Nifanye nini ili niweze kuingiza laki mbili kwa wiki nje ya mshahara?

Nifanye nini ili niweze kuingiza laki mbili kwa wiki nje ya mshahara?

inategemea na mahali ulipo pana fursa gani,,
mfano dogo langu anaenda kwa wavuvi wa samaki ananua wale sangara wakubwa sana then anatoa kitu flani kwenye yule samaki kinaitwa bondo,,

iilo bondo anauza kwa wachina mpaka laki nne,
huyo samaki ana mnunua laki mpaka laki na nusu
akishatoa bonndo samaki anamuuza fasta kwa watu wa hoteli au migahawa,,,

sasa hapo ulipo ww kuna fursa zipi,,kilimo dhahabu,,mifugo,,utalii,,,
Dadeki ... hii biashara anaifanya mkoa gani mkuu !? Tukimbilie huko !?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna mambo mengine tujaribu kufikirisha bongo..hahahaha...yaan ni kituko!
Hapana mkuu inawezekana... tatizo sehemu kubwa ya jamii yetu inatatizwa na uhaba wa taarifa chanya za biashara '"

Juzi kati nilimpigia rafiki yangu mmoja hivi anayeishi tanga " nikawa na muuliza fursa zinazo patikana huko " akanipa mchongo wa kupeleka Pili pili mtama Zanzibar " Aliniambia kwamba pale kijijini kwao pili pili mtama kwa kg1, moja wanauza 2500 gharama za usafiri kwa kila kg1ni 500 so jumla 3000 .. ukifika sokoni Zanzibar unauza pili pili mtama kwa kila kg1 kwa tsh:3000,... ukipeleka mzigo wa laki 3, unauhakika wa kupata faida laki 3, nyingine kama mapato " ukitoa toa gharama za chakula na malazi unaweza jikuta unabaki na laki 2,as faida ....

Haya mambo yapo msiwe mnabisha ... tatizo ambalo litam-cost mtoa mada ni kwakuwa hana muda wa kuisimamia hiyo biashara so kwa upande wake ni ngumu kuweza kuipata hiyo faida .. kwa sababu biashara yenye mtaji mdogo kama hii inahitaji kwanza wewe mwenyewe ujitoe " mpaka pale ambapo itakapo kuwa imesimama haswaa ndio umpe majukumu mtu mwingine aweze kuisimamia na uaminifu wake uwe ni wakiwango cha 98%

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa kuwa tupo jf. Ni kupeana realities kuhusu biashara, wengi wetu tunakosa uharisia tukizungumzia biashara, tunajua unafanikiwa kwa mara moja bila kuangalia mambo mbali mbali ambayo ndiyo yatakufikisha kwenye mafanikio mfano biashara kwenye hatua za mwanzo lazima kwanza uwekeze pesa na mda wako ili upate uzoefu namna ya kuendesha biashara hiyo, vile vile unatakiwa utengeneze jina (utengeneze wateja)
1. Mtaji 1m
2. Uanzishe biashara umuweke mtu hakutengenezee hiyo faida
3. Biashara yako huijui.
4. Hujawekeza mda
5.Ndani ya miezi mitatu au sita unaanza ku assess biashara kama ina faida au haina.


Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo ndio utakuwa mwanzo wake wa ku-fail

Sent using Jamii Forums mobile app
 
HYO FAIDA INAWEZEKANA YA LAKI MBILI KWA WIKI INATEGEMEA NA AINA YA BIASHARA NA UNAIFANYIA WAPI NA WAKATI GANI NA MTAJI WA HYO HYO MILION MOJA SEMA WENGI WETU TUNA FIKIRI KATIKA WIGO MMOJA TU NA MARA NYING SANA TUNAKUWA NA MAWAZO HASI NA MAWAZO YA KUFELI MUDA WOTE

NA KILA BIASHARA INA FAIDA NA HASARA ZAKE NI JAMBO LA MSINGI KUJUA HILO
Well said indeed

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mil 1 umepima iyo kiasi ukaona lazima italeta profit ya laki 2 per week, sema inawezekana kama utauza highly consumable goods, naamini still 1mil. ni kubwa, mtu akisema anahitaji 10mil au 5mil afanye biashara iyo ni kufikiri kutaka kuwa comfortable zaidi.. lakini out of comfortable zone unaweza kufanya business kwa kiasi chochote hata cha chini na uwe comfortable... 1mil. Ukiweka usharobaro mbali ni kubwa tu. Be inspired, push it, awake, be confident, never get tired, become only positive, if you stay positive in negative situation then you win, tambua most of the people they will be negative ukiwa unaanza hapo uwe makini, ukifanikiwa watakuhitaji, waambie mwanzo if you don't love me now don't love me later when my paper is much......
Well said chief

