lulu za uru
JF-Expert Member
- Aug 7, 2015
- 2,557
- 3,221
Write your reply...Sisemi ni wewe Ila mabinti mnaotoka na waume za watu karma is bitch utaolewa mwanaume. ataoverkuchepuka kupindukia maana kukuta asiyechepuka nayo ni kuokota chungwa kwenye maembe.
Na ukimlilia Mungu atakukumbusha tu namna ulikuwa ukitesa wenzako Kwa kuchukulia waume zao, acheni waume za watu jamani
Na ukimlilia Mungu atakukumbusha tu namna ulikuwa ukitesa wenzako Kwa kuchukulia waume zao, acheni waume za watu jamani