Nifanye nini? Nataka mume wangu aumie kama ninavyoumia mimi

Nifanye nini? Nataka mume wangu aumie kama ninavyoumia mimi

Nimeolewa ndoa yangu ina miaka kumi, miaka yote hiyo nimekua nikiishi kwa mateso, mume wangu anahudumia familia na kila kitu, lakini ni malaya sana, anatembea mpaka na ndugu zangu.

Nimevumilia mpaka nikachoka, mwaka jana kwa hasira nikaamua kuchepuka, mwanzo nilikua na amani lakini sasa hivi sina amani kwani naona kama mume wangu haumii. Yeye anachepuka mimi najua nateseka lakini yeye hajui kama mimi nateseka.

Tumeshaitishwa vikao mpaka wametuchoka, nataka kumuumiza mume wangu, nataka ajue uchungu ninaoupitia, nataka kumuonyesha kuwa nina mwanaume mwingine, nashindwa nifanyeje, niache meseji au nipige picha nikiwa na mwanaume mwingine ili aone.

Nataka aumie kama ninavyoumia.
Achia connection moja kaliii
 
mzabzab nafikiri hili ni jibu sahihi kwenye ile comment uliyoniquote hapo juu
Kuwa na watoto hakumaanishi ushushe utu wako na thamani yako kama mwanamke. Mume anafiki kiwango cha kugegeda ndugu zako wee bado unabaki kwa kisingizio cha watoto. Huo ni ujinga.
 
Nimeolewa ndoa yangu ina miaka kumi, miaka yote hiyo nimekua nikiishi kwa mateso, mume wangu anahudumia familia na kila kitu, lakini ni malaya sana, anatembea mpaka na ndugu zangu.

Nimevumilia mpaka nikachoka, mwaka jana kwa hasira nikaamua kuchepuka, mwanzo nilikua na amani lakini sasa hivi sina amani kwani naona kama mume wangu haumii. Yeye anachepuka mimi najua nateseka lakini yeye hajui kama mimi nateseka.

Tumeshaitishwa vikao mpaka wametuchoka, nataka kumuumiza mume wangu, nataka ajue uchungu ninaoupitia, nataka kumuonyesha kuwa nina mwanaume mwingine, nashindwa nifanyeje, niache meseji au nipige picha nikiwa na mwanaume mwingine ili aone.

Nataka aumie kama ninavyoumia.

Kuna sehem unafeli, wanaume kuchepuka ni kawaida yetu, ukimwonyesha dhahiri unachepuka hauna ndoa, ama ataoa mwanamke wmingine na hapo ndo utaumia zaidi.
Nakupa akili nzuri sana dada yangu na mumeo ataacha maramoja kuchepuka.
1.jishushe kwa ke kupitiliza yaan miguuni kwake kabisaaaaaaaaa. Na umaanishe

2. Mpe mapenzi ya kweli kwa maana mhudumie kimwili na kiakili hapa ndobwanawake wwngi huwa wanafeli na wanaume huwa tunaumia na ili kubalance mambo huwa tunachepuka

3. Sali sana tena kwa kumaanisha, binafsi huwa sisali ila namwamini na ninamwogopa sana Mungu ila siamini katika madhebu japo nina dhehebu langu ambalo ni muumini.

4. Chagua maneno ya kuongea na mumeo, mpigie simu mara kwa mara, mwite majina mazuri, baba na mengine mengi tu. Na mpe nafasi ya kwanza katika kila kitu chako unachofanya.

Hata kama umesafiri hakikisha mda wa chakula ukifika mpigie sim mwambia baba chakula tayari, baba nenda kalale nimeshaandaa kitanda huku ukiwa umemwagiza beki tatu kufanya yote hayo, and akiwa kazini mkumbushe muda wa kula.

Nakuhakikishia ayaacha na atabadilika
 
Nimeolewa ndoa yangu ina miaka kumi, miaka yote hiyo nimekua nikiishi kwa mateso, mume wangu anahudumia familia na kila kitu, lakini ni malaya sana, anatembea mpaka na ndugu zangu.

Nimevumilia mpaka nikachoka, mwaka jana kwa hasira nikaamua kuchepuka, mwanzo nilikua na amani lakini sasa hivi sina amani kwani naona kama mume wangu haumii. Yeye anachepuka mimi najua nateseka lakini yeye hajui kama mimi nateseka.

Tumeshaitishwa vikao mpaka wametuchoka, nataka kumuumiza mume wangu, nataka ajue uchungu ninaoupitia, nataka kumuonyesha kuwa nina mwanaume mwingine, nashindwa nifanyeje, niache meseji au nipige picha nikiwa na mwanaume mwingine ili aone.

Nataka aumie kama ninavyoumia.
Tombna nae Kila siku,hata akidai kuwa amechoka mlazimishe akukamue. Mkatikie Sana tena Sana kama hauwezi kukatika fanya mazoezi ya kuzungusha nyonga kweli kweli. Jitahidi Sana narudia tena jilazimishe awe anakutomb Kila siku utakuja kunishukuru
 
ebu jipende kwanza(kama unakipato chako)mama vaa pendeza sana,nukia,wikendi jipeleke sehemu nzuri nzuri kajichanganye hukooo..make sure haumpi taarifa yoyote ya wapi unakwenda.
Kwa hili kwenda tu mahali hasa weekends unamuacha nyumbani husemi unaenda wapi ni lazima utakuja kupigwa tu...

