Interlacustrine R
JF-Expert Member
- Jan 22, 2022
- 7,186
- 14,274
Bila ya wale wapumbavu kuja kumkejeli hapa Mleta mada kuwa Michepuko haikupita naye bara bara ya vumbi mniite jibwa nimekaa pale... [emoji117]Huu ni mlolongo,, ukiona kuchepuka kwako unaumia na kuhisi hatia Basi ujue unampenda mumeo,, acha kuchepuka maana kuchepuka kunamaanisha kupata ulichokosa ndani sasa km unaumia haina maana sasa,, mpuuze huenda akajishtukia ila ikishindikana kabisa heri ukaachana nae maana maisha aina hiyo hayafai,, mtauana
WANAUME ambao hatujachepuka zaidi ya miaka minne kuendelea tuna jambo letu kwakweli, maana si rahisi kutochepuka bila ya kumcha Mungu kwa uwepo wa PISI KALI zilizonona kila kona ya TZ [emoji38]Hapo ndo ile kukosa mke rafiki ,jamani tuweni na upendo na wake zetu ...kuchepuka sio mpango japo ni mtihani kuwa na mke mmoja tujitahidi sometimes watoto tuangalie watoto watakuja kupata tabu .
😂😂😂Mwanaume km hajaamua kuzuia tamaa zake hata umpe tundu zote za mwili atatoka tuBila ya wale wapumbavu kuja kumkejeli hapa Mleta mada kuwa hawakupita naye bara bara ya vumbi mniite jibwa nimekaa pale... [emoji117]
Bila ya wale wapumbavu kuja kumkejeli hapa Mleta mada kuwa hawakupita naye bara bara ya vumbi mniite jibwa nimekaa pale... [emoji117]Kwani hao ndugu zako wanabakwa? Acha ukingo tuliza mbususu nyumbani mwisho utaliwa kaduara kama hakajaliwa ukizani unamkomoa mumeo lakini inaonekana hata wewe ni mzoefu na kahaba uliyekubuhu.Malipo hapa duniani kuwa mpole dawa iingie
Kweli kabisa.😂😂😂Mwanaume km hajaamua kuzuia tamaa zake hata umpe tundu zote za mwili atatoka tu
Nawasubiri wale Me wapumbavu wanaosemaga kila Ke hupenda Me mwenye Ke wengi kingono yani "competition" waone jinsi gani Ke wanavyoumiaga kusalitiwa na sisi Me wakiwa kwenye ndoa [emoji30][emoji2960]Hapo ndo ile kukosa mke rafiki ,jamani tuweni na upendo na wake zetu ...kuchepuka sio mpango japo ni mtihani kuwa na mke mmoja tujitahidi sometimes watoto tuangalie watoto watakuja kupata tabu .
Hiyo akili ya kutaka kulipiza kisasi utasababisha maafa kama yale ya akina said na mkewe bora umuache aendeNimeolewa ndoa yangu ina miaka kumi, miaka yote hiyo nimekua nikiishi kwa mateso, mume wangu anahudumia familia na kila kitu, lakini ni malaya sana, anatembea mpaka na ndugu zangu.
Nimevumilia mpaka nikachoka, mwaka jana kwa hasira nikaamua kuchepuka, mwanzo nilikua na amani lakini sasa hivi sina amani kwani naona kama mume wangu haumii. Yeye anachepuka mimi najua nateseka lakini yeye hajui kama mimi nateseka.
Tumeshaitishwa vikao mpaka wametuchoka, nataka kumuumiza mume wangu, nataka ajue uchungu ninaoupitia, nataka kumuonyesha kuwa nina mwanaume mwingine, nashindwa nifanyeje, niache meseji au nipige picha nikiwa na mwanaume mwingine ili aone.
Nataka aumie kama ninavyoumia.
Unforgettable soma hapa,, ikiwa hamna matumaini ya kurekebisha muwahi kumpiga chini itamuuma kinomaHili tatizo ni kama la jamaa mmoja ninayemjua na mke wake. Jamaa ni kiwembe kweli kweli. Ametembea na ndugu za mke wake, ametembea na house girls, majirani marafiki wa mkewe, ma-bar maids, yaani ni kumbakumba. Imefika mahali na mkewe naye ameamua kugawa kama pipi. Wakiishi kidogo pamoja wanapigana wanatengana. Baada ya muda tena wanarudiana, wanazaa. Mtoto akiwa na miezi sita wanagombana kila mtu anakwenda kuishi kivyake, mke anagawa kama hana akili na mume naye anasomba kila kinachofika mbele yake.
Ushauri wangu kwako: Usilipize kisasi kwa kujirahisisha. Utakuwa unajidhalilisha wewe mwenyewe. Trust me. Mimi ni mwanamme na najua jinsi wanaume wanavyodharau wanawake wanaojirahisha. Cha kufanya ni wewe kuondoka na kuendelea na maisha yako. Ukiondoka utakuwa umemuuza sana. Sasa hivi haoni umuhimu wako kwa sababu uko naye. Akiona umeondoka na kuishi peke yako automatically atajua kuwa utakuwa una contact na wanaume wengine na wivu utamshika.
Pole, ni nyakati tu zitapita.moyo umegoma kutulia
Sidhani kama hii ipo kwa wanaume wote.Kweli kbsa.
Lakn by necha wanaume hua tuna kaustaarabu pale tunapoona huyu mwanamke ana value kubwa kwetu rather than jus punani. Huyo tunaogopa kumpoteza.
