Kabisa biashara sometimes inaweza kukufanya uwe unameza pain killersHakuna sehemu inayohitaji uvumilivu kama wa Paulo na silla kama kwenye biashara...kuna changamoto sana..INGAWA HELA KITAA IPO
Dadeki ... hii biashara anaifanya mkoa gani mkuu !? Tukimbilie huko !?inategemea na mahali ulipo pana fursa gani,,
mfano dogo langu anaenda kwa wavuvi wa samaki ananua wale sangara wakubwa sana then anatoa kitu flani kwenye yule samaki kinaitwa bondo,,
iilo bondo anauza kwa wachina mpaka laki nne,
huyo samaki ana mnunua laki mpaka laki na nusu
akishatoa bonndo samaki anamuuza fasta kwa watu wa hoteli au migahawa,,,
sasa hapo ulipo ww kuna fursa zipi,,kilimo dhahabu,,mifugo,,utalii,,,
Hapana mkuu inawezekana... tatizo sehemu kubwa ya jamii yetu inatatizwa na uhaba wa taarifa chanya za biashara '"Kuna mambo mengine tujaribu kufikirisha bongo..hahahaha...yaan ni kituko!
Hapo ndio utakuwa mwanzo wake wa ku-failKwa kuwa tupo jf. Ni kupeana realities kuhusu biashara, wengi wetu tunakosa uharisia tukizungumzia biashara, tunajua unafanikiwa kwa mara moja bila kuangalia mambo mbali mbali ambayo ndiyo yatakufikisha kwenye mafanikio mfano biashara kwenye hatua za mwanzo lazima kwanza uwekeze pesa na mda wako ili upate uzoefu namna ya kuendesha biashara hiyo, vile vile unatakiwa utengeneze jina (utengeneze wateja)
1. Mtaji 1m
2. Uanzishe biashara umuweke mtu hakutengenezee hiyo faida
3. Biashara yako huijui.
4. Hujawekeza mda
5.Ndani ya miezi mitatu au sita unaanza ku assess biashara kama ina faida au haina.
Sent using Jamii Forums mobile app
HahaaaNunua tunguri 3
Kaniki
Shuka nyeupe vs nyekundu
Nunua JINI (mwalimu & maimuna)
nunua ungo
Pesa ya mafunzo kdg. (Kozi)
ANZA KUJIFUNZA UGANGA. unalipa kishenzi
Sent using Jamii Forums mobile app
HahaaaMkuu kiuhalisia haiwezekani labda ufanye biashara za magendo
mpuuzi mpuuzi tu
Hakika mkuu information is powerkua well informed bro utafikia malengo, what you think ni sahihi na inawezekana,,INFORMATION IS POWER
Haha haha hahaaaaNimeusoma huu uzil mwanzo adi mwisho, kila mtu anashauri abet
Tuweni nahuruma jamani wengine tulikua warahibu wamambo yakubet tumefanikiwa kuacha ila kila nnavoona hio habar ya kubet nashikwa napepo najikaza mno, hio habar inashawishi zaid ya vdeo za porno zinavoshawishi ngono.
Sent using Jamii Forums mobile app
HahaaaTrade forex, biashara yenye utajili mkubwa duniani hata benk hawataki uijue.
By ONTARIO
Well said indeedHYO FAIDA INAWEZEKANA YA LAKI MBILI KWA WIKI INATEGEMEA NA AINA YA BIASHARA NA UNAIFANYIA WAPI NA WAKATI GANI NA MTAJI WA HYO HYO MILION MOJA SEMA WENGI WETU TUNA FIKIRI KATIKA WIGO MMOJA TU NA MARA NYING SANA TUNAKUWA NA MAWAZO HASI NA MAWAZO YA KUFELI MUDA WOTE
NA KILA BIASHARA INA FAIDA NA HASARA ZAKE NI JAMBO LA MSINGI KUJUA HILO
Well said chiefMil 1 umepima iyo kiasi ukaona lazima italeta profit ya laki 2 per week, sema inawezekana kama utauza highly consumable goods, naamini still 1mil. ni kubwa, mtu akisema anahitaji 10mil au 5mil afanye biashara iyo ni kufikiri kutaka kuwa comfortable zaidi.. lakini out of comfortable zone unaweza kufanya business kwa kiasi chochote hata cha chini na uwe comfortable... 1mil. Ukiweka usharobaro mbali ni kubwa tu. Be inspired, push it, awake, be confident, never get tired, become only positive, if you stay positive in negative situation then you win, tambua most of the people they will be negative ukiwa unaanza hapo uwe makini, ukifanikiwa watakuhitaji, waambie mwanzo if you don't love me now don't love me later when my paper is much......
