Nifanye nini? Nataka mume wangu aumie kama ninavyoumia mimi

Nifanye nini? Nataka mume wangu aumie kama ninavyoumia mimi

Kwa hili kwenda tu mahali hasa weekends unamuacha nyumbani husemi unaenda wapi ni lazima utakuja kupigwa tu...

Hakuna kitu wanaume wanachukia kupita maelezo mwanamke aondoke nyumbani anamuacha hapo sebuleni hasemi anaenda wapi wala kuaga...kingine ni arudi home usiku akute hujarudi,halafu ukirudi usiongee chochote au kujieleza....lazima akupige tu

Kwa wanaume ukifanya kitu kwa ujuaji au kwa kutokusema au kujifanya man-alone wao wanatafsiri ni kiburi na dharau,na response yao on these ni fujo mostly.

Hizi fujo zote utaziweza kweli ndugu?
Mkuu ni wazi kuwa huyu mwanaume Malaya mbwa..pengine hata kurudi nyumbani mapema ni kitendawili.sasa ili tusikwaruzane…ninajipenda mimi kwanza..

Kama ni mtu wa kurudi usiku mwingi,ndio kabisaaa..nitoka zangu huko naenda kuhave fani vizuri sana..narudi mapemaaa kabla hata yeye hajarudi nyumbani napata nafasi ya kumuandalia chakula mume wangu kama mke.lakini nitatengeneza mazingira ajue kuwa nilitoka na nikarudi bila kumwambia.(kama ni viatu,Sijui mkoba au nguo niliyoivaa anaviona kuwa vilitumika.ninahakikisha situmii kilevi chochote kile kwa kipindi choooote hicho nilichoamua kutafuta furaha ndani yangu)

Ikimuuuma saaaana na kuniulizia nilienda wapi!jua sindano imeanza kumuingia(umalaya wa kiwango cha huyu jamaa ni wazi kuwa hajali)so kipindi kingine naongeza dozi mara tatu zaidi ya pale😀😀akibahatika kuniuliza tena basi hakika kuna ki tu kipya kimemuingia na ameanza kujali😄.wakati mwingine tena hivyohivyo…so kama kweli kajali basi kaumia na atatafuta namna awahi kurudi nyumbani mapema kabla yangu ili ajue huwa naendaga wapi au nilikuwa wapi.akiyafanya yote hayo tayar mwanakondoo kaanza kurudi kundini 😀😀taratiiiiiibu kabisa tu naanza kuijenga familia.

Hakuna muda wa kupigana vijembe huko status bila sababu ya msingi mara ohoo utanikumbuka Sijui vikapanda vikashuka 😀😀off coz atakukumbuka 😀😀si alikuoa bhana…mkazaa na watoto,,so kukukumbuka hiyo ni obvious 😅😅.


Mwanaume mpigaji si wa kumvumilia kabisa Kwa karne hii..hakawii kukutia ulemavu napinga vikali mno.

Ila mwanaume malaya halafu anatimiza majukumu Yake Kwa familia…hapana sikuachi cha muhimu tunakubaliana tu” baba naona umekubuhu kwa umalaya sasa mimi na wewe kupiga game hapana kwakweli” unafunga ukurasa mnaelea watoto wenu safi kabisa😄😄

*************************************
Yote haya yanawezekana kama tu mwanamke anakipato chake mwenyewe.anajua kuitafuta pesa Yake mwenyewe.vinginevyo basi yatakuwa ni mateso.
 
Kuwa na watoto hakumaanishi ushushe utu wako na thamani yako kama mwanamke. Mume anafiki kiwango cha kugegeda ndugu zako wee bado unabaki kwa kisingizio cha watoto. Huo ni ujinga.
Kuna tofauti Kati ya kushusha utu na kuwa mnyenyekevu kamanda.asimame kama mke kuikomboa familia yake.mume sio mtu pekee anaeleta furaha na faraja katika familia kuna watoto jamani.kama mwanaume huyu ana hili…mwingine analile..

