Nifanye nini? Nataka mume wangu aumie kama ninavyoumia mimi

Nifanye nini? Nataka mume wangu aumie kama ninavyoumia mimi

Nimeolewa ndoa yangu ina miaka kumi, miaka yote hiyo nimekuwa nikiishi kwa mateso, mume wangu anahudumia familia na kila kitu, lakini ni malaya sana, anatembea mpaka na ndugu zangu.

Nimevumilia mpaka nikachoka, mwaka jana kwa hasira nikaamua kuchepuka, mwanzo nilikuwa na amani lakini sasa hivi sina amani kwani naona kama mume wangu haumii. Yeye anachepuka mimi najua nateseka lakini yeye hajui kama mimi nateseka.

Tumeshaitishwa vikao mpaka wametuchoka, nataka kumuumiza mume wangu, nataka ajue uchungu ninaoupitia, nataka kumuonyesha kuwa nina mwanaume mwingine, nashindwa nifanyeje, niache meseji au nipige picha nikiwa na mwanaume mwingine ili aone.

Nataka aumie kama ninavyoumia.
Ya wanaume ni shida, we potezea kikubwa.
 
Kama umri bado ni early 30s unaweza kuamsha, but think uko at mid 40 uone ilivyo issue kupata jamaa wa kukukata kiu. Utaishia kwa boda wasiojielewa na watakutangaza vijiweni kwamba hii maza ni maharage ya mbeya then heshima uliyoipambania hutoipata na huduma kwa pamoja. Hasira ya kuachana hupoa mapema na majuto ya upweke hudumu
Hizi mentality ni mbaya sana. Kwza hiyo uishi na mchepukaji sugu sababu muda umeenda. Sasa huyo mpaka anaamua kuchepuka ili hali ana mume ndani? Kuna tofauti gani na kuachana na ndoa ya aina hii?
 
Akichepuka unaumia
Ukichepuka unaumia

Hakuna kitu kibaya kama kufanya jambo kwa lengo la kumkomesha mtu halafu ukaja gundua unayemkomesha hajali kitu... Inakuwa ni kama unatwanga maji kwenye kinu, unapoteza nguvu na muda wako bure.

Cha kufanya ni kuwa mvumilivu na kuongea na mume kuhusu kuumizwa na anayofanya, haijalishi ni mara ngapi unamwambia na anarudia... Mkumbushe

Kama utaona unashindwa kuvumilia unaweza kuamua kuvunja ndoa

Pole
Auchukue huu ushauri aufanyie kazi
 
Muandalie tukio Moja Kali Sana ambalo litamuumiza maisha yake yote.

Leta huo michepuko wako chumbani kwetu afu uhakikishe mumeo anakufumania.Kama mtafanikiwa kutoka salama hapo( maana mnaweza mkauaua) vunja hiyo ndoa haraka na usepe mazima.
 
Ukiona unachepuka unaumia , ACHA!
Kuchepuka kuna lengo moja tu, RAHA!!!!!!!
 
Right and available person ya nioo....

Utadhani wanaokotwa barabarani kirejareja


Muda mwingine suluhu sio kuachana bali kuboresha mtizamo
Yaani huyo anaeweza kuchepuka akose mtu wa kumuoa kweli?

Mume anayetembea hadi na ndugu zako,ushajaribu kutafuta suluhu wee huyo ni wa kuboresha mtazamo kweli?
 
Akigundua hataumia ila atakuua au atakuacha kabisa yaani ndio utakuwa mwisho wa ndoa yenu, kupanga ni kuchagua na wanaume hatujawahi kuwa na mwanamke mmoja kamwe
 
Mkuu ni wazi kuwa huyu mwanaume Malaya mbwa..pengine hata kurudi nyumbani mapema ni kitendawili.sasa ili tusikwaruzane…ninajipenda mimi kwanza..

Kama ni mtu wa kurudi usiku mwingi,ndio kabisaaa..nitoka zangu huko naenda kuhave fani vizuri sana..narudi mapemaaa kabla hata yeye hajarudi nyumbani napata nafasi ya kumuandalia chakula mume wangu kama mke.lakini nitatengeneza mazingira ajue kuwa nilitoka na nikarudi bila kumwambia.(kama ni viatu,Sijui mkoba au nguo niliyoivaa anaviona kuwa vilitumika.ninahakikisha situmii kilevi chochote kile kwa kipindi choooote hicho nilichoamua kutafuta furaha ndani yangu)

Ikimuuuma saaaana na kuniulizia nilienda wapi!jua sindano imeanza kumuingia(umalaya wa kiwango cha huyu jamaa ni wazi kuwa hajali)so kipindi kingine naongeza dozi mara tatu zaidi ya pale😀😀akibahatika kuniuliza tena basi hakika kuna ki tu kipya kimemuingia na ameanza kujali😄.wakati mwingine tena hivyohivyo…so kama kweli kajali basi kaumia na atatafuta namna awahi kurudi nyumbani mapema kabla yangu ili ajue huwa naendaga wapi au nilikuwa wapi.akiyafanya yote hayo tayar mwanakondoo kaanza kurudi kundini 😀😀taratiiiiiibu kabisa tu naanza kuijenga familia.

