toughlendon_1
JF-Expert Member
- Feb 7, 2018
- 6,283
- 11,253
ππππππππππππππ
View attachment 3257671hii ndo dawa yako!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
View attachment 3257671hii ndo dawa yako!
Kama ni kweli kuna baadhi ya wanaume akili zenu huwa mnazijua wenyewe.
Uliendekeza kichwa cha chin* wacha yakukute japo kwa hiyo familia yao kama ni ya wanaojielewa umewapa aibu kubwa sana.
Hahaha@mods naomba muufute huu uzi wangu
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Jipige kifua mara mara 32 huku ukisema ni jinga ila ni kidume!
Kisha tafuta nafasi nzuri toka nae out mfanye afurahie kuhsu yeye kisha usiku ule wa out hukohuko hotel ama lodge peleka moto haswa kisha mwambie unampenda na umefurahi kusikia ana mimba yako.sasa ili kuwa epusha ugomvi yeye na dada yake pia na familia yake hakikisha mnamsingizia jamaa mwingine ambae hatamtaja kamwee ashikilie hapohapo.
Ksha wewe na wife wako mimba ikishakuwa kubwa jifanye kumshrikisha muone namna gani mtamsaidia shemeji yako ukiona reaction ya mkeo sio nzuri usilazimishe but mpangishie nyumba kisiri mpe mtaji aishi huko hakikisha hata no ya simu iko kichwani mwako tu usisave kwenye simu. mwambie akitaka kuongea nawewe basi apitie kwa dada yake na maongezi yenu yawe mafupi tu. akizaa maisha mengine yaendeleee