Hebu imagine anaachana na mume wake anakuja kukutana na wewe mzabzab 🙆‍♀️🙆‍♀️😆😆😆😆
 
Halafu Bado mnatuambia tuoe ndoa zenyewe ndio kama hizi ,!?

Sasa hapo sibado kuwekean sumu tu muuane
 
Ushawahi kuona/kusikia ama kufanya maongezi na mashoga zako ama kuwasikia wa2 tu katika pitapita zako wanawake mnapiga/wanapiga soga ya kuwa mtu fulani amekugegeda, amegegedwa kisha mkiwa mnajisifia?

kitulize kidude chako nyumbani utakuja kupewa zawadi ya magonjwa bure maana mwanamke anapokea magonjwa kiwepesi kuliko mwanaume
 
Mwenzio ana chepuka ndio hobby yake [emoji16] yaani ana enjoy na ndio sehemu ya maisha yake mean while wewe una chepuka kwaajili ya kumlipizia hapo Sasa kazi unayo

Maana utazidi kuteseka na kuteseka tena cuz umalaya sio Chaguo la matendo Yako ktk maisha na kwanini usiachane nae yaani Kwa Nini muishi maisha yaliyo jaa tabu kiasi hicho kiasi kwamba mnajikaribishia mstari wa kifo Kwa matendo yenu wenyewe hayo ndio maisha Gani Sasa !?
 
Kwani hao ndugu zako wanabakwa? Acha ukingo tuliza mbususu nyumbani mwisho utaliwa kaduara kama hakajaliwa ukizani unamkomoa mumeo lakini inaonekana hata wewe ni mzoefu na kahaba uliyekubuhu.Malipo hapa duniani kuwa mpole dawa iingie
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1732] ila humu dah!! [emoji119]
 
Nmeandika nkafuta.
Hii kweli ya moto.
1. Akijua umechepuka unaachwa on the spot tena kwa aibu kua we n malaya. Kiafrika n double standard. Mwanaume n sawa, lakn mwanamke n ujinga maana unachepuka na maini na moyo na figo n.k, lakn mwanaume anachepuka na ndonga tu ndo maana bado matumizi anatoa.

2. Utapoteza muda kusuluhishwa maana ye anaonekana shababi na wewe unazidi kujiexpose tu. Sanasana atasema ameacha ili apunguze makelele lakn ukigeuza shingo n mwendo mchibuyu

3. Raise your value. Unaeza sema unavunja ndoa but ndo hivo mayb huna ramani so unaonekana umeuza bunduki ukanunua rungu. Pandisha thamani yako, fanya jata biashara ndogo ndogo, pata hela yako anza kufanya maendeleo. Lazma atajishtukia akianza kuona wewe una thamani without him.

4. Ndoa n yako, sisi huku mtandaoni tunasapoti kuachana kuliko kujenga. Kaa kwa step
Eti unauza bunduki una nunua rungu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119]
 
Nawasubiri wale Me wapumbavu wanaosemaga kila Ke hupenda Me mwenye Ke wengi kingono yani "competition" waone jinsi gani Ke wanavyoumiaga kusalitiwa na sisi Me wakiwa kwenye ndoa [emoji30][emoji2960]
Sio. Wapumbavu wanawake wengi wako hivyo Nina mpaka evidence juzi tu nimetoka kuona kesi kama hizo mbili ,

Kuna wanawake wapo na toxic boys Wana waburuza Ile mbaya but still wapo nao tu na Wana wapenda mpaka basi [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
KISASI SIYO SULUHU

KUSHINDANA NA MWANAUME NI KUONGEZA matatizo.

KUCHEPUKA KWAKO HAKUWEZI KUWA SULUHU YA MATATIZO.

