Nifanye nini ili nizae watoto wazuri?

Nifanye nini ili nizae watoto wazuri?

Nenda Kafanye surogate kwa mayai ya mzungu na mbegu zako šŸ˜€
Bongo Sijui ni lini itaanza kazi hii procedure.
Tunachelewaga kuanza mambo mazuri Sijui ni Kwanini?!
 
Ulimwengu wa sayansi huu kupata watoto sio hadi uoe mzungu au uolewe na mzungu.
Hela yako ya kulipia gharama tu.
Ubadilishe muonekano wa ukoo.
 
Swali can an ugly parents have beautiful babies? Nipeni Siri nimepitia bulling sana kuhusu muonekano wangu so naogopa usije wakuta watoto wangu.
Taja umri wako na jinsi yako upate msaada wa changamoto inayokukabili.
 
Kama ni mwanaume pambana upate hela,kuna watu wanazimia kwa rick ross
 
Kama una kichwa Kama Filimbi Bora usizae Mana utatuletea Lasana Diara.
 
Kama we ni ke
Njoo uchukue uzuri wa roho na akili
kuhusu sura nakupa rufaa
 
Unaposema watoto wazuri, unamaanisha nini? Ridhika na hali yako ndugu. Hiyo tamaa yako ya kuwatamani watoto wa wenzako, itakuja siku moja ikuletee majaribu ambayo hukuwahi kuyafikiria.

Kumbuka tu Mwenyezi Mungu hajaribiwi.
Aseee Mungu hataniwi,unaweza ukapata hao wazuri kwa namna unavyowataka ila ukapata pigo lolote.
Kuna ndugu yangu yeye alikuwa analia kila siku anajiona hajakamilika kisa hana mtoto wa kike hata mmoja,Mungu akasema hunijui si unahitaji wa kike,hivi ninavoongea vijana wake wote wanashusha ke tu yaani kila mkamwana anayejifungua ni ke.
 
Back
Top Bottom