Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,773
- 51,429
Nimecheka Kwa sautiHaya mimi niko pale nimekaa.😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimecheka Kwa sautiHaya mimi niko pale nimekaa.😂
Mumeo akijua unachempuka utaachika!!,tumia akiliNimeolewa ndoa yangu ina miaka kumi, miaka yote hiyo nimekua nikiishi kwa mateso, mume wangu anahudumia familia na kila kitu, lakini ni malaya sana, anatembea mpaka na ndugu zangu.
Nimevumilia mpaka nikachoka, mwaka jana kwa hasira nikaamua kuchepuka, mwanzo nilikua na amani lakini sasa hivi sina amani kwani naona kama mume wangu haumii. Yeye anachepuka mimi najua nateseka lakini yeye hajui kama mimi nateseka.
Tumeshaitishwa vikao mpaka wametuchoka, nataka kumuumiza mume wangu, nataka ajue uchungu ninaoupitia, nataka kumuonyesha kuwa nina mwanaume mwingine, nashindwa nifanyeje, niache meseji au nipige picha nikiwa na mwanaume mwingine ili aone.
Nataka aumie kama ninavyoumia.
kwenda hukooo
Msichana ni Kiumbe gani?kwenda hukooo
Kwa mujibu wa masimulizi yako inaonekana wewe haupo kwenye moyo wa mume wako, Kwahiyo mumeo anajaribu kufukia magap kwa kutembea na wanawake wengine ili kutafuta furaha lakini bado anakosa furaha anayoitafuta( ndio maana haridhiki na michepuko aliyoipata). Kitendo cha wewe kulipiza kisasi kwa kutafuta mchepuko ni moja ya njia za kujiangamiza wewe mwenyewe ( Kwasababu, unaweza kupata magonjwa ya ngono na UKIMWI).Nimeolewa ndoa yangu ina miaka kumi, miaka yote hiyo nimekua nikiishi kwa mateso, mume wangu anahudumia familia na kila kitu, lakini ni malaya sana, anatembea mpaka na ndugu zangu.
Nimevumilia mpaka nikachoka, mwaka jana kwa hasira nikaamua kuchepuka, mwanzo nilikua na amani lakini sasa hivi sina amani kwani naona kama mume wangu haumii. Yeye anachepuka mimi najua nateseka lakini yeye hajui kama mimi nateseka.
Tumeshaitishwa vikao mpaka wametuchoka, nataka kumuumiza mume wangu, nataka ajue uchungu ninaoupitia, nataka kumuonyesha kuwa nina mwanaume mwingine, nashindwa nifanyeje, niache meseji au nipige picha nikiwa na mwanaume mwingine ili aone.
Nataka aumie kama ninavyoumia.
This world, no balance oohR.I.P in advance
Mzalie mtoto njeNimeolewa ndoa yangu ina miaka kumi, miaka yote hiyo nimekua nikiishi kwa mateso, mume wangu anahudumia familia na kila kitu, lakini ni malaya sana, anatembea mpaka na ndugu zangu.
Nimevumilia mpaka nikachoka, mwaka jana kwa hasira nikaamua kuchepuka, mwanzo nilikua na amani lakini sasa hivi sina amani kwani naona kama mume wangu haumii. Yeye anachepuka mimi najua nateseka lakini yeye hajui kama mimi nateseka.
Tumeshaitishwa vikao mpaka wametuchoka, nataka kumuumiza mume wangu, nataka ajue uchungu ninaoupitia, nataka kumuonyesha kuwa nina mwanaume mwingine, nashindwa nifanyeje, niache meseji au nipige picha nikiwa na mwanaume mwingine ili aone.
Nataka aumie kama ninavyoumia.
Hudhuria darasa hili au mtafute huyo MariamNimeolewa ndoa yangu ina miaka kumi, miaka yote hiyo nimekua nikiishi kwa mateso, mume wangu anahudumia familia na kila kitu, lakini ni malaya sana, anatembea mpaka na ndugu zangu.
Nimevumilia mpaka nikachoka, mwaka jana kwa hasira nikaamua kuchepuka, mwanzo nilikua na amani lakini sasa hivi sina amani kwani naona kama mume wangu haumii. Yeye anachepuka mimi najua nateseka lakini yeye hajui kama mimi nateseka.
