Nifanye nini?, mdogo wa mke wangu amenasa ujauzito wangu

wakat unampanda shemejio, mawazo ya familia yako wataonaje yalikuwa wapi?

katika dhambi zote zinaa tumeambiwa tuikimbie, muache azae tu utaoa mtu na mdogo wake
 
Duuu! Pole sanaa aisee
 

Umalaya ukipitiliza huwa madhara yake ndio hayo
 
Kuna jamaa kaoa wote wawili na mpaka sasa dada mtu ana watoto 4 na mdogo mtu ana watoto 3 kwa hiyo kama unaliona lipo ndani ya uwezo wako ni kuishi na wote wawili japo umeuvunja undugu wao na kama Huna pesa usiingie huko
 
Mpe mimba na Mama yao maana wewe na Mbwa ni sawa tu, mna Tabia zinazofanana! Sex haina thamani ya risk mnazochuka, ukiwa sana utagundua mnaisifia sex kuliko uhalisia wake!

Baada ya kusema huo ukweli, sishauri mtu kutoa mimba, Mambo yamebadilika sana, unaweza jaribu kutoa, uhai wa binti na mwanae vikatoka kwa pamoja, utapata hasara Mara Dufu na some years Magereza!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…