But tukikosa amani ndani ya nyumba, ikitokea digidigi huko nje n mwendo wa "sukuma ndani" ukuni
Tamaa kwanza ni gharama ukiwa na michepuko ,vitu vingine kuvumilia tu hata kama unatamani ndo maisha na ndo mtihani mungu katupa tuushinde.Nawasubiri wale Me wapumbavu wanaosemaga kila Ke hupenda Me mwenye Ke wengi kingono yani "competition" waone jinsi gani Ke wanavyoumiaga kusalitiwa na sisi Me wakiwa kwenye ndoa [emoji30][emoji2960]
🤣🤣🤣Ukitaka usichepuke rais sana life style hii ukitoka mihangaiko nenda kwako kacheze watoto kama unao kama huna kacheze na mkeo ,au pitia kibanda umiza kucheck mpira lakini sijui unaenda bar huko ndo balaaWANAUME ambao hatujachepuka zaidi ya miaka minne kuendelea tuna jambo letu kwakweli, maana si rahisi kutochepuka bila ya kumcha Mungu kwa uwepo wa PISI KALI zilizonona kila kona ya TZ [emoji38]
Kuna Dadaangu mmoja tulikuwa tunafanya naye kazi naye aliumizwa weee...na Mumewe, hatimaye alifikia kikomo cha uvumilivu na kudai talaka akaachwa.Hili tatizo ni kama la jamaa mmoja ninayemjua na mke wake. Jamaa ni kiwembe kweli kweli. Ametembea na ndugu za mke wake, ametembea na house girls, majirani marafiki wa mkewe, ma-bar maids, yaani ni kumbakumba. Imefika mahali na mkewe naye ameamua kugawa kama pipi. Wakiishi kidogo pamoja wanapigana wanatengana. Baada ya muda tena wanarudiana, wanazaa. Mtoto akiwa na miezi sita wanagombana kila mtu anakwenda kuishi kivyake, mke anagawa kama hana akili na mume naye anasomba kila kinachofika mbele yake.
Ushauri wangu kwako: Usilipize kisasi kwa kujirahisisha. Utakuwa unajidhalilisha wewe mwenyewe. Trust me. Mimi ni mwanamme na najua jinsi wanaume wanavyodharau wanawake wanaojirahisha. Cha kufanya ni wewe kuondoka na kuendelea na maisha yako. Ukiondoka utakuwa umemuuza sana. Sasa hivi haoni umuhimu wako kwa sababu uko naye. Akiona umeondoka na kuishi peke yako automatically atajua kuwa utakuwa una contact na wanaume wengine na wivu utamshika.
Madhara ya kisasi hua ni makubwa sana, usijaribu kulipiza kisasi utakuja kujutia. Inaonekana kabisa huwezi kuishi bila mumeo, ilitakiwa uchukue hatua mwanzoni baada ya kuona masuluhisho hayafanyi kazi umuache na maisha yake kuliko kuishi na maumivu kila siku. Hata hivyo bado una muda wa kuamua kuliko kulipiza kisasi utajutia sana kwa yatakayokukuta ni bora kuvunja ndoa kuliko kulipiza kisasi. Pia napata wasiwasi huenda alioa kwa kulazimishwa, na ndio maana anaamua kuchepuka.Nimeolewa ndoa yangu ina miaka kumi, miaka yote hiyo nimekua nikiishi kwa mateso, mume wangu anahudumia familia na kila kitu, lakini ni malaya sana, anatembea mpaka na ndugu zangu.
Nimevumilia mpaka nikachoka, mwaka jana kwa hasira nikaamua kuchepuka, mwanzo nilikua na amani lakini sasa hivi sina amani kwani naona kama mume wangu haumii. Yeye anachepuka mimi najua nateseka lakini yeye hajui kama mimi nateseka.
Tumeshaitishwa vikao mpaka wametuchoka, nataka kumuumiza mume wangu, nataka ajue uchungu ninaoupitia, nataka kumuonyesha kuwa nina mwanaume mwingine, nashindwa nifanyeje, niache meseji au nipige picha nikiwa na mwanaume mwingine ili aone.
Nataka aumie kama ninavyoumia.
Uko sahihi sana Kapeace, huwa unapenda kuwa transparent kama Mkuu Mzabzab na hakika wasema ukweli ni wapenzi wa Mungu [emoji16][emoji23][emoji23][emoji23]Mwanaume km hajaamua kuzuia tamaa zake hata umpe tundu zote za mwili atatoka tu
Njoo tupige picha tukiwa pamoja tumepeana kumbatoNimeolewa ndoa yangu ina miaka kumi, miaka yote hiyo nimekua nikiishi kwa mateso, mume wangu anahudumia familia na kila kitu, lakini ni malaya sana, anatembea mpaka na ndugu zangu.
Nimevumilia mpaka nikachoka, mwaka jana kwa hasira nikaamua kuchepuka, mwanzo nilikua na amani lakini sasa hivi sina amani kwani naona kama mume wangu haumii. Yeye anachepuka mimi najua nateseka lakini yeye hajui kama mimi nateseka.
Tumeshaitishwa vikao mpaka wametuchoka, nataka kumuumiza mume wangu, nataka ajue uchungu ninaoupitia, nataka kumuonyesha kuwa nina mwanaume mwingine, nashindwa nifanyeje, niache meseji au nipige picha nikiwa na mwanaume mwingine ili aone.
Nataka aumie kama ninavyoumia.
Kuna mwengine alimpa mume wake hadi akojeloee kwanye mapua lakini wapi🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂Mwanaume km hajaamua kuzuia tamaa zake hata umpe tundu zote za mwili atatoka tu
Acha uzushi ww[emoji4][emoji23][emoji23][emoji23]Mwanaume km hajaamua kuzuia tamaa zake hata umpe tundu zote za mwili atatoka tu