Nimekusoma vyema broKuna namna mwanamke wa mkoani akija Dar ataliwa tu...sio kama ni umalaya hapana huwa wanaona ni sifa kuwa na mwanaume dar ...hasa moshi na arusha...
Na akinogewa anahamia ila huku dar hataolewa na mwisho anakua malaya na anakosa yote kuna kaushamba flani hivi cha wanawake wa mkoani kwa wanaume wa dar....
Nakushauri kitu..hebu usimwache..mwambie kila kitu akikiri na kusema ukweli basi huyo anaweza kubadilishika ila akikaza jua imekula kwako..mwenzio anapenda beach za dar..!
Halafu mdogo wangu haraka ya ndoa na mahari ya nini na mwenzio humjui vizuri...vuta end brake...mcheki kwa mbaaali huku unammega kisela...hana muda atatandaza mkeka wote mezani
Nakazia.Ingawa utasikia, Nenda church, Katoe sadaka ya shukrani, samehe Maharishi, mfukuze Leo!
Kamwe, kamwe, mwanamke Malaya hatobadilika, umalaya unazidi baada ya Ndoa!
Kama Mchumba anatoka nje wakati wa uchumba, expect Kuwa atatoka zaidi wakati wa ndoa!
Shukran bro. Hii reply itabidi niisome mara kadhaa. Naona itanifungua akiliPole sana mkuu.
Katika makosa yote ambayo hupaswi kumsamehe mwanamke ni CHEATING. Mwanamke msaliti hasameheki, sababu ya kutosameheka ni moja tu, hatoweza kuacha kurudia hiko kitendo cha kusaliti, either umejua au hujajua ila ataendelea tu na huo mchezo.
Tunza hizo picha sehemu kadhaa, kaa nae chini na umwambie mmefika mwisho wa mapenzi yenu. Achana na machozi atakayotoa, achana na maneno ya kujishusha na kuomba msamaha atakayotoa, ni hisia tu hizo ila ukishamrudisha ktk nafasi yake baada ya muda atasahau.
Tunakwambia hivi sababu tayari tumewahi kupitia mazingira kama yako, mwanamke aliyetolewa mahari au anakaribia kutolewa mahari hapaswi tu kucheat ila hata kuwaza kucheat hapaswi kabisa kuwaza. Dalili zote unazoona kwenye uchumba, ndani ya ndoa inakuwa ni mara mbili yake.
Tafuta humu wanaume waliowahi kusamehe wapenzi wao kwa kesi za cheating je, wake zao walibadilika?
Yaani Nilikua napuuzia red flag 🚩 sasa mwishowe kaniacha mimi karud kwa bwana akePole mkuu,
Ulimpiga chini baada ya tukio?
Dooh! Pole mkuu. Me apa shida n vile nimemposa, kwao tunaheshimiana sana na mdogo ake (yaan shemej angu) nimemfungulia mradi mdogo wa kumpa chochote.Yaani Nilikua napuuzia red flag 🚩 sasa mwishowe kaniacha mimi karud kwa bwana ake
Ni juzi tu hapa
Pole sana tena sana maana umefika mbali mi tuliishia ktambulishana posa sikutoaDooh! Pole mkuu. Me apa shida n vile nimemposa, kwao tunaheshimiana sana na mdogo ake (yaan shemej angu) nimemfungulia mradi mdogo wa kumpa chochote.
Apa kichwa kinauma nikifikiria yote
Mtumie hiyo video aliyobebwa akiwa ufukweni na jamaa...Habarini wadau.
Niende moja kwa moja kwenye mada...
Huyu mrembo wangu nimekuwa naye kwa zaidi ya miaka mitatu. Kabla hatujaanza kuishi pamoja alipata kazi mkoa wa mbali kidogo (dar) na hapa ninapoishi mimi (Arusha). Alienda na alifanya kazi hio kwa miezi 9 tu kisha akaachana nayo na kurudi nilipo mimi na kuendelea na shughuli alizokuwa akifanya kipindi cha nyuma.
Kwa vile tulishatambulishana na mahari nimemtolea sikuona vibaya kuanza kuishi nae kabla ya ndoa. Alibeba kila kilicho chake na kuhamia kwangu rasmi.
Juzi wakati tukiwa kwny stori za hapa na pale, aliomba kuangalia simu yangu ninayoitumia. Sikuona tabu nikampatia, cha ajabu hakuhangaika na vilivyomo ndani, badala yake alitoa kava na kuikagua jinsi ilivyo kwa nje kisha akatabasamu na kusema kuwa ameipenda, na kama haitakuwa noma tubadilishane simu.
Sikuwa na neno coz namjua anapenda sana show offs. Japo yake pia n simu kali ila nilimkubalia. Tukahamisha details muhimu then tukabalilishana simu.
Jana nlipotoka job sikuwa na la kufanya, nikaona si mbaya nipitepite kwa simu hii niizoee mkononi.
Nlijikuta nmefika kwny trash (zinapohifadhiwa picha na video zilizofutwa kabla ya kufutika mazima).
Nilikutana na picha nyingi sana za mwanamke wangu akiwa ktk moja ya fukwe maarufu sana dar na alipiga kipindi ambacho alienda huko alipopata kazi aloifanya kwa muda mdogo na kurejea mkoani. Amevalia nguo ambazo hata mimi sijawah kuziona.
Pia zipo video akiwa na jamaa flan hv wakibebana na kucheza kwenye mchanga wa Beach wakiwa nusu uchi.
Hapa nimepigwa butwaa sielew nichukue maamuzi yapi kwa sasa. Bado sijamwambia chochote had sasa.
Maoni yenu n muhimu wakuu.
Hiyo video haitafutika kichwani, kila akokosewa anaanza kuimegin....Mwambie alichokifanya wakijua ili wakati mwingine asirudie ili wewe uwe na amani na pia yeye liwe somo kwake kuwa hakuna jambo lililositirika chini ya jua na ulimwengu huu wa kidijitali