Nifanye nini? Nataka mume wangu aumie kama ninavyoumia mimi

Nifanye nini? Nataka mume wangu aumie kama ninavyoumia mimi

Msichana ni Kiumbe gani?
Mvulana ni Kiumbe Gani?
Mwanamke ni Kiumbe Gani
Mwanaume ni Kiumbe Gani
Mke ni Kiumbe gani kati ya hao wote walitangulia hapo Juu?
Mume ni Nani kiumbe gani kati ya hao waliotangulia hapo Juu?
Je Mchepuko ana Jinsi yoyote?

.....Akili Unazo!
 
Nimeolewa ndoa yangu ina miaka kumi, miaka yote hiyo nimekua nikiishi kwa mateso, mume wangu anahudumia familia na kila kitu, lakini ni malaya sana, anatembea mpaka na ndugu zangu.

Nimevumilia mpaka nikachoka, mwaka jana kwa hasira nikaamua kuchepuka, mwanzo nilikua na amani lakini sasa hivi sina amani kwani naona kama mume wangu haumii. Yeye anachepuka mimi najua nateseka lakini yeye hajui kama mimi nateseka.

Tumeshaitishwa vikao mpaka wametuchoka, nataka kumuumiza mume wangu, nataka ajue uchungu ninaoupitia, nataka kumuonyesha kuwa nina mwanaume mwingine, nashindwa nifanyeje, niache meseji au nipige picha nikiwa na mwanaume mwingine ili aone.

Nataka aumie kama ninavyoumia.
Mumeo akijua unachempuka utaachika!!,tumia akili
 
kwenda hukooo
Msichana ni Kiumbe gani?
Mvulana ni Kiumbe Gani?
Mwanamke ni Kiumbe Gani
Mwanaume ni Kiumbe Gani
Mke ni Kiumbe gani kati ya hao wote walitangulia hapo Juu?
Mume ni Nani kiumbe gani kati ya hao waliotangulia hapo Juu?
Je Mchepuko ana Jinsi yoyote?
 
Nimeolewa ndoa yangu ina miaka kumi, miaka yote hiyo nimekua nikiishi kwa mateso, mume wangu anahudumia familia na kila kitu, lakini ni malaya sana, anatembea mpaka na ndugu zangu.

Nimevumilia mpaka nikachoka, mwaka jana kwa hasira nikaamua kuchepuka, mwanzo nilikua na amani lakini sasa hivi sina amani kwani naona kama mume wangu haumii. Yeye anachepuka mimi najua nateseka lakini yeye hajui kama mimi nateseka.

Tumeshaitishwa vikao mpaka wametuchoka, nataka kumuumiza mume wangu, nataka ajue uchungu ninaoupitia, nataka kumuonyesha kuwa nina mwanaume mwingine, nashindwa nifanyeje, niache meseji au nipige picha nikiwa na mwanaume mwingine ili aone.

Nataka aumie kama ninavyoumia.
Kwa mujibu wa masimulizi yako inaonekana wewe haupo kwenye moyo wa mume wako, Kwahiyo mumeo anajaribu kufukia magap kwa kutembea na wanawake wengine ili kutafuta furaha lakini bado anakosa furaha anayoitafuta( ndio maana haridhiki na michepuko aliyoipata). Kitendo cha wewe kulipiza kisasi kwa kutafuta mchepuko ni moja ya njia za kujiangamiza wewe mwenyewe ( Kwasababu, unaweza kupata magonjwa ya ngono na UKIMWI).

USHAURI: Uwe unasali Sana ili MUNGU awape furaha ya ndoa yenu.( Kwasababu, hata wewe makosa uliyoyafanya yanaigharimu familia yenu, na inawezekana msiwe na umoja tena).
 
Nimeolewa ndoa yangu ina miaka kumi, miaka yote hiyo nimekua nikiishi kwa mateso, mume wangu anahudumia familia na kila kitu, lakini ni malaya sana, anatembea mpaka na ndugu zangu.

Nimevumilia mpaka nikachoka, mwaka jana kwa hasira nikaamua kuchepuka, mwanzo nilikua na amani lakini sasa hivi sina amani kwani naona kama mume wangu haumii. Yeye anachepuka mimi najua nateseka lakini yeye hajui kama mimi nateseka.

Tumeshaitishwa vikao mpaka wametuchoka, nataka kumuumiza mume wangu, nataka ajue uchungu ninaoupitia, nataka kumuonyesha kuwa nina mwanaume mwingine, nashindwa nifanyeje, niache meseji au nipige picha nikiwa na mwanaume mwingine ili aone.

Nataka aumie kama ninavyoumia.
Mzalie mtoto nje
 
Nimeolewa ndoa yangu ina miaka kumi, miaka yote hiyo nimekua nikiishi kwa mateso, mume wangu anahudumia familia na kila kitu, lakini ni malaya sana, anatembea mpaka na ndugu zangu.

