Anita Makirita
JF-Expert Member
- Jul 16, 2021
- 1,341
- 2,121
kwahiyo wewe ukajua ndoa ni free style😂😂😂. Ndio maana zikaitwa ndoa za mchongo sikuizi, wewe nani kakwambia ukiolewa unaishi kama msela. Sasa siubaki bachelor tujue. Simwanaume wala mwanamke wote wapo kifungoni. Ndoa sio dating wala courtship 😂😂
huyo mwanaume ndio anaishi kama msela na si kweli yuko kifungoni, anafanya analotaka, huyu mwanamke ndio yupo kifungoni.
Eti ndoa sio dating wala courtship, hujielewi mkuu...au wewe ndoa yako ilikua ya mkeka,uliozeshwa tu? na hujui hizo ni process tu za kuelekea ndoani.