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapana mkuu inawezekana... tatizo sehemu kubwa ya jamii yetu inatatizwa na uhaba wa taarifa chanya za biashara '"

Juzi kati nilimpigia rafiki yangu mmoja hivi anayeishi tanga " nikawa na muuliza fursa zinazo patikana huko " akanipa mchongo wa kupeleka Pili pili mtama Zanzibar " Aliniambia kwamba pale kijijini kwao pili pili mtama kwa kg1, moja wanauza 2500 gharama za usafiri kwa kila kg1ni 500 so jumla 3000 .. ukifika sokoni Zanzibar unauza pili pili mtama kwa kila kg1 kwa tsh:3000,... ukipeleka mzigo wa laki 3, unauhakika wa kupata faida laki 3, nyingine kama mapato " ukitoa toa gharama za chakula na malazi unaweza jikuta unabaki na laki 2,as faida ....

Haya mambo yapo msiwe mnabisha ... tatizo ambalo litam-cost mtoa mada ni kwakuwa hana muda wa kuisimamia hiyo biashara so kwa upande wake ni ngumu kuweza kuipata hiyo faida .. kwa sababu biashara yenye mtaji mdogo kama hii inahitaji kwanza wewe mwenyewe ujitoe " mpaka pale ambapo itakapo kuwa imesimama haswaa ndio umpe majukumu mtu mwingine aweze kuisimamia na uaminifu wake uwe ni wakiwango cha 98%

Sent using Jamii Forums mobile app

😁😁😁...wengi hawajaingia kbs kwenye biashara aisee kuongea ni rahisi sana sana !hahaha!anywys
 
Nunua handbags za kike, classic ,inakaa pc tatu au nne, znakuwa tofaut kabsa na zile zinazouzwa kkoo... Unanunua kwa 17,000 usafir 3500 kila handabag, jumla 20500...
Ww uza 28,000 jumla

Maana huku jumla wanauzaga 35 rejareja 40 hadi elfu 60..

Ukipost mitandaon utapata wateja kutoka mikoa weng na hapa dar kwa ajili iyo bei ndogo.

Kuuza handbags 20 kwa siku n kitu cha kawaida kabsa..

Au unawauzia wenye maduka unachukua order
Unapofata mzigo wa handbags unachanganya na vichwa vya kuuzia mawigi vinauzwa 1700 usafiri wa kila kochwa 2000 jumla 3700 kikifika Tanzania huwa vinauzwa 15,000 hadi 20,000

Pia changanya na midoli ya kuuzia nguo,
Inauzwa 17,000 usafiri 17,000 jumka 34,000 hapa tanzania inauzwa elfu 80 hadi 150,000.

Ningekuwa na capital mimi ningekuwa tajiri tayar daaa maana machimbo ya hivi vitu nayajua vzur

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii china au?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji16][emoji16][emoji16]...wengi hawajaingia kbs kwenye biashara aisee kuongea ni rahisi sana sana !hahaha!anywys
Yeah kuongea ni rahisi ' lakini hatupaswi kuishia tu kusema kuwa haiwezekani " ilhali kuna walioweza na bado wanaweza Tunapaswa kujifunza toka kwao tunapaswa kujifunza njia baadhi ambazo ziliwasaidia wao kufika huko kabla hatujaingiza pesa kwenye hiyo miradi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yeah kuongea ni rahisi ' lakini hatupaswi kuishia tu kusema kuwa haiwezekani " ilhali kuna walioweza na bado wanaweza Tunapaswa kujifunza toka kwao tunapaswa kujifunza njia baadhi ambazo ziliwasaidia wao kufika huko kabla hatujaingiza pesa kwenye hiyo miradi

Sent using Jamii Forums mobile app


Pointyangu ni 1!uwekeze 1m alafu return upate laki8 kwa mwezi😁😁😁...means200000@week!kha!...sijui hesabu labda
 
Yeah kuongea ni rahisi ' lakini hatupaswi kuishia tu kusema kuwa haiwezekani " ilhali kuna walioweza na bado wanaweza Tunapaswa kujifunza toka kwao tunapaswa kujifunza njia baadhi ambazo ziliwasaidia wao kufika huko kabla hatujaingiza pesa kwenye hiyo miradi

Sent using Jamii Forums mobile app


Alafu ishu yako ya manga huenda hesabu hujaziweka poa...!sikatishi tamaa...nayajua hayo mazao huwez sema unaenda tu na kichukua pilpil.manga..must uhustle kuzipata..utembelee vijiji na watu weng..hukawii kukaa 2 wks kule..!muwe mnapiga hesabu na time consume jaman
 
Back
Top Bottom