Nifanye nini?, mdogo wa mke wangu amenasa ujauzito wangu

Nifanye nini?, mdogo wa mke wangu amenasa ujauzito wangu

Jipige kifua mara mara 32 huku ukisema ni jinga ila ni kidume!

Kisha tafuta nafasi nzuri toka nae out mfanye afurahie kuhsu yeye kisha usiku ule wa out hukohuko hotel ama lodge peleka moto haswa kisha mwambie unampenda na umefurahi kusikia ana mimba yako.sasa ili kuwa epusha ugomvi yeye na dada yake pia na familia yake hakikisha mnamsingizia jamaa mwingine ambae hatamtaja kamwee ashikilie hapohapo.

Ksha wewe na wife wako mimba ikishakuwa kubwa jifanye kumshrikisha muone namna gani mtamsaidia shemeji yako ukiona reaction ya mkeo sio nzuri usilazimishe but mpangishie nyumba kisiri mpe mtaji aishi huko hakikisha hata no ya simu iko kichwani mwako tu usisave kwenye simu. mwambie akitaka kuongea nawewe basi apitie kwa dada yake na maongezi yenu yawe mafupi tu. akizaa maisha mengine yaendeleee
 
Jipige kifua mara mara 32 huku ukisema ni jinga ila ni kidume!

Kisha tafuta nafasi nzuri toka nae out mfanye afurahie kuhsu yeye kisha usiku ule wa out hukohuko hotel ama lodge peleka moto haswa kisha mwambie unampenda na umefurahi kusikia ana mimba yako.sasa ili kuwa epusha ugomvi yeye na dada yake pia na familia yake hakikisha mnamsingizia jamaa mwingine ambae hatamtaja kamwee ashikilie hapohapo.

Ksha wewe na wife wako mimba ikishakuwa kubwa jifanye kumshrikisha muone namna gani mtamsaidia shemeji yako ukiona reaction ya mkeo sio nzuri usilazimishe but mpangishie nyumba kisiri mpe mtaji aishi huko hakikisha hata no ya simu iko kichwani mwako tu usisave kwenye simu. mwambie akitaka kuongea nawewe basi apitie kwa dada yake na maongezi yenu yawe mafupi tu. akizaa maisha mengine yaendeleee
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
 
Siyo wewe peke yako, hii ilishawakumba wengi, na dawa ni kuoa wote na ikiwezekana uwajengee bangaloo moja la maana waishi wote humo.
 
Back
Top Bottom