Dr hyperkid
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 12,679
- 25,646
uzuri wa kitu gani unaulenga haswa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hautofanya la ziada kama huna hela. Endapo una hela unarekebisha zile features wanazozaliwa nazo mapema tangu wadogo. Kama una meno yamejitokeza nje unawarekebisha, kama una matege ya kurithi unawapeleka kwa wataalamu wa mifupa, kama una masikio makubwa wakizaliwa nayo wanafanyiwa otoplasty. Kama ni head shape Wapemba wanajua na kuna makabila mengine wanajua kuelekeza shape ya kichwa.Swali can an ugly parents have beautiful babies? Nipeni Siri nimepitia bulling sana kuhusu muonekano wangu so naogopa usije wakuta watoto wangu.
AaahaaaTafuta hela tu hakuna nwanaume mvaya,ukiwa na hela utapata pisi kali hence beautiful kids,Aziz Ki bila hela angetaniwa sana,Diamond kapata hela tu na mdomo umepotea.
Hela,hela,hela
AahhaaaaKama wewe ni she basi usisite kupita PM nina mbengu nzuri sana uzuri wa mtoto unatoka kwenye DNA za Baba alie bora View attachment 3072493
Naunga mkono hojaWatu wenye sura ugly hawajawahi zaa watoto uglier hata siku moja...wanatoka wazuri tu
Achana na habari ya kufikiri hivyo, hakuna mtu mbaya hapa duniani ni jinsi unavyofikiri tu.Swali can an ugly parents have beautiful babies? Nipeni Siri nimepitia bulling sana kuhusu muonekano wangu so naogopa usije wakuta watoto wangu.
Msaidie basi Singida huko hawezi pata mbegu nzuri!Daah!
Kweli kabisaHakuna mtu mbaya duniani .JIKUBALI
Mfano mzuri ni mh WASIRA, ana watoto wazuri sana wa kike, nadhani njia sahihi kwa mtu alie ugly ni kujitahidi kuwa na mwenza mwenye mwonekano wa kuvutia macho, hii inasaidia sana kupata aina ya watoto ambao mleta mada anatamani kuwa naoWatu wenye sura ugly hawajawahi zaa watoto uglier hata siku moja...wanatoka wazuri tu
Mimi nimekula wanawake kibao tena wengine bila hata kujua imoo,duuu,nikihesabu najenga Kijiji changu, accept who you are hii dunia Iko radical nimekuja kushikwa maskiona na hopeless mmoja wala sijui ilikuwaje,kwahiyo tulia jikubali.Utamtaka mtu handsome kumbe mwanga.Swali can an ugly parents have beautiful babies? Nipeni Siri nimepitia bulling sana kuhusu muonekano wangu so naogopa usije wakuta watoto wangu.