antimatter
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 47,274
- 126,778
Aisee!Sina kabisa.., wewe?
Kwa hiyo ikitokea ukamfumania analiwa utajisikiaje na utafanya?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee!Sina kabisa.., wewe?
Usijali madame, huyu ni wangu, na mimi ni wake hamna kilichoharibika.poSi bora hata wewe unaweza kuchepuka?, means you are young and attractive, wenzako hawawezil
pole sana mkuu, mimi nakushauri uachane na mumeo,
huu muda unaoumaliza kutafta kumuumiza mumeo ungejiweka available and right person angekuja kwenye maisha yako,
Acha kujibamiza ukutani mkuu and stop being in unhealthy relationship, psychological damage ya kukaa kwenye unhealthy relationship consequences zake zinaweza kuwa kubwa zaidi na ukapoteza kila kitu...
Tatizo Kingsmann anamwagaga madini humu ila lakini hili sijamuona, mnaweza mkaanza future pamoja,lol.
.
Nipe miye shoo moja,utaona mumeo atakavyoumiaNimeolewa ndoa yangu ina miaka kumi, miaka yote hiyo nimekua nikiishi kwa mateso, mume wangu anahudumia familia na kila kitu, lakini ni malaya sana, anatembea mpaka na ndugu zangu.
Nimevumilia mpaka nikachoka, mwaka jana kwa hasira nikaamua kuchepuka, mwanzo nilikua na amani lakini sasa hivi sina amani kwani naona kama mume wangu haumii. Yeye anachepuka mimi najua nateseka lakini yeye hajui kama mimi nateseka.
Tumeshaitishwa vikao mpaka wametuchoka, nataka kumuumiza mume wangu, nataka ajue uchungu ninaoupitia, nataka kumuonyesha kuwa nina mwanaume mwingine, nashindwa nifanyeje, niache meseji au nipige picha nikiwa na mwanaume mwingine ili aone.
Nataka aumie kama ninavyoumia.
Y ni ngumu? Sasa mume anagegeda hadi ndugu zako unabaki kwenye ndoa ili iwaje? Ujinga huo. Yeye asepe tuuHapo nilipobold….usifikiri ni parahisi
Yes Kwa kuongea tu..ni parahisi mno mno
Watamu na wanajua kuhidumia...kuachwa haiwezi kuwa rahisi wakati warembo wanalamba asali kwa waume za watuWrite your reply...Sisemi ni wewe Ila mabinti mnaotoka na waume. za watu karma is bitch utaolewa mwanaume. ataoverkuchepuka kupindukia maana kukuta asiyechepuka nayo ni kuokota chungwa kwenye maembe. na ukimlilia Mungu atakukumbusha tu namna ulikuwa ukitesa wenzako Kwa kuchukulia waume zao....acheni waume za watu jamani
NdioKwa hiyo wewe una vyote hivyo?
Nitampa talaka..Aisee!
Kwa hiyo ikitokea ukamfumania analiwa utajisikiaje na utafanya?
Mmh! Nitaweza kuvivumilia kweli vyote hivyo?Ndio
Ni kujitahidi usinifanye km mume wa mtoa mada,,Mmh! Nitaweza kuvivumilia kweli vyote hivyo?
Punguza hata kimoja ndio nitajitahidi..Ni kujitahidi usinifanye km mume wa mtoa mada,,
Mna Watoto? Acha ujinga Lea Watoto wewe!Tumeshaitishwa vikao mpaka wametuchoka, nataka kumuumiza mume wangu, nataka ajue uchungu ninaoupitia, nataka kumuonyesha kuwa nina mwanaume mwingine, nashindwa nifanyeje, niache meseji au nipige picha nikiwa na mwanaume mwingine ili aone
Haviachani hivyoPunguza hata kimoja ndio nitajitahidi..
Kabisa mkuu. Halfu wanaume wa aina hiyo wakiachwa huwa hawawezi kuendesha maisha yao na hawawezi kuishi na mwanamke mwingine. Mwanamke ukishaona mume wako anafanya ufuska kama huu ni kuondoka zako tu. Na hata akija kuomba msamaha usikubali kirahisi. Mwambie kila mtu aishi kivyake kwa muda kama wa mwaka mmoja au zaidi ndiyo mrudiane.Ushauri wako ni mzuri, anabaki hapo muda wote huo ni kuwa nasubiri magonjwa.
Mwanaume kama huyo ni kumuacha tu
Kuna gunia za mkaa ujue kuwa makini usitafute balaa acha balaa ikuje yenyewe....!Nimeolewa ndoa yangu ina miaka kumi, miaka yote hiyo nimekua nikiishi kwa mateso, mume wangu anahudumia familia na kila kitu, lakini ni malaya sana, anatembea mpaka na ndugu zangu.
Nimevumilia mpaka nikachoka, mwaka jana kwa hasira nikaamua kuchepuka, mwanzo nilikua na amani lakini sasa hivi sina amani kwani naona kama mume wangu haumii. Yeye anachepuka mimi najua nateseka lakini yeye hajui kama mimi nateseka.
Tumeshaitishwa vikao mpaka wametuchoka, nataka kumuumiza mume wangu, nataka ajue uchungu ninaoupitia, nataka kumuonyesha kuwa nina mwanaume mwingine, nashindwa nifanyeje, niache meseji au nipige picha nikiwa na mwanaume mwingine ili aone.
Nataka aumie kama ninavyoumia.
Hukuwa na maisha yako kabla hujamfahamu?Nimeolewa ndoa yangu ina miaka kumi, miaka yote hiyo nimekua nikiishi kwa mateso, mume wangu anahudumia familia na kila kitu, lakini ni malaya sana, anatembea mpaka na ndugu zangu.
Nimevumilia mpaka nikachoka, mwaka jana kwa hasira nikaamua kuchepuka, mwanzo nilikua na amani lakini sasa hivi sina amani kwani naona kama mume wangu haumii. Yeye anachepuka mimi najua nateseka lakini yeye hajui kama mimi nateseka.
Tumeshaitishwa vikao mpaka wametuchoka, nataka kumuumiza mume wangu, nataka ajue uchungu ninaoupitia, nataka kumuonyesha kuwa nina mwanaume mwingine, nashindwa nifanyeje, niache meseji au nipige picha nikiwa na mwanaume mwingine ili aone.
Nataka aumie kama ninavyoumia.