Kalaga Baho Nongwa
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 9,953
- 23,150
Mtunuku ndugu yake.. Potea hata wiki, Au piga threesome (beyond of his expectation)
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eti digidigi[emoji38]Kweli kbsa.
Lakn by necha wanaume hua tuna kaustaarabu pale tunapoona huyu mwanamke ana value kubwa kwetu rather than jus punani. Huyo tunaogopa kumpoteza.
But tukikosa amani ndani ya nyumba, ikitokea digidigi huko nje n mwendo wa "sukuma ndani" ukuni
Umeongea UKWELI mtupu,Ntakueleza Story ya Sister angu kwa Ufupi, kama itakusaidia fanya alivyofanya, kama haitakusaidia, endelea na njia zako!
Sister angu kaolewa na Mwanaume ambaye walianza Uchumba wakiwa Vijana, Mungu akafungua milango Mme wake akapata pesa mpaka sasa ni Tajiri Mkubwa...!
Miaka ya nyuma akagundua Mme wake ana kamchepuko, ikawa ni Ugomvi kila siku, mmewe mtu wa Mitungi, kurudi saa 6 usiku saa 8 Usiku kawaida, japo anasema pamoja na Mmewe kuchepuka hajawahi kulala nje!
Kuna siku anasema akaanza kujiuliza, Mbona Mumewe ana hudumia familia Vizuri, kamnunulia Gari ya kutembelea, Maendeleo anayaona siku mpaka siku, anamshirikisha kwenye Biashara zake, kamfungulia Biashara, anasomesha Watoto shule za gharama, kwani yeye kama Mwanamke anataka nini zaidi....!?
Akaona Vurugu zote alizokua anafanya ni Ujinga, akaamua kuacha kumfatilia, akirudi saa 6 hewala, akienda kushinda na mchepuko wake siku nzima shauri yake, Muhimu anajari familia yake!
Toka achukue uamuzi huo amekua na Amani, ana enjoy Maisha yake na Mmewe na familia yake!!!
NB.
Kama Mumeo angekua haudumii familia, hafu kazi ni kubadirisha michepuko, hapo ingekua tatizo!
Kama anahudumia familia.....! Usishindane na Mwanaume, angalia mambo ya familia yako kama yanaenda!
Afuate maneno yako, ayafikirie zaid [emoji1666]jiandae kuachwa pia pindi akigundua
mbaya zaidi anaweza asiumie, ila akakutimua. ukaumia wewe mara 2
Nimeolewa ndoa yangu ina miaka kumi, miaka yote hiyo nimekua nikiishi kwa mateso, mume wangu anahudumia familia na kila kitu, lakini ni malaya sana, anatembea mpaka na ndugu zangu.
Nimevumilia mpaka nikachoka, mwaka jana kwa hasira nikaamua kuchepuka, mwanzo nilikua na amani lakini sasa hivi sina amani kwani naona kama mume wangu haumii. Yeye anachepuka mimi najua nateseka lakini yeye hajui kama mimi nateseka.
Tumeshaitishwa vikao mpaka wametuchoka, nataka kumuumiza mume wangu, nataka ajue uchungu ninaoupitia, nataka kumuonyesha kuwa nina mwanaume mwingine, nashindwa nifanyeje, niache meseji au nipige picha nikiwa na mwanaume mwingine ili aone.
Nataka aumie kama ninavyoumia.
Ungekuwa unachepuka kimyakimya tungechekiana ili unichepukie ila tatizo unataka mara sijui picha au video ili umkomoe hapo hapana.Nimeolewa ndoa yangu ina miaka kumi, miaka yote hiyo nimekua nikiishi kwa mateso, mume wangu anahudumia familia na kila kitu, lakini ni malaya sana, anatembea mpaka na ndugu zangu.
Nimevumilia mpaka nikachoka, mwaka jana kwa hasira nikaamua kuchepuka, mwanzo nilikua na amani lakini sasa hivi sina amani kwani naona kama mume wangu haumii. Yeye anachepuka mimi najua nateseka lakini yeye hajui kama mimi nateseka.
Tumeshaitishwa vikao mpaka wametuchoka, nataka kumuumiza mume wangu, nataka ajue uchungu ninaoupitia, nataka kumuonyesha kuwa nina mwanaume mwingine, nashindwa nifanyeje, niache meseji au nipige picha nikiwa na mwanaume mwingine ili aone.
Nataka aumie kama ninavyoumia.
Ana mchepuko wake humu ninda unaitwa Kingsmann so mm namshauri aendele nao au sio wajamen....Ungekuwa unachepuka kimyakimya tungechekiana ili unichepukie ila tatizo unataka mara sijui picha au video ili umkomoe hapo hapana.
Kimyakimya sawa nitafute pm
[emoji117][emoji13][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ukitaka usichepuke rais sana life style hii ukitoka mihangaiko nenda kwako kacheze watoto kama unao kama huna kacheze na mkeo ,au pitia kibanda umiza kucheck mpira lakini sijui unaenda bar huko ndo balaa
Naunganisha codes nimeshakujua we Jamaa, tena ni Rafiki yangu wa karibu sana kama Ndugu uko jijini Dar [emoji6][emoji847][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ukitaka usichepuke rais sana life style hii ukitoka mihangaiko nenda kwako kacheze watoto kama unao kama huna kacheze na mkeo ,au pitia kibanda umiza kucheck mpira lakini sijui unaenda bar huko ndo balaa
Usifanye chochote tafadhali.. Wakati si milele.. Utafika wakati hawezi kuchepuka tena kwa sababu zozote zile halafu ndio itakuwa wakati wake wa kujuta na kusaga meno mpaka mdomo uumeNimeolewa ndoa yangu ina miaka kumi, miaka yote hiyo nimekua nikiishi kwa mateso, mume wangu anahudumia familia na kila kitu, lakini ni malaya sana, anatembea mpaka na ndugu zangu.
Nimevumilia mpaka nikachoka, mwaka jana kwa hasira nikaamua kuchepuka, mwanzo nilikua na amani lakini sasa hivi sina amani kwani naona kama mume wangu haumii. Yeye anachepuka mimi najua nateseka lakini yeye hajui kama mimi nateseka.
Tumeshaitishwa vikao mpaka wametuchoka, nataka kumuumiza mume wangu, nataka ajue uchungu ninaoupitia, nataka kumuonyesha kuwa nina mwanaume mwingine, nashindwa nifanyeje, niache meseji au nipige picha nikiwa na mwanaume mwingine ili aone.
Nataka aumie kama ninavyoumia.
Mtumie video ukiwa unanyanduliwa.Nimeolewa ndoa yangu ina miaka kumi, miaka yote hiyo nimekua nikiishi kwa mateso, mume wangu anahudumia familia na kila kitu, lakini ni malaya sana, anatembea mpaka na ndugu zangu.
Nimevumilia mpaka nikachoka, mwaka jana kwa hasira nikaamua kuchepuka, mwanzo nilikua na amani lakini sasa hivi sina amani kwani naona kama mume wangu haumii. Yeye anachepuka mimi najua nateseka lakini yeye hajui kama mimi nateseka.
Tumeshaitishwa vikao mpaka wametuchoka, nataka kumuumiza mume wangu, nataka ajue uchungu ninaoupitia, nataka kumuonyesha kuwa nina mwanaume mwingine, nashindwa nifanyeje, niache meseji au nipige picha nikiwa na mwanaume mwingine ili aone.
Nataka aumie kama ninavyoumia.