Namuonekano wa watusi,upo sawa kabisaaaTafuta tutsi, habesh, mwarabu hata koko, au muiraq hizo mbegu ni uhakika utabadilisha muonekano wa watoto wako, ila ukitafuta mbatu halisi hiyo hali itaendelea tu
Wewe mwenyewe mzuri?Ni 23 yrs natarajia kuanza kutafuta mtoto lkn nimekuwa Kuna hisia zinanifanya nipate wasiwasi juu ya kiumbe nitakaemleta duniani..swali je can the ugly parents have beautiful babies?..sikuamini Kwa muonekano wangu nimekuwa nikikutania na bulling sana juu ya sura yangu sitamani na atakaezaliwa apitie hayo..je ni Mungu anahusika Ili nifanye Dua? Nijuzeni please
Kiruu, amba loiTafuta tutsi, habesh, mwarabu hata koko, au muiraq hizo mbegu ni uhakika utabadilisha muonekano wa watoto wako, ila ukitafuta mbatu halisi hiyo hali itaendelea tu
Kwani mkuu wewe sura yako ikoje? Hebu weka ka picha tukuone ulivyo polygon? Huyo mke naye alikukubalije? 😁😁Ni 23 yrs natarajia kuanza kutafuta mtoto lkn nimekuwa Kuna hisia zinanifanya nipate wasiwasi juu ya kiumbe nitakaemleta duniani..swali je can the ugly parents have beautiful babies?..sikuamini Kwa muonekano wangu nimekuwa nikikutania na bulling sana juu ya sura yangu sitamani na atakaezaliwa apitie hayo..je ni Mungu anahusika Ili nifanye Dua? Nijuzeni please
Ndo nini?Kiruu, amba loi
Hivi kumbe wewe sio mchagaNdo nini?
Hata vinasaba nao sinaHivi kumbe wewe sio mchaga
Usije toa namba yangu tu plzNicheki nimekutumia namba PM... SWEETHEART