwe maarufu sana dar na alipiga kipindi ambacho alienda huko alipopata kazi aloifanya kwa muda mdogo na kurejea mkoani. Amevalia nguo ambazo hata mimi sijawah kuziona.
Pia zipo video akiwa na jamaa flan hv wakibebana na kucheza kwenye mchanga wa Beach wakiwa nusu uchi.

Hapa nimepigwa butwaa sielew nichukue maamuzi yapi kwa sasa. Bado sijamwambia chochote had sasa.

Maoni yenu n muhimu wakuu.
Mkuu kawaida alikuwa haishi mbinguni anaishi duniani ulichompendea ww ndio walichompendea wengine kikubwa heshima tu hata ww ulikuwa na vimeo vyako mkuu.
 
Mkuu kawaida alikuwa haishi mbinguni anaishi duniani ulichompendea ww ndio walichompendea wengine kikubwa heshima tu hata ww ulikuwa na vimeo vyako mkuu.
Kupendwa na kutumika n kawaida na tunajua hlo. Suala la kujiwekea ushahidi wa picha na video ndo tatzo lilipo.
 
Habarini wadau.

Niende moja kwa moja kwenye mada...
Huyu mrembo wangu nimekuwa naye kwa zaidi ya miaka mitatu. Kabla hatujaanza kuishi pamoja alipata kazi mkoa wa mbali kidogo (dar) na hapa ninapoishi mimi (Arusha). Alienda na alifanya kazi hio kwa miezi 9 tu kisha akaachana nayo na kurudi nilipo mimi na kuendelea na shughuli alizokuwa akifanya kipindi cha nyuma.

Kwa vile tulishatambulishana na mahari nimemtolea sikuona vibaya kuanza kuishi nae kabla ya ndoa. Alibeba kila kilicho chake na kuhamia kwangu rasmi.
Juzi wakati tukiwa kwny stori za hapa na pale, aliomba kuangalia simu yangu ninayoitumia. Sikuona tabu nikampatia, cha ajabu hakuhangaika na vilivyomo ndani, badala yake alitoa kava na kuikagua jinsi ilivyo kwa nje kisha akatabasamu na kusema kuwa ameipenda, na kama haitakuwa noma tubadilishane simu.

Sikuwa na neno coz namjua anapenda sana show offs. Japo yake pia n simu kali ila nilimkubalia. Tukahamisha details muhimu then tukabalilishana simu.
Jana nlipotoka job sikuwa na la kufanya, nikaona si mbaya nipitepite kwa simu hii niizoee mkononi.
Nlijikuta nmefika kwny trash (zinapohifadhiwa picha na video zilizofutwa kabla ya kufutika mazima).

Nilikutana na picha nyingi sana za mwanamke wangu akiwa ktk moja ya fukwe maarufu sana dar na alipiga kipindi ambacho alienda huko alipopata kazi aloifanya kwa muda mdogo na kurejea mkoani. Amevalia nguo ambazo hata mimi sijawah kuziona.
Pia zipo video akiwa na jamaa flan hv wakibebana na kucheza kwenye mchanga wa Beach wakiwa nusu uchi.

Hapa nimepigwa butwaa sielew nichukue maamuzi yapi kwa sasa. Bado sijamwambia chochote had sasa.

Maoni yenu n muhimu wakuu.
Kama sio uongo basi wewe ni lijinga.
 
Wee msengerema nini... Unataka Mungu akuonyeshe nini tena... You've 2 options, Kill her or Leave her broken... Mwanaume gani hujui cha kufanya till now... Go to hell
 
Nlijikuta nmefika kwny trash (zinapohifadhiwa picha na video zilizofutwa kabla ya kufutika mazima).
Samahani mkuu kwenye thrash unafikaje?

Kuhusu ushauri naomba uchukue video moja uweke status halafu usubiri reaction yake.
 
Wee msengerema nini... Unataka Mungu akuonyeshe nini tena... You've 2 options, Kill her or Leave her broken... Mwanaume gani hujui cha kufanya till now... Go to hell
Nmeleta mrejesho mkuu, soma replies.
 
Samahani mkuu kwenye thrash unafikaje?

Kuhusu ushauri naomba uchukue video moja uweke status halafu usubiri reaction yake.
Nilikuwa najarib kupunguza contents ambazo hazikuwa na faida kwangu. Kila nikifuta inaenda kwenye trash. Nikaona nizifuate huko huko nikazifute permanently.

Ndo nikakutana na hayo mambo
 
Habarini wadau.

Niende moja kwa moja kwenye mada...
Huyu mrembo wangu nimekuwa naye kwa zaidi ya miaka mitatu. Kabla hatujaanza kuishi pamoja alipata kazi mkoa wa mbali kidogo (dar) na hapa ninapoishi mimi (Arusha). Alienda na alifanya kazi hio kwa miezi 9 tu kisha akaachana nayo na kurudi nilipo mimi na kuendelea na shughuli alizokuwa akifanya kipindi cha nyuma.

Kwa vile tulishatambulishana na mahari nimemtolea sikuona vibaya kuanza kuishi nae kabla ya ndoa. Alibeba kila kilicho chake na kuhamia kwangu rasmi.
Juzi wakati tukiwa kwny stori za hapa na pale, aliomba kuangalia simu yangu ninayoitumia. Sikuona tabu nikampatia, cha ajabu hakuhangaika na vilivyomo ndani, badala yake alitoa kava na kuikagua jinsi ilivyo kwa nje kisha akatabasamu na kusema kuwa ameipenda, na kama haitakuwa noma tubadilishane simu.