MKE MWEMA ANAMLILIA MUNGU... Kasome kitabu cha Mtakatifu Rita wa Kashia ujifunze kidogo wajibu wa mke mwenye mume mwenye tabia mbaya utajifunza kitu

Kama mke Unatakiwa kumlilia Mungu na kumwombea mumeo kubadiliķa kitabia na Mungu atatenda kwa kadri atakavyoona inafaa.

Usichepuke na usifanye kisasi utasababisha matatizo makubwa zaidi. Ebu pata picha mumeo akajua unachepuka akapamdwa hasira akakuua itakuwaje?

NARUDIA TENA, KISASI NI UDHAIFU.
Hallelujah 💃💃
 
Nimeolewa ndoa yangu ina miaka kumi, miaka yote hiyo nimekuwa nikiishi kwa mateso, mume wangu anahudumia familia na kila kitu, lakini ni malaya sana, anatembea mpaka na ndugu zangu.

Nimevumilia mpaka nikachoka, mwaka jana kwa hasira nikaamua kuchepuka, mwanzo nilikuwa na amani lakini sasa hivi sina amani kwani naona kama mume wangu haumii. Yeye anachepuka mimi najua nateseka lakini yeye hajui kama mimi nateseka.

Tumeshaitishwa vikao mpaka wametuchoka, nataka kumuumiza mume wangu, nataka ajue uchungu ninaoupitia, nataka kumuonyesha kuwa nina mwanaume mwingine, nashindwa nifanyeje, niache meseji au nipige picha nikiwa na mwanaume mwingine ili aone.

Nataka aumie kama ninavyoumia.
Chonga njama na watu wawavamie ucku afu wambake mmeo huku wewe ukishuhudia
 
Kuna Dadaangu mmoja tulikuwa tunafanya naye kazi naye aliumizwa weee...na Mumewe, hatimaye alifikia kikomo cha uvumilivu na kudai talaka akaachwa.

Kilichofuata yule Me alijuta kumuacha Mkewe maana alikuwa na mikosi mfululizo kazini balaa hatimaye akaukwaa kabisa UKIMWI.

Sasa hivi anatamani kurudiana na Mkewe lakini ndivyo hivyo tena bahati mbaya ni muathirika wa ngwengwe.... [emoji26]
Mara nyingi Huwa Iko hivi ijapokuwa sio Kwa watu wote ,

Huyo jamaa alikuwa hajui kuwa mkewe na Yeye Nyota zako valid so akashindwa kutambua umuhimu wake
 
Huna sifa za kuwa mke, ndoa ni uvumilivu na subira
 
Nmeandika nkafuta.
Hii kweli ya moto.
1. Akijua umechepuka unaachwa on the spot tena kwa aibu kua we n malaya. Kiafrika n double standard. Mwanaume n sawa, lakn mwanamke n ujinga maana unachepuka na maini na moyo na figo n.k, lakn mwanaume anachepuka na ndonga tu ndo maana bado matumizi anatoa.

2. Utapoteza muda kusuluhishwa maana ye anaonekana shababi na wewe unazidi kujiexpose tu. Sanasana atasema ameacha ili apunguze makelele lakn ukigeuza shingo n mwendo mchibuyu

3. Raise your value. Unaeza sema unavunja ndoa but ndo hivo mayb huna ramani so unaonekana umeuza bunduki ukanunua rungu. Pandisha thamani yako, fanya jata biashara ndogo ndogo, pata hela yako anza kufanya maendeleo. Lazma atajishtukia akianza kuona wewe una thamani without him.

4. Ndoa n yako, sisi huku mtandaoni tunasapoti kuachana kuliko kujenga. Kaa kwa step
Namba 3 & 4..mkuu you nailed it 📌📌
 
Mpuuze
Usiondoke
Jipende
Fanya yanayokufurahisha
Usitoe unyumba
Jali familia kiujumla

Subiri hadi siku utampenda mtu mwingine ndio mfanye yenu
Na iwe siri tu wala usipanie wala usimuonyeshe
Lengo ni kusuuza moyo wako na kurudisha furaha yako...