Tumeshaitishwa vikao mpaka wametuchoka, nataka kumuumiza mume wangu, nataka ajue uchungu ninaoupitia, nataka kumuonyesha kuwa nina mwanaume mwingine, nashindwa nifanyeje, niache meseji au nipige picha nikiwa na mwanaume mwingine ili aone.
Nataka aumie kama ninavyoumia.

Ushauri wako ni mzuri, anabaki hapo muda wote huo ni kuwa nasubiri magonjwa.Hili tatizo ni kama la jamaa mmoja ninayemjua na mke wake. Jamaa ni kiwembe kweli kweli. Ametembea na ndugu za mke wake, ametembea na house girls, majirani marafiki wa mkewe, ma-bar maids, yaani ni kumbakumba. Imefika mahali na mkewe naye ameamua kugawa kama pipi.
Wakiishi kidogo pamoja wanapigana wanatengana. Baada ya muda tena wanarudiana, wanazaa. Mtoto akiwa na miezi sita wanagombana kila mtu anakwenda kuishi kivyake, mke anagawa kama hana akili na mume naye anasomba kila kinachofika mbele yake.
Ushauri wangu kwako: Usilipize kisasi kwa kujirahisisha. Utakuwa unajidhalilisha wewe mwenyewe. Trust me. Mimi ni mwanamme na najua jinsi wanaume wanavyodharau wanawake wanaojirahisha. Cha kufanya ni wewe kuondoka na kuendelea na maisha yako.
Ukiondoka utakuwa umemuuza sana. Sasa hivi haoni umuhimu wako kwa sababu uko naye. Akiona umeondoka na kuishi peke yako automatically atajua kuwa utakuwa una contact na wanaume wengine na wivu utamshika.
Mbona swala dogo hilo ....we ukiwa na huo mchepuko wako ...wakati mnagegedana mjirecord afu mumtumie mange kimambi .....Hapo utakua umemuweza mume wako, wala usitumie nguvu nyingiNimeolewa ndoa yangu ina miaka kumi, miaka yote hiyo nimekua nikiishi kwa mateso, mume wangu anahudumia familia na kila kitu, lakini ni malaya sana, anatembea mpaka na ndugu zangu.
Nimevumilia mpaka nikachoka, mwaka jana kwa hasira nikaamua kuchepuka, mwanzo nilikua na amani lakini sasa hivi sina amani kwani naona kama mume wangu haumii. Yeye anachepuka mimi najua nateseka lakini yeye hajui kama mimi nateseka.
Tumeshaitishwa vikao mpaka wametuchoka, nataka kumuumiza mume wangu, nataka ajue uchungu ninaoupitia, nataka kumuonyesha kuwa nina mwanaume mwingine, nashindwa nifanyeje, niache meseji au nipige picha nikiwa na mwanaume mwingine ili aone.
Nataka aumie kama ninavyoumia.
Chepuka na mm afu ulete mrejesho baada ya siku3 nakwambia hutamkumbuka mumeo tenaaaNimeolewa ndoa yangu ina miaka kumi, miaka yote hiyo nimekua nikiishi kwa mateso, mume wangu anahudumia familia na kila kitu, lakini ni malaya sana, anatembea mpaka na ndugu zangu.
Nimevumilia mpaka nikachoka, mwaka jana kwa hasira nikaamua kuchepuka, mwanzo nilikua na amani lakini sasa hivi sina amani kwani naona kama mume wangu haumii. Yeye anachepuka mimi najua nateseka lakini yeye hajui kama mimi nateseka.
Tumeshaitishwa vikao mpaka wametuchoka, nataka kumuumiza mume wangu, nataka ajue uchungu ninaoupitia, nataka kumuonyesha kuwa nina mwanaume mwingine, nashindwa nifanyeje, niache meseji au nipige picha nikiwa na mwanaume mwingine ili aone.
Nataka aumie kama ninavyoumia.
Kaa kimasta masta wangu, mjini hapa[emoji1534]Mm nakushauri achana na mumeo uolewe na Kingsmann
Tokea lini nikawa mchepuko masta?Ana mchepuko wake humu ninda unaitwa Kingsmann so mm namshauri aendele nao au sio wajamen....