Nifanye nini? Nataka mume wangu aumie kama ninavyoumia mimi

Bila ya wale wapumbavu kuja kumkejeli hapa Mleta mada kuwa Michepuko haikupita naye bara bara ya vumbi mniite jibwa nimekaa pale... [emoji117]
 
Hapo ndo ile kukosa mke rafiki ,jamani tuweni na upendo na wake zetu ...kuchepuka sio mpango japo ni mtihani kuwa na mke mmoja tujitahidi sometimes watoto tuangalie watoto watakuja kupata tabu .
WANAUME ambao hatujachepuka zaidi ya miaka minne kuendelea tuna jambo letu kwakweli, maana si rahisi kutochepuka bila ya kumcha Mungu kwa uwepo wa PISI KALI zilizonona kila kona ya TZ [emoji38]
 
Nmeandika nkafuta.
Hii kweli ya moto.
1. Akijua umechepuka unaachwa on the spot tena kwa aibu kua we n malaya. Kiafrika n double standard. Mwanaume n sawa, lakn mwanamke n ujinga maana unachepuka na maini na moyo na figo n.k, lakn mwanaume anachepuka na ndonga tu ndo maana bado matumizi anatoa.

2. Utapoteza muda kusuluhishwa maana ye anaonekana shababi na wewe unazidi kujiexpose tu. Sanasana atasema ameacha ili apunguze makelele lakn ukigeuza shingo n mwendo mchibuyu

3. Raise your value. Unaeza sema unavunja ndoa but ndo hivo mayb huna ramani so unaonekana umeuza bunduki ukanunua rungu. Pandisha thamani yako, fanya jata biashara ndogo ndogo, pata hela yako anza kufanya maendeleo. Lazma atajishtukia akianza kuona wewe una thamani without him.

4. Ndoa n yako, sisi huku mtandaoni tunasapoti kuachana kuliko kujenga. Kaa kwa step
 
Kwani hao ndugu zako wanabakwa? Acha ukingo tuliza mbususu nyumbani mwisho utaliwa kaduara kama hakajaliwa ukizani unamkomoa mumeo lakini inaonekana hata wewe ni mzoefu na kahaba uliyekubuhu.Malipo hapa duniani kuwa mpole dawa iingie
Bila ya wale wapumbavu kuja kumkejeli hapa Mleta mada kuwa hawakupita naye bara bara ya vumbi mniite jibwa nimekaa pale... [emoji117]

[emoji847][emoji1732][emoji2]
 
😂😂😂Mwanaume km hajaamua kuzuia tamaa zake hata umpe tundu zote za mwili atatoka tu
Kweli kabisa.
Lakini by necha wanaume huwa tuna kaustaarabu pale tunapoona huyu mwanamke ana value kubwa kwetu rather than jus punani. Huyo tunaogopa kumpoteza.

But tukikosa amani ndani ya nyumba, ikitokea digidigi huko nje n mwendo wa "sukuma ndani" ukuni
 
Hapo ndo ile kukosa mke rafiki ,jamani tuweni na upendo na wake zetu ...kuchepuka sio mpango japo ni mtihani kuwa na mke mmoja tujitahidi sometimes watoto tuangalie watoto watakuja kupata tabu .
Nawasubiri wale Me wapumbavu wanaosemaga kila Ke hupenda Me mwenye Ke wengi kingono yani "competition" waone jinsi gani Ke wanavyoumiaga kusalitiwa na sisi Me wakiwa kwenye ndoa [emoji30][emoji2960]
 
Hiyo akili ya kutaka kulipiza kisasi utasababisha maafa kama yale ya akina said na mkewe bora umuache aende
 
Unforgettable soma hapa,, ikiwa hamna matumaini ya kurekebisha muwahi kumpiga chini itamuuma kinoma
 
Sidhani kama hii ipo kwa wanaume wote.
 
Nawasubiri wale Me wapumbavu wanaosemaga kila Ke hupenda Me mwenye Ke wengi kingono yani "competition" waone jinsi gani Ke wanavyoumiaga kusalitiwa na sisi Me wakiwa kwenye ndoa [emoji30][emoji2960]
Tamaa kwanza ni gharama ukiwa na michepuko ,vitu vingine kuvumilia tu hata kama unatamani ndo maisha na ndo mtihani mungu katupa tuushinde.
 
WANAUME ambao hatujachepuka zaidi ya miaka minne kuendelea tuna jambo letu kwakweli, maana si rahisi kutochepuka bila ya kumcha Mungu kwa uwepo wa PISI KALI zilizonona kila kona ya TZ [emoji38]
🤣🤣🤣Ukitaka usichepuke rais sana life style hii ukitoka mihangaiko nenda kwako kacheze watoto kama unao kama huna kacheze na mkeo ,au pitia kibanda umiza kucheck mpira lakini sijui unaenda bar huko ndo balaa
 
Kuna Dadaangu mmoja tulikuwa tunafanya naye kazi naye aliumizwa weee...na Mumewe, hatimaye alifikia kikomo cha uvumilivu na kudai talaka akaachwa.

Kilichofuata yule Me alijuta kumuacha Mkewe maana alikuwa na mikosi mfululizo kazini balaa hatimaye akaukwaa kabisa UKIMWI.

Sasa hivi anatamani kurudiana na Mkewe lakini ndivyo hivyo tena bahati mbaya ni muathirika wa ngwengwe.... [emoji26]
 
Madhara ya kisasi hua ni makubwa sana, usijaribu kulipiza kisasi utakuja kujutia. Inaonekana kabisa huwezi kuishi bila mumeo, ilitakiwa uchukue hatua mwanzoni baada ya kuona masuluhisho hayafanyi kazi umuache na maisha yake kuliko kuishi na maumivu kila siku. Hata hivyo bado una muda wa kuamua kuliko kulipiza kisasi utajutia sana kwa yatakayokukuta ni bora kuvunja ndoa kuliko kulipiza kisasi. Pia napata wasiwasi huenda alioa kwa kulazimishwa, na ndio maana anaamua kuchepuka.
 
[emoji23][emoji23][emoji23]Mwanaume km hajaamua kuzuia tamaa zake hata umpe tundu zote za mwili atatoka tu
Uko sahihi sana Kapeace, huwa unapenda kuwa transparent kama Mkuu Mzabzab na hakika wasema ukweli ni wapenzi wa Mungu [emoji16]
 
Njoo tupige picha tukiwa pamoja tumepeana kumbato
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…