Nimevumilia mpaka nikachoka, mwaka jana kwa hasira nikaamua kuchepuka, mwanzo nilikua na amani lakini sasa hivi sina amani kwani naona kama mume wangu haumii. Yeye anachepuka mimi najua nateseka lakini yeye hajui kama mimi nateseka.

Tumeshaitishwa vikao mpaka wametuchoka, nataka kumuumiza mume wangu, nataka ajue uchungu ninaoupitia, nataka kumuonyesha kuwa nina mwanaume mwingine, nashindwa nifanyeje, niache meseji au nipige picha nikiwa na mwanaume mwingine ili aone.

Nataka aumie kama ninavyoumia.
Hudhuria darasa hili au mtafute huyo Mariam
IMG-20220801-WA0018.jpg
IMG-20220824-WA0029.jpg
 
Hili tatizo ni kama la jamaa mmoja ninayemjua na mke wake. Jamaa ni kiwembe kweli kweli. Ametembea na ndugu za mke wake, ametembea na house girls, majirani marafiki wa mkewe, ma-bar maids, yaani ni kumbakumba. Imefika mahali na mkewe naye ameamua kugawa kama pipi.

Wakiishi kidogo pamoja wanapigana wanatengana. Baada ya muda tena wanarudiana, wanazaa. Mtoto akiwa na miezi sita wanagombana kila mtu anakwenda kuishi kivyake, mke anagawa kama hana akili na mume naye anasomba kila kinachofika mbele yake.

Ushauri wangu kwako: Usilipize kisasi kwa kujirahisisha. Utakuwa unajidhalilisha wewe mwenyewe. Trust me. Mimi ni mwanamme na najua jinsi wanaume wanavyodharau wanawake wanaojirahisha. Cha kufanya ni wewe kuondoka na kuendelea na maisha yako.

Ukiondoka utakuwa umemuuza sana. Sasa hivi haoni umuhimu wako kwa sababu uko naye. Akiona umeondoka na kuishi peke yako automatically atajua kuwa utakuwa una contact na wanaume wengine na wivu utamshika.
Ushauri wako ni mzuri, anabaki hapo muda wote huo ni kuwa nasubiri magonjwa.
Mwanaume kama huyo ni kumuacha tu
 
Nimeolewa ndoa yangu ina miaka kumi, miaka yote hiyo nimekua nikiishi kwa mateso, mume wangu anahudumia familia na kila kitu, lakini ni malaya sana, anatembea mpaka na ndugu zangu.

Nimevumilia mpaka nikachoka, mwaka jana kwa hasira nikaamua kuchepuka, mwanzo nilikua na amani lakini sasa hivi sina amani kwani naona kama mume wangu haumii. Yeye anachepuka mimi najua nateseka lakini yeye hajui kama mimi nateseka.

Tumeshaitishwa vikao mpaka wametuchoka, nataka kumuumiza mume wangu, nataka ajue uchungu ninaoupitia, nataka kumuonyesha kuwa nina mwanaume mwingine, nashindwa nifanyeje, niache meseji au nipige picha nikiwa na mwanaume mwingine ili aone.

Nataka aumie kama ninavyoumia.
Mbona swala dogo hilo ....we ukiwa na huo mchepuko wako ...wakati mnagegedana mjirecord afu mumtumie mange kimambi .....Hapo utakua umemuweza mume wako, wala usitumie nguvu nyingi

Muambie mange kwenye caption aandike hv

"MKE ACHAFUA HALI YA HEWA KUMKOMOA MUME WAKE" WAHI FASTER KWENYE APP

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimeolewa ndoa yangu ina miaka kumi, miaka yote hiyo nimekua nikiishi kwa mateso, mume wangu anahudumia familia na kila kitu, lakini ni malaya sana, anatembea mpaka na ndugu zangu.

Nimevumilia mpaka nikachoka, mwaka jana kwa hasira nikaamua kuchepuka, mwanzo nilikua na amani lakini sasa hivi sina amani kwani naona kama mume wangu haumii. Yeye anachepuka mimi najua nateseka lakini yeye hajui kama mimi nateseka.

Tumeshaitishwa vikao mpaka wametuchoka, nataka kumuumiza mume wangu, nataka ajue uchungu ninaoupitia, nataka kumuonyesha kuwa nina mwanaume mwingine, nashindwa nifanyeje, niache meseji au nipige picha nikiwa na mwanaume mwingine ili aone.

Nataka aumie kama ninavyoumia.
Chepuka na mm afu ulete mrejesho baada ya siku3 nakwambia hutamkumbuka mumeo tenaaa
 
Back
Top Bottom