Hakuna muda wa kupigana vijembe huko status bila sababu ya msingi mara ohoo utanikumbuka Sijui vikapanda vikashuka 😀😀off coz atakukumbuka 😀😀si alikuoa bhana…mkazaa na watoto,,so kukukumbuka hiyo ni obvious 😅😅.


Mwanaume mpigaji si wa kumvumilia kabisa Kwa karne hii..hakawii kukutia ulemavu napinga vikali mno.

Ila mwanaume malaya halafu anatimiza majukumu Yake Kwa familia…hapana sikuachi cha muhimu tunakubaliana tu” baba naona umekubuhu kwa umalaya sasa mimi na wewe kupiga game hapana kwakweli” unafunga ukurasa mnaelea watoto wenu safi kabisa😄😄

*************************************
Yote haya yanawezekana kama tu mwanamke anakipato chake mwenyewe.anajua kuitafuta pesa Yake mwenyewe.vinginevyo basi yatakuwa ni mateso.
Unachosema ni kweli

Hiyo kutoka home na kufanya vitu kama unashindana nae lifestyle ni lazima atakuja kua hostile,lazima atakupiga one day.

Wanaume tupo na very fragile egos,ataona kama una challenge his authority,atakusumbua tu.

Ila unachosema mostly ni kweli
 
Nope Mimi mzigo nili, Kisha mjulishe mumeo kuwa umenipa mzigo na tigo juu
 
Mimi nashauri kama mwanamke mwenzake.kama anapesa aanze kujipenda kwanza,kufanya maendeleo (vitegauchumi),kuombea watoto (uzao wake) na mumewe.

Hakuna mkamilifu
Labda ufanye kwa siri

Ukifanya kwa kuonesha sana au ukiwa tajiri zaidi yake jua ndoa hakuna tena dada

Mi naona the best way to kufanya yote hayo mazuri kwa ajili yako na asijue lolote,labda ajue kidogo sana...

Otherwise,we men know ourselves,anything challenging our supremacy hasa kwenye nyumba zetu will be removed kipende kisipende

Heri ukae kimya usioneshe chochote kama haupo vile
 
Adhabu ni hii hapa.....
Ondoka hapo nyumbani....

Hili linatosha kumuumiza na kubadilika kabisa
Aondoke aende wapi mzee baba?

Halafu wewe unadhani kwa akili yako huyo jamaa atapoteza muda hata kubeep simu yake kumtafuta?

Forget about it mzee!
 
Aondoke aende wapi mzee baba?

Halafu wewe unadhani kwa akili yako huyo jamaa atapoteza muda hata kubeep simu yake kumtafuta?

Forget about it mzee!
Kuendelea kukaa hapo nyumbani ni ukimwi na STD na PID atakuwa anajitibu kila siku.

Mwisho wa huo umalaya wa huyo mwanaume ni upi? Kama siyo kumpa kazi huyo dada ya kumtunza akiumwa na jukumu la kuwa mjane na kulea watoto as single mom?

Kuna tabia za kuvumilia lakini siyo umalaya wa wazi aise.
 
Duuu acha hizo. Ndoa zenye migogoro huathiri sana watoto. Bora mtengane ili libaki jukumu la kulea watoto pamoja
Mlee watoto pamoja?

Ndoa ikivunjika hakuna kitu kinaitwa "kulea watoto pamoja"....

Watoto wakifika 7 years wanachukuliwa na hutakaa uwaone tena,labda waje kutembea.

Usipokua careful mwanamke anaweza aishi kwa upweke wa ajabu sana....

This thing is not easy kama inavyoonesha!
 
Kuendelea kukaa hapo nyumbani ni ukimwi na STD na PID atakuwa anajitibu kila siku.

Mwisho wa huo umalaya wa huyo mwanaume ni upi? Kama siyo kumpa kazi huyo dada ya kumtunza akiumwa na jukumu la kuwa mjane na kulea watoto as single mom?

Kuna tabia za kuvumilia lakini siyo umalaya wa wazi aise.
Whats the better option?

Maana ukimwi unapatikana popote tu....huyo unaekutana nae mpya unadhani ni mpya unajidanganya tu,sio mpya....akapiga bao moja kavu ikawa ndio ukimwi tayari

Ukimwi ni probability,umalaya unafanya probability inakua kubwa zaidi lakini sio eti wewe hutapata

Kama malaya,tombana nae kwa kondomu ndio 100% guarantee....

Maana huko unakoenda nako wana dhania ya ukimwi kama huyu uliemuacha maana wote ni wanadamu wale wale

Labda muache halafu usikae utombane na mwanadamu wa aina yeyote ile kavu basi...

Bado hujanipa hoja ya maana ya kumuacha huyu unasema ni "malaya"!
 
Huku mtaani pagumu Sana Kama unapata chakula nakushauri utupie ulee mtoto
 
Back
Top Bottom