Nifanye nini ili niweze kuingiza laki mbili kwa wiki nje ya mshahara?

Nifanye nini ili niweze kuingiza laki mbili kwa wiki nje ya mshahara?

Hapa naona kuna ugumu..just imagine mtu ananua gari IST more than 10mio + kwa ajili ya kufanya biashara

Na bado kwa week anapata 150,000/= je huyo wa mio moja kwa mwezi atapata sh ngapi? Hapo hatujapiga gharama ya frame, kumlipa msimazi, msimamizi kupiga kidogo (kujilipa)

Ngoja niwe wa mwisho kuamini 1mio kuzalisha laki 8 kwa mwezi...hapa tuwe wa kweli

Au jiunge na QNet wao wanasema if u believe..u can make it..

Sent using Jamii Forums mobile app


Kuna mambo mengine tujaribu kufikirisha bongo..hahahaha...yaan ni kituko!
 
Kama uko na gari ni vyema zaidi lakini pia hata kama huna gari ingia


Kama uko na gari ni vyema zaidi lakini pia hata kama huna gari unaweza kuingia mkataba na mwenye sukuzi carry ambayo kwa siku wanataka 20,000. Kubaliana nae terms of payment either kwa siku au kwa wiki. Kuhusu kusambaza unawasanbazia wenye maduka tu. Maduka ya gas yapo mengi sana na kuna sehemu nyingi unakuta gari zinachelewa sana kupita, wateja hawapati huduma kwa wakati.
Safi sana mkuu... hii kwa kila mtungi unaramba shingapi? Kg 15 na kg6

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kijana acha tamaa.

Anza kidogo kidogo,
kuwaza vikubwa wakati hata vidogo huviwezi ni hatari na UTAPOTEA.

Kwa kijana mpya asokua na uzoefu wa biashara.

Kwa huo mtaji wa million Moja,
Faida yake inastahili kua elfu 20-30 kwa wiki.

NB: Hiyo faida (Mapato-Matumizi) ya laki 2 kwa mtaji wa million Moja ni Ndoto.

Vinginevyo unaongelea MAPATO ya laki 2 kwa wiki.

Kiuhalisia,
Kama unataka Faida ya Laki 2 kwa wiki,
Itakubidi uwe na MAUZO yasopungua Millioni 2 kwa wiki.

Sasa,
MAUZO ya million 2 wakati Mtaji wako ni Millioni 1 ni KICHEKESHO CHA MWAKA itakua.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa kuwa tupo jf. Ni kupeana realities kuhusu biashara, wengi wetu tunakosa uharisia tukizungumzia biashara, tunajua unafanikiwa kwa mara moja bila kuangalia mambo mbali mbali ambayo ndiyo yatakufikisha kwenye mafanikio mfano biashara kwenye hatua za mwanzo lazima kwanza uwekeze pesa na mda wako ili upate uzoefu namna ya kuendesha biashara hiyo, vile vile unatakiwa utengeneze jina (utengeneze wateja)
1. Mtaji 1m
2. Uanzishe biashara umuweke mtu hakutengenezee hiyo faida
3. Biashara yako huijui.
4. Hujawekeza mda
5.Ndani ya miezi mitatu au sita unaanza ku assess biashara kama ina faida au haina.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa kuwa tupo jf. Ni kupeana realities kuhusu biashara, wengi wetu tunakosa uharisia tukizungumzia biashara, tunajua unafanikiwa kwa mara moja bila kuangalia mambo mbali mbali ambayo ndiyo yatakufikisha kwenye mafanikio mfano biashara kwenye hatua za mwanzo lazima kwanza uwekeze pesa na mda wako ili upate uzoefu namna ya kuendesha biashara hiyo, vile vile unatakiwa utengeneze jina (utengeneze wateja)
1. Mtaji 1m
2. Uanzishe biashara umuweke mtu hakutengenezee hiyo faida
3. Biashara yako huijui.
4. Hujawekeza mda
5.Ndani ya miezi mitatu au sita unaanza ku assess biashara kama ina faida au haina.


Sent using Jamii Forums mobile app
Ukweli mtupu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna Mwalimu Mmoja aliona Duka LA nafaka limejaa mzigo.

Alipouliza mtaji wote kias gani, akajibiwa kama million 9.

Basi, Akaenda benki kuchukua Hiyo millioni 9 ili afungue duka kama lile.

Kilichomtokea,
Alijikuta biashara Anaifungua na mtaji wa million Moja na Nusu.

Kutokana na Usimamizi mbovu,
Duka halikudumu hata mwaka Mmoja,

Miezi 6 tu alijumlisha duka lote kwa thamani ya laki 6.

Sent using Jamii Forums mobile app
Three years in business, changamoto ni nyingi kweli, ukipata solution ya changamoto moja, changamoto mpya inajitokeza, uki solve inakuja nyingine to deal with customers is not easy like we think, kumtenganisha mtu na pesa yake sio kazi nyepesi Sana, ila biashara ni nzuri we nimuajiri, we ni muajiriwa. Self control.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Saa hizi za maana ni 300 kwenda juu
Za 200 ni machozi tupu!
Kuna jamaa wanaship moja kwa moja waarab natamani niwajaribu kama hawana ronya nizame nao
hata hyo ya 300 ni ronya..labda iwe ya wadada ila km watoto ni RONYA..chek nao..
 
1,500 kwa 3,000 issue kubwa hapo ukitaka kuona hela lazima uwekeze kwenye stock. Midogo 100 - 150 na kubwa 50. Ndogo kwa wiki unaweza kutoa minimum 600 - 1000 na kubwa 200. Inategemea ulipo.
Okay okay so inshu kubwa ni kutafuta tender kutoka kwa wauza gas na maduka then unakula mkataba na kampuni za gesi si ndio hivyo master?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kila ikifika tarehe 24 hadi 30 uka e watumiahi utapata hizo hela good luck
 
Back
Top Bottom