Ukiacha kumfuatilia na kuwa na furaha ndio yeye ataanza kuumia
 
poSi bora hata wewe unaweza kuchepuka?, means you are young and attractive, wenzako hawawezil

pole sana mkuu, mimi nakushauri uachane na mumeo,

huu muda unaoumaliza kutafta kumuumiza mumeo ungejiweka available and right person angekuja kwenye maisha yako,

Acha kujibamiza ukutani mkuu and stop being in unhealthy relationship, psychological damage ya kukaa kwenye unhealthy relationship consequences zake zinaweza kuwa kubwa zaidi na ukapoteza kila kitu...

Tatizo Kingsmann anamwagaga madini humu ila lakini hili sijamuona, mnaweza mkaanza future pamoja,lol.

.
Right and available person ya nioo....

Utadhani wanaokotwa barabarani kirejareja


Muda mwingine suluhu sio kuachana bali kuboresha mtizamo
 
Kuna Dadaangu mmoja tulikuwa tunafanya naye kazi naye aliumizwa weee...na Mumewe, hatimaye alifikia kikomo cha uvumilivu na kudai talaka akaachwa.

Kilichofuata yule Me alijuta kumuacha Mkewe maana alikuwa na mikosi mfululizo kazini balaa hatimaye akaukwaa kabisa UKIMWI.

Sasa hivi anatamani kurudiana na Mkewe lakini ndivyo hivyo tena bahati mbaya ni muathirika wa ngwengwe.... [emoji26]
Umeandika uongo tupu.
 
Kuna tofauti Kati ya kushusha utu na kuwa mnyenyekevu kamanda.asimame kama mke kuikomboa familia yake.mume sio mtu pekee anaeleta furaha na faraja katika familia kuna watoto jamani.kama mwanaume huyu ana hili…mwingine analile..

Hebu imagine anaachana na mume wake anakuja kukutana na wewe mzabzab 🙆‍♀️🙆‍♀️😆😆😆😆
Tena akikutana na mtu kama mie mzabzab mbona ata enjoy. Maana mie sina siasa naongea ukweli wa mambo.

Huwezi kuwapa watoto furaha wakati wewe mwenyewe huna furaha. Hilo nakataa kabisa. Pili kuna suala la magonjwa...huyo mumeo akiukwa huko unadhani atakuacha hivi hivi lazima akuambukize so hapo madhara tena kwako na watoto.

Tuwe wakweli wanawake wengi hawaondoki kwenye ndoa zao kwa sababu ya utegemezi kwa mume period.
 
Nimeolewa ndoa yangu ina miaka kumi, miaka yote hiyo nimekuwa nikiishi kwa mateso, mume wangu anahudumia familia na kila kitu, lakini ni malaya sana, anatembea mpaka na ndugu zangu.

Nimevumilia mpaka nikachoka, mwaka jana kwa hasira nikaamua kuchepuka, mwanzo nilikuwa na amani lakini sasa hivi sina amani kwani naona kama mume wangu haumii. Yeye anachepuka mimi najua nateseka lakini yeye hajui kama mimi nateseka.

Tumeshaitishwa vikao mpaka wametuchoka, nataka kumuumiza mume wangu, nataka ajue uchungu ninaoupitia, nataka kumuonyesha kuwa nina mwanaume mwingine, nashindwa nifanyeje, niache meseji au nipige picha nikiwa na mwanaume mwingine ili aone.

Nataka aumie kama ninavyoumia.
Unataka kujichanganya dada angu sumu haionjwi,

Nasema hivyo kwasababu mwanaume malaya akimjua mkewake na akawa na udhibitisho patachimbika hakka

kama umeamua kulipiza endelea kupigwa mbususu haya mambo ya kutaka ajue unatafuta mambo mengne,
 
Back
Top Bottom