Nifanye nini? Nataka mume wangu aumie kama ninavyoumia mimi

Nifanye nini? Nataka mume wangu aumie kama ninavyoumia mimi

Mpotezee mchukulie kama ni limbukeni aliyeruka stage. Unaumia sababu unamfatilia, acha kabisa kumfatilia ikiwemo hata kukagua simu zake.
 
poSi bora hata wewe unaweza kuchepuka?, means you are young and attractive, wenzako hawawezil

pole sana mkuu, mimi nakushauri uachane na mumeo,

huu muda unaoumaliza kutafta kumuumiza mumeo ungejiweka available and right person angekuja kwenye maisha yako,

Acha kujibamiza ukutani mkuu and stop being in unhealthy relationship, psychological damage ya kukaa kwenye unhealthy relationship consequences zake zinaweza kuwa kubwa zaidi na ukapoteza kila kitu...

Tatizo Kingsmann anamwagaga madini humu ila lakini hili sijamuona, mnaweza mkaanza future pamoja,lol.

.
Usijali madame, huyu ni wangu, na mimi ni wake hamna kilichoharibika.

Unforgettable
 
Nimeolewa ndoa yangu ina miaka kumi, miaka yote hiyo nimekua nikiishi kwa mateso, mume wangu anahudumia familia na kila kitu, lakini ni malaya sana, anatembea mpaka na ndugu zangu.

Nimevumilia mpaka nikachoka, mwaka jana kwa hasira nikaamua kuchepuka, mwanzo nilikua na amani lakini sasa hivi sina amani kwani naona kama mume wangu haumii. Yeye anachepuka mimi najua nateseka lakini yeye hajui kama mimi nateseka.

Tumeshaitishwa vikao mpaka wametuchoka, nataka kumuumiza mume wangu, nataka ajue uchungu ninaoupitia, nataka kumuonyesha kuwa nina mwanaume mwingine, nashindwa nifanyeje, niache meseji au nipige picha nikiwa na mwanaume mwingine ili aone.

Nataka aumie kama ninavyoumia.
Nipe miye shoo moja,utaona mumeo atakavyoumia
 
Muhimu anaweza akawa na shida za kiroho pia jaribu kuchek mabingwa wa kuponya magonjwa ya kiroho
 
Write your reply...Sisemi ni wewe Ila mabinti mnaotoka na waume. za watu karma is bitch utaolewa mwanaume. ataoverkuchepuka kupindukia maana kukuta asiyechepuka nayo ni kuokota chungwa kwenye maembe. na ukimlilia Mungu atakukumbusha tu namna ulikuwa ukitesa wenzako Kwa kuchukulia waume zao....acheni waume za watu jamani
Watamu na wanajua kuhidumia...kuachwa haiwezi kuwa rahisi wakati warembo wanalamba asali kwa waume za watu
 
Tumeshaitishwa vikao mpaka wametuchoka, nataka kumuumiza mume wangu, nataka ajue uchungu ninaoupitia, nataka kumuonyesha kuwa nina mwanaume mwingine, nashindwa nifanyeje, niache meseji au nipige picha nikiwa na mwanaume mwingine ili aone
Mna Watoto? Acha ujinga Lea Watoto wewe!
 
Ushauri wako ni mzuri, anabaki hapo muda wote huo ni kuwa nasubiri magonjwa.
Mwanaume kama huyo ni kumuacha tu
Kabisa mkuu. Halfu wanaume wa aina hiyo wakiachwa huwa hawawezi kuendesha maisha yao na hawawezi kuishi na mwanamke mwingine. Mwanamke ukishaona mume wako anafanya ufuska kama huu ni kuondoka zako tu. Na hata akija kuomba msamaha usikubali kirahisi. Mwambie kila mtu aishi kivyake kwa muda kama wa mwaka mmoja au zaidi ndiyo mrudiane.

Na mkirudiana unampa conditions za muda mfupi na mrefu na unamwambia kabisa asipozitekeleza utaondoka kimoja.
 
Na akiumia tu,gunia mbili za mkaa zinahusika!
 
Tulia huko huko ndoani mama. ...hakuns mwanaume asiechepuka...utofauti ni kuwa wa kwako anafanya openly sana hadi unajua
 
Nimeolewa ndoa yangu ina miaka kumi, miaka yote hiyo nimekua nikiishi kwa mateso, mume wangu anahudumia familia na kila kitu, lakini ni malaya sana, anatembea mpaka na ndugu zangu.

Nimevumilia mpaka nikachoka, mwaka jana kwa hasira nikaamua kuchepuka, mwanzo nilikua na amani lakini sasa hivi sina amani kwani naona kama mume wangu haumii. Yeye anachepuka mimi najua nateseka lakini yeye hajui kama mimi nateseka.

Tumeshaitishwa vikao mpaka wametuchoka, nataka kumuumiza mume wangu, nataka ajue uchungu ninaoupitia, nataka kumuonyesha kuwa nina mwanaume mwingine, nashindwa nifanyeje, niache meseji au nipige picha nikiwa na mwanaume mwingine ili aone.

Nataka aumie kama ninavyoumia.
Kuna gunia za mkaa ujue kuwa makini usitafute balaa acha balaa ikuje yenyewe....!
 
Nimeolewa ndoa yangu ina miaka kumi, miaka yote hiyo nimekua nikiishi kwa mateso, mume wangu anahudumia familia na kila kitu, lakini ni malaya sana, anatembea mpaka na ndugu zangu.

Nimevumilia mpaka nikachoka, mwaka jana kwa hasira nikaamua kuchepuka, mwanzo nilikua na amani lakini sasa hivi sina amani kwani naona kama mume wangu haumii. Yeye anachepuka mimi najua nateseka lakini yeye hajui kama mimi nateseka.

Tumeshaitishwa vikao mpaka wametuchoka, nataka kumuumiza mume wangu, nataka ajue uchungu ninaoupitia, nataka kumuonyesha kuwa nina mwanaume mwingine, nashindwa nifanyeje, niache meseji au nipige picha nikiwa na mwanaume mwingine ili aone.

Nataka aumie kama ninavyoumia.
Hukuwa na maisha yako kabla hujamfahamu?
 
Back
Top Bottom