Dada utupe mrejesho basi maana naafatilia sana hz mishe ila nafeli aiseeSaa hizi za maana ni 300 kwenda juu
Za 200 ni machozi tupu!
Kuna jamaa wanaship moja kwa moja waarab natamani niwajaribu kama hawana ronya nizame nao
Hapana mkuu inawezekana... tatizo sehemu kubwa ya jamii yetu inatatizwa na uhaba wa taarifa chanya za biashara '"
Juzi kati nilimpigia rafiki yangu mmoja hivi anayeishi tanga " nikawa na muuliza fursa zinazo patikana huko " akanipa mchongo wa kupeleka Pili pili mtama Zanzibar " Aliniambia kwamba pale kijijini kwao pili pili mtama kwa kg1, moja wanauza 2500 gharama za usafiri kwa kila kg1ni 500 so jumla 3000 .. ukifika sokoni Zanzibar unauza pili pili mtama kwa kila kg1 kwa tsh:3000,... ukipeleka mzigo wa laki 3, unauhakika wa kupata faida laki 3, nyingine kama mapato " ukitoa toa gharama za chakula na malazi unaweza jikuta unabaki na laki 2,as faida ....
Haya mambo yapo msiwe mnabisha ... tatizo ambalo litam-cost mtoa mada ni kwakuwa hana muda wa kuisimamia hiyo biashara so kwa upande wake ni ngumu kuweza kuipata hiyo faida .. kwa sababu biashara yenye mtaji mdogo kama hii inahitaji kwanza wewe mwenyewe ujitoe " mpaka pale ambapo itakapo kuwa imesimama haswaa ndio umpe majukumu mtu mwingine aweze kuisimamia na uaminifu wake uwe ni wakiwango cha 98%
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii china au?Nunua handbags za kike, classic ,inakaa pc tatu au nne, znakuwa tofaut kabsa na zile zinazouzwa kkoo... Unanunua kwa 17,000 usafir 3500 kila handabag, jumla 20500...
Ww uza 28,000 jumla
Maana huku jumla wanauzaga 35 rejareja 40 hadi elfu 60..
Ukipost mitandaon utapata wateja kutoka mikoa weng na hapa dar kwa ajili iyo bei ndogo.
Kuuza handbags 20 kwa siku n kitu cha kawaida kabsa..
Au unawauzia wenye maduka unachukua order
Unapofata mzigo wa handbags unachanganya na vichwa vya kuuzia mawigi vinauzwa 1700 usafiri wa kila kochwa 2000 jumla 3700 kikifika Tanzania huwa vinauzwa 15,000 hadi 20,000
Pia changanya na midoli ya kuuzia nguo,
Inauzwa 17,000 usafiri 17,000 jumka 34,000 hapa tanzania inauzwa elfu 80 hadi 150,000.
Ningekuwa na capital mimi ningekuwa tajiri tayar daaa maana machimbo ya hivi vitu nayajua vzur
Sent using Jamii Forums mobile app
Yeah kuongea ni rahisi ' lakini hatupaswi kuishia tu kusema kuwa haiwezekani " ilhali kuna walioweza na bado wanaweza Tunapaswa kujifunza toka kwao tunapaswa kujifunza njia baadhi ambazo ziliwasaidia wao kufika huko kabla hatujaingiza pesa kwenye hiyo miradi[emoji16][emoji16][emoji16]...wengi hawajaingia kbs kwenye biashara aisee kuongea ni rahisi sana sana !hahaha!anywys
Yeah kuongea ni rahisi ' lakini hatupaswi kuishia tu kusema kuwa haiwezekani " ilhali kuna walioweza na bado wanaweza Tunapaswa kujifunza toka kwao tunapaswa kujifunza njia baadhi ambazo ziliwasaidia wao kufika huko kabla hatujaingiza pesa kwenye hiyo miradi
Sent using Jamii Forums mobile app
Yeah kuongea ni rahisi ' lakini hatupaswi kuishia tu kusema kuwa haiwezekani " ilhali kuna walioweza na bado wanaweza Tunapaswa kujifunza toka kwao tunapaswa kujifunza njia baadhi ambazo ziliwasaidia wao kufika huko kabla hatujaingiza pesa kwenye hiyo miradi
Sent using Jamii Forums mobile app