Interlacustrine R
JF-Expert Member
- Jan 22, 2022
- 7,186
- 14,274
Akili zako zinafikirisha sana kwa hiki kituko [emoji28]Kuna mwengine alimpa mume wake hadi akojeloee kwanye mapua lakini wapi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akili zako zinafikirisha sana kwa hiki kituko [emoji28]Kuna mwengine alimpa mume wake hadi akojeloee kwanye mapua lakini wapi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Umeandika kama wife material, hongera sana.Cha kufanya ni kuwa mvumilivu na kuongea na mume kuhusu kuumizwa na anayofanya,haijalishi ni mara ngapi unamwambia na anarudia...mkumbushe
Vipi mama j mmerudiana?Acha uzushi ww[emoji4]
Kabisa..But tukikosa amani ndani ya nyumba, ikitokea digidigi huko nje n mwendo wa "sukuma ndani" ukuni
Mie wife material sema sipendi show offUmeandika kama wife material, hongera sana.
Akichepuka unaumia
Ukichepuka unaumia
Hakuna kitu kibaya kama kufanya jambo kwa lengo la kumkomesha mtu halafu ukaja gundua unayemkomesha hajali kitu...inakuwa ni kama unatwanga maji kwenye kinu,unapoteza nguvu na muda wako bure
Cha kufanya ni kuwa mvumilivu na kuongea na mume kuhusu kuumizwa na anayofanya,haijalishi ni mara ngapi unamwambia na anarudia...mkumbushe
Kama utaona unashindwa kuvumilia unaweza kuamua kuvunja ndoa
Po
Kapeace , watu wengi sana tunachanganya kati ya upendo/wivu na roho mbaya.Huu ni mlolongo,, ukiona kuchepuka kwako unaumia na kuhisi hatia Basi ujue unampenda mumeo,, acha kuchepuka maana kuchepuka kunamaanisha kupata ulichokosa ndani sasa km unaumia haina maana sasa,, mpuuze huenda akajishtukia ila ikishindikana kabisa heri ukaachana nae maana maisha aina hiyo hayafai,, mtauana
Kwakweli tukiamua kuwa na roho mbaya tunakuwaga zaidi ya shetaniKapeace , watu wengi sana tunachanganya kati ya upendo/wivu na roho mbaya.
Roho mbaya ni kama vile mchawi, anaweza kufanya jambo hata ambalo halina faida kwake lengo tu amuumize mwingine.
Hata kwenye mahusiano, wanaouana kisa eti wivu hawana upendo hata kidogo, hiyo ni roho mbaya tu, mwanaume anawaza alivyogaramia, halafu leo uondoke hivihivi au afaidi mwingine, anaona bora mfe mkose wote, hakuna upendo hapo.
Huyu dada hana upendo bali roho mbaya tu, ndio maana anachepuka ili mwanaume aumie, mwisho ataamua hata kumuwekea sumu ili tu lengo la kumuumiza likamilike..
Mwanaume hana roho mbaya kwa kuwa anafanya kujifurahisha yeye, sio kuumiza mtu..
Kama huu uzi ni wa kweli, na kama wanawake wengi wana akili hizi, basi mwanamke ni kiumbe chenye roho mbaya sana.
Jitahidini msiwe na roho mbaya..Kwakweli tukiamua kuwa na roho mbaya tunakuwaga zaidi ya shetani
Hilo ni kosa kubwa kumuonesha kuwa uko na mahusiano na mwanaume mwingine.bomu utakalolitengeneza litakuja kukulipukia mwenyewe na utateseka katika maisha yako Mpaka unakufa.ili Mumeo abadilike…unatakiwa kwanza wewe ubadilike mama[emoji1][emoji1]inachekesha ehee..
Tuna wivu sana ndo tatizoJitahidini msiwe na roho mbaya..
Kila nikijaribu kuutafakari wivu, huwa nafikia hitimisho kwamba ni aina ya roho mbaya!Tuna wivu sana ndo tatizo
Piga magoti utubie dhambi yako ya uzinzi na utubu kwa ajili yake....Nimeolewa ndoa yangu ina miaka kumi, miaka yote hiyo nimekua nikiishi kwa mateso, mume wangu anahudumia familia na kila kitu, lakini ni malaya sana, anatembea mpaka na ndugu zangu.
Nimevumilia mpaka nikachoka, mwaka jana kwa hasira nikaamua kuchepuka, mwanzo nilikua na amani lakini sasa hivi sina amani kwani naona kama mume wangu haumii. Yeye anachepuka mimi najua nateseka lakini yeye hajui kama mimi nateseka.
Tumeshaitishwa vikao mpaka wametuchoka, nataka kumuumiza mume wangu, nataka ajue uchungu ninaoupitia, nataka kumuonyesha kuwa nina mwanaume mwingine, nashindwa nifanyeje, niache meseji au nipige picha nikiwa na mwanaume mwingine ili aone.
Nataka aumie kama ninavyoumia.