Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ChaiHabarini wadau.
Niende moja kwa moja kwenye mada...
Huyu mrembo wangu nimekuwa naye kwa zaidi ya miaka mitatu. Kabla hatujaanza kuishi pamoja alipata kazi mkoa wa mbali kidogo (dar) na hapa ninapoishi mimi (Arusha). Alienda na alifanya kazi hio kwa miezi 9 tu kisha akaachana nayo na kurudi nilipo mimi na kuendelea na shughuli alizokuwa akifanya kipindi cha nyuma.
Kwa vile tulishatambulishana na mahari nimemtolea sikuona vibaya kuanza kuishi nae kabla ya ndoa. Alibeba kila kilicho chake na kuhamia kwangu rasmi.
Juzi wakati tukiwa kwny stori za hapa na pale, aliomba kuangalia simu yangu ninayoitumia. Sikuona tabu nikampatia, cha ajabu hakuhangaika na vilivyomo ndani, badala yake alitoa kava na kuikagua jinsi ilivyo kwa nje kisha akatabasamu na kusema kuwa ameipenda, na kama haitakuwa noma tubadilishane simu.
Sikuwa na neno coz namjua anapenda sana show offs. Japo yake pia n simu kali ila nilimkubalia. Tukahamisha details muhimu then tukabalilishana simu.
Jana nlipotoka job sikuwa na la kufanya, nikaona si mbaya nipitepite kwa simu hii niizoee mkononi.
Nlijikuta nmefika kwny trash (zinapohifadhiwa picha na video zilizofutwa kabla ya kufutika mazima).
Nilikutana na picha nyingi sana za mwanamke wangu akiwa ktk moja ya fukwe maarufu sana dar na alipiga kipindi ambacho alienda huko alipopata kazi aloifanya kwa muda mdogo na kurejea mkoani. Amevalia nguo ambazo hata mimi sijawah kuziona.
Pia zipo video akiwa na jamaa flan hv wakibebana na kucheza kwenye mchanga wa Beach wakiwa nusu uchi.
Hapa nimepigwa butwaa sielew nichukue maamuzi yapi kwa sasa. Bado sijamwambia chochote had sasa.
Maoni yenu n muhimu wakuu.
Umeanza lini ushauri wewe?Kikubwa angalia tarehe, kama ni za hivi karibuni baada ya kutoa mahari unajua cha kufanya🤣
Sahivi yeye yupo wapi?Dem nlonae n huyu tu.
Kama umeamua kumchunguza maliza kabisa:Dem nlonae n huyu tu.
Stori za kutunga.Habarini wadau.
Niende moja kwa moja kwenye mada...
Huyu mrembo wangu nimekuwa naye kwa zaidi ya miaka mitatu. Kabla hatujaanza kuishi pamoja alipata kazi mkoa wa mbali kidogo (dar) na hapa ninapoishi mimi (Arusha). Alienda na alifanya kazi hio kwa miezi 9 tu kisha akaachana nayo na kurudi nilipo mimi na kuendelea na shughuli alizokuwa akifanya kipindi cha nyuma.
Kwa vile tulishatambulishana na mahari nimemtolea sikuona vibaya kuanza kuishi nae kabla ya ndoa. Alibeba kila kilicho chake na kuhamia kwangu rasmi.
Juzi wakati tukiwa kwny stori za hapa na pale, aliomba kuangalia simu yangu ninayoitumia. Sikuona tabu nikampatia, cha ajabu hakuhangaika na vilivyomo ndani, badala yake alitoa kava na kuikagua jinsi ilivyo kwa nje kisha akatabasamu na kusema kuwa ameipenda, na kama haitakuwa noma tubadilishane simu.
Sikuwa na neno coz namjua anapenda sana show offs. Japo yake pia n simu kali ila nilimkubalia. Tukahamisha details muhimu then tukabalilishana simu.
Jana nlipotoka job sikuwa na la kufanya, nikaona si mbaya nipitepite kwa simu hii niizoee mkononi.
Nlijikuta nmefika kwny trash (zinapohifadhiwa picha na video zilizofutwa kabla ya kufutika mazima).
Nilikutana na picha nyingi sana za mwanamke wangu akiwa ktk moja ya fukwe maarufu sana dar na alipiga kipindi ambacho alienda huko alipopata kazi aloifanya kwa muda mdogo na kurejea mkoani. Amevalia nguo ambazo hata mimi sijawah kuziona.
Pia zipo video akiwa na jamaa flan hv wakibebana na kucheza kwenye mchanga wa Beach wakiwa nusu uchi.
Hapa nimepigwa butwaa sielew nichukue maamuzi yapi kwa sasa. Bado sijamwambia chochote had sasa.
Maoni yenu n muhimu wakuu.
Nafanya hvo mkuuKama umeamua kumchunguza maliza kabisa:
1. Ingia katika Google yake kisha ingia Google Photos.
2. Katika hiyo simu angalia browsing history yake.
3. Na mwisho, chukua App yake ya Uber au Bolt angalia trip history na muda wa izo trip.
Mwisho kabisa inabidi uongee nae man to man hiyo issue ujue response yake.
Otherwise kubali kushindwa.
Mkuu umeifunga mada.Kuanzia hapo hutakuwa na amani na huyo mwanamke mpaka unaingia kaburini......hicho ulichokiona kwenye simu ndio uhalisia wake.....na kimeweka muhuri wa moto moyoni mwako.........
Vita utakavyopigana navyo moyoni mwako ndio vitaamua uchukue maamuzi gani......
MAPENZI HAYASHAURIKI........
Uko sahihi Mkuu hapo amani ya moyo juu yake hauwezi kuipata tena hata kama atapotezea vipi haiwezi potea mood swing za furaha na hasira ataishi nazo siku zote, kiufupi ameshavuruga afya ya akili kwenye upande wa mahusiano.Kuanzia hapo hutakuwa na amani na huyo mwanamke mpaka unaingia kaburini......hicho ulichokiona kwenye simu ndio uhalisia wake.....na kimeweka muhuri wa moto moyoni mwako.........
Vita utakavyopigana navyo moyoni mwako ndio vitaamua uchukue maamuzi gani......
MAPENZI HAYASHAURIKI........
NAKAZIAKuanzia hapo hutakuwa na amani na huyo mwanamke mpaka unaingia kaburini......hicho ulichokiona kwenye simu ndio uhalisia wake.....na kimeweka muhuri wa moto moyoni mwako.........
Vita utakavyopigana navyo moyoni mwako ndio vitaamua uchukue maamuzi gani......
MAPENZI HAYASHAURIKI........