Nunua handbags za kike, classic ,inakaa pc tatu au nne, znakuwa tofaut kabsa na zile zinazouzwa kkoo... Unanunua kwa 17,000 usafir 3500 kila handabag, jumla 20500...
Ww uza 28,000 jumla
Maana huku jumla wanauzaga 35 rejareja 40 hadi elfu 60..
Ukipost mitandaon utapata wateja kutoka mikoa weng na hapa dar kwa ajili iyo bei ndogo.
Kuuza handbags 20 kwa siku n kitu cha kawaida kabsa..
Au unawauzia wenye maduka unachukua order
Unapofata mzigo wa handbags unachanganya na vichwa vya kuuzia mawigi vinauzwa 1700 usafiri wa kila kochwa 2000 jumla 3700 kikifika Tanzania huwa vinauzwa 15,000 hadi 20,000
Pia changanya na midoli ya kuuzia nguo,
Inauzwa 17,000 usafiri 17,000 jumka 34,000 hapa tanzania inauzwa elfu 80 hadi 150,000.
Ningekuwa na capital mimi ningekuwa tajiri tayar daaa maana machimbo ya hivi vitu nayajua vzur
Sent using
Jamii Forums mobile app