Hakuna kitu wanaume wanachukia kupita maelezo mwanamke aondoke nyumbani anamuacha hapo sebuleni hasemi anaenda wapi wala kuaga...kingine ni arudi home usiku akute hujarudi,halafu ukirudi usiongee chochote au kujieleza....lazima akupige tu

Kwa wanaume ukifanya kitu kwa ujuaji au kwa kutokusema au kujifanya man-alone wao wanatafsiri ni kiburi na dharau,na response yao on these ni fujo mostly.

Hizi fujo zote utaziweza kweli ndugu?
 
poSi bora hata wewe unaweza kuchepuka?, means you are young and attractive, wenzako hawawezil

pole sana mkuu, mimi nakushauri uachane na mumeo,

huu muda unaoumaliza kutafta kumuumiza mumeo ungejiweka available and right person angekuja kwenye maisha yako,

Acha kujibamiza ukutani mkuu and stop being in unhealthy relationship, psychological damage ya kukaa kwenye unhealthy relationship consequences zake zinaweza kuwa kubwa zaidi na ukapoteza kila kitu...

Tatizo Kingsmann anamwagaga madini humu ila lakini hili sijamuona, mnaweza mkaanza future pamoja,lol.

.
Wanaume ni wale wale ndugu

Genetically,kitabia,etc are mostly coherent....

Kujitoa kwa huyu na kujiweka kwa yule unafuu sio mkubwa sana kama unavyofikiri

Huyu malaya,ukamuacha ukaenda kwa yule asie malaya,ukakuta jinga kabisa hata kutafuta hela ya ada ya watoto hawezi,na wanawake hawasamehi ukijnga kama huu....still mateso yale yale ni versions tu

Wanadamu ni wale wale....unaweza achika,then tumaini la kupata mwingine likaishia hewani

Soko la mwanamke alieachika kupata mume tena ni mathematically impossibility ndugu....shida watu wana emotions too much wanajisahaulisha reality

Swali ni jee,by default,maisha ya loneliness na macho ya jamii unaweza yadhibiti for the rest of your life as a woman?If you can then good for you.
 
Tombna nae Kila siku,hata akidai kuwa amechoka mlazimishe akukamue. Mkatikie Sana tena Sana kama hauwezi kukatika fanya mazoezi ya kuzungusha nyonga kweli kweli. Jitahidi Sana narudia tena jilazimishe awe anakutomb Kila siku utakuja kunishukuru
🤣🤣🤣 Anatakiwa mume akirudi toka job tayari anamkuta mbususu imeshalowa....tumie mume text sexy sexy kuwa anasubiria de libolo lake kwa hamu
 
Nimeolewa ndoa yangu ina miaka kumi, miaka yote hiyo nimekua nikiishi kwa mateso, mume wangu anahudumia familia na kila kitu, lakini ni malaya sana, anatembea mpaka na ndugu zangu.

Nimevumilia mpaka nikachoka, mwaka jana kwa hasira nikaamua kuchepuka, mwanzo nilikua na amani lakini sasa hivi sina amani kwani naona kama mume wangu haumii. Yeye anachepuka mimi najua nateseka lakini yeye hajui kama mimi nateseka.

Tumeshaitishwa vikao mpaka wametuchoka, nataka kumuumiza mume wangu, nataka ajue uchungu ninaoupitia, nataka kumuonyesha kuwa nina mwanaume mwingine, nashindwa nifanyeje, niache meseji au nipige picha nikiwa na mwanaume mwingine ili aone.

Nataka aumie kama ninavyoumia.
Ebu weka picha
 
Nmeandika nkafuta.
Hii kweli ya moto.
1. Akijua umechepuka unaachwa on the spot tena kwa aibu kua we n malaya. Kiafrika n double standard. Mwanaume n sawa, lakn mwanamke n ujinga maana unachepuka na maini na moyo na figo n.k, lakn mwanaume anachepuka na ndonga tu ndo maana bado matumizi anatoa.
2. Utapoteza muda kusuluhishwa maana ye anaonekana shababi na wewe unazidi kujiexpose tu. Sanasana atasema ameacha ili apunguze makelele lakn ukigeuza shingo n mwendo mchibuyu
3. Raise your value. Unaeza sema unavunja ndoa but ndo hivo mayb huna ramani so unaonekana umeuza bunduki ukanunua rungu. Pandisha thamani yako, fanya jata biashara ndogo ndogo, pata hela yako anza kufanya maendeleo. Lazma atajishtukia akianza kuona wewe una thamani without him.
4. Ndoa n yako, sisi huku mtandaoni tunasapoti kuachana kuliko kujenga. Kaa kwa step
Ushauri mzuri sana mkuu
 
Tambua ndoa ni mzigo/ msalaba mzito.
Mwenzako wa ndoa ni msalaba mzito.
Shetani yupo kazini kuzivunja ndoa hizi kwa kuwakamata wanandoa, ndio maana nwanaume aliyeoa ni rahisi sana kupata mwanamke/ wanawake wengine.

Ndio maana mwanamke aliyeolewa ni rahisi pia kuchepuka, lengo la urahisi huo ni mpango mkakati wa shetani kuzipiga ndoa.

Hivyo silaha pekee nikupiga magoti na kumlilia Mungu .
Pray Pray Pray
 
Kufanya kosa hakusahihishi kosa lililotangulia,isipokuwa mume wako anaweza akahukumiwa na wema wako kwake na kujiona kuwa ana kukosea anapochepuka na wanawake wa nje.
 
Back
Top Bottom