Nifanye nini ili maombi yangu yajibiwe haraka?

Nifanye nini ili maombi yangu yajibiwe haraka?

Maombi bila sadaka ni kazi bure na ubatili mtupu

Sala na sadaka zinatikiwa zote ziende kwa Mungu kwa mpigo

Matendo 10:3-4 kornelio aliambiwa sala zako na sadaka zimefika kwa Mungu sio sala pekee

Kuwa na waombaji sana wasiokuwa watoaji sadaka huwa vigumu wao kutoboa kimaisha na baadaye wengine huacha imani kuwa mbona wanaomba sana hawapati majibu

Ubahili wa kutoa sadaka kwa moyo wa ukunjufu sio kwa kulazimishwa huwa ndio sababu

Mtu akifikia level ya kutoa sadaka nyingi kwa moyo wa ukunjufu bila kulazimishwa maana Mungu humpenda atoaye kwa hiari na moyo wa ukunjufu lazima afanikiwe na akiomba hata dakika mbili tu anapata majibu hahitaji mfungo wa siku arobaini au hamsini kavu
Sadaka ni nyongeza ya hayo nilioyasema hapo juu,ukitoa sadaka kama hayo niliosema hujayafanya itakuwa ni kazi bure,kwakuwa maombi ya mwenye dhambi ni kelele mbele za Mungu....
 
Back
Top Bottom