Sikuwa na neno coz namjua anapenda sana show offs. Japo yake pia n simu kali ila nilimkubalia. Tukahamisha details muhimu then tukabalilishana simu.
Jana nlipotoka job sikuwa na la kufanya, nikaona si mbaya nipitepite kwa simu hii niizoee mkononi.
Nlijikuta nmefika kwny trash (zinapohifadhiwa picha na video zilizofutwa kabla ya kufutika mazima).

Nilikutana na picha nyingi sana za mwanamke wangu akiwa ktk moja ya fukwe maarufu sana dar na alipiga kipindi ambacho alienda huko alipopata kazi aloifanya kwa muda mdogo na kurejea mkoani. Amevalia nguo ambazo hata mimi sijawah kuziona.
Pia zipo video akiwa na jamaa flan hv wakibebana na kucheza kwenye mchanga wa Beach wakiwa nusu uchi.

Hapa nimepigwa butwaa sielew nichukue maamuzi yapi kwa sasa. Bado sijamwambia chochote had sasa.

Maoni yenu n muhimu wakuu.
Una umri gani?
 
Mgodi ni kama sahani ukisha tumia inaoshwa mwingine akija anaitumia hata wewe siyo kama chaki,
 
Hawa wanawake bhana duuh kuna jamaa ni ticha juzi kati kakosa kufa na BP sababu ya mke yaani mke alikuwa anatoka na kishikaji ambacho kilikuwa kihawala cha binti wa huyo mama tena kimempa had mimba binti yake daah Yan ni hatareee ticha BP ilipanda had akawa anatoka had damu puani ikabidi serkal ifanye mpango wa kumhamisha ticha kwenda mko mwingine akae mbali na mke wake binti Nae katoroka hajulikani aliko..........kiufupi tu baharia mwenzangu piga chini huyo hiyo ni alama ya check ingine ogopa sana
 
Hawa wanawake bhana duuh kuna jamaa ni ticha juzi kati kakosa kufa na BP sababu ya mke yaani mke alikuwa anatoka na kishikaji ambacho kilikuwa kihawala cha binti wa huyo mama tena kimempa had mimba binti yake daah Yan ni hatareee ticha BP ilipanda had akawa anatoka had damu puani ikabidi serkal ifanye mpango wa kumhamisha ticha kwenda mko mwingine akae mbali na mke wake binti Nae katoroka hajulikani aliko..........kiufupi tu baharia mwenzangu piga chini huyo hiyo ni alama ya check ingine ogopa sana
Je kama mgodi unatema pia apige chini?
 
Habarini wadau.

Niende moja kwa moja kwenye mada...
Huyu mrembo wangu nimekuwa naye kwa zaidi ya miaka mitatu. Kabla hatujaanza kuishi pamoja alipata kazi mkoa wa mbali kidogo (dar) na hapa ninapoishi mimi (Arusha). Alienda na alifanya kazi hio kwa miezi 9 tu kisha akaachana nayo na kurudi nilipo mimi na kuendelea na shughuli alizokuwa akifanya kipindi cha nyuma.

Kwa vile tulishatambulishana na mahari nimemtolea sikuona vibaya kuanza kuishi nae kabla ya ndoa. Alibeba kila kilicho chake na kuhamia kwangu rasmi.
Juzi wakati tukiwa kwny stori za hapa na pale, aliomba kuangalia simu yangu ninayoitumia. Sikuona tabu nikampatia, cha ajabu hakuhangaika na vilivyomo ndani, badala yake alitoa kava na kuikagua jinsi ilivyo kwa nje kisha akatabasamu na kusema kuwa ameipenda, na kama haitakuwa noma tubadilishane simu.

Sikuwa na neno coz namjua anapenda sana show offs. Japo yake pia n simu kali ila nilimkubalia. Tukahamisha details muhimu then tukabalilishana simu.
Jana nlipotoka job sikuwa na la kufanya, nikaona si mbaya nipitepite kwa simu hii niizoee mkononi.
Nlijikuta nmefika kwny trash (zinapohifadhiwa picha na video zilizofutwa kabla ya kufutika mazima).

Nilikutana na picha nyingi sana za mwanamke wangu akiwa ktk moja ya fukwe maarufu sana dar na alipiga kipindi ambacho alienda huko alipopata kazi aloifanya kwa muda mdogo na kurejea mkoani. Amevalia nguo ambazo hata mimi sijawah kuziona.
Pia zipo video akiwa na jamaa flan hv wakibebana na kucheza kwenye mchanga wa Beach wakiwa nusu uchi.

Hapa nimepigwa butwaa sielew nichukue maamuzi yapi kwa sasa. Bado sijamwambia chochote had sasa.

Maoni yenu n muhimu wakuu.
Kitu kixito kimeshatua ila naona hakijakujeruhi sana na unayo nafasi ya kutoka japo kitakuachia majeraha madogo.

Muhoji haya maswali kuweka mambo sawa.

Ni kazi ndio ilimpeleka Dar au ni hilo jambo?
Nini kilipelekea akaacha kazi baada ya miezi 9?
Nini kilifanya akafuta hizo picha (ipo motive mpaka akafuta)

Kwakua aliindoka kama mchumba wako unayo haki ya msingi kujua kila kitu kuhusiana na hizo picha.
 
Back
Top Bottom