Nifanye nini ndevu zisiote kabisa au zichukue muda mrefu kuota?

Nifanye nini ndevu zisiote kabisa au zichukue muda mrefu kuota?

Homoni hizo zipo inavyotakiwa .. Ndio urijali huo baba ..Dawa ni kuongeza homoni za kike , kuacha hiyo kazi au kuendelea unavyofanya kila siku
πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
 
Wakuu Habarini.
Nna issue moja inanisumbua sana nimeona nije hapa nipate ufumbuzi.

Nina tatizo la kuota ndevu kwa haraka sana nadhani kuliko binadamu wa kawaida yoyote.

Bahati mbaya sana kazi ninayoifanya inanilazimu nisiwe na Ndevu. Hivyo maisha yangu yote yametawaliwa na kunyoa ndevu tuu

Yani nikinyoa ndevu saa mbili usiku hadi kufika asubuhi saa 12 ni kama sikunyoa ndevu kabisa

Yani nikilala usiku nazisikia kabisa ndevu zinaota

Imefika kipindi inanibidi niwe nanyoa kila asubuhi ili nikienda kazini niwe Nadhifu.

Naomba msaa nifanye nini ili ndevu zisiote kabisa au laa kupunguza tatizo.

Natanguliza shukrani.
Dawa ssa si unayo ushajua kwamba ukinyoa ukilala ukiamka zineota tena bc we nyoa half usiwe unalala uwe unakesha macho amin Hazitaota tena au una swar la ziada tena apo
 
Jarbu hii
Screenshot_20200612-214220_1592235024467.jpg
 
Wakuu Habarini.
Nna issue moja inanisumbua sana nimeona nije hapa nipate ufumbuzi.

Nina tatizo la kuota ndevu kwa haraka sana nadhani kuliko binadamu wa kawaida yoyote.

Bahati mbaya sana kazi ninayoifanya inanilazimu nisiwe na Ndevu. Hivyo maisha yangu yote yametawaliwa na kunyoa ndevu tuu

Yani nikinyoa ndevu saa mbili usiku hadi kufika asubuhi saa 12 ni kama sikunyoa ndevu kabisa

Yani nikilala usiku nazisikia kabisa ndevu zinaota

Imefika kipindi inanibidi niwe nanyoa kila asubuhi ili nikienda kazini niwe Nadhifu.

Naomba msaa nifanye nini ili ndevu zisiote kabisa au laa kupunguza tatizo.

Natanguliza shukrani.
Umeshapata solution?
 
Wakuu Habarini.
Nna issue moja inanisumbua sana nimeona nije hapa nipate ufumbuzi.

Nina tatizo la kuota ndevu kwa haraka sana nadhani kuliko binadamu wa kawaida yoyote.

Bahati mbaya sana kazi ninayoifanya inanilazimu nisiwe na Ndevu. Hivyo maisha yangu yote yametawaliwa na kunyoa ndevu tuu

Yani nikinyoa ndevu saa mbili usiku hadi kufika asubuhi saa 12 ni kama sikunyoa ndevu kabisa

Yani nikilala usiku nazisikia kabisa ndevu zinaota

Imefika kipindi inanibidi niwe nanyoa kila asubuhi ili nikienda kazini niwe Nadhifu.

Naomba msaa nifanye nini ili ndevu zisiote kabisa au laa kupunguza tatizo.

Natanguliza shukrani.
Mkuu wewe una haja ya kutaka zisiote wewe nyoa ama trim kwa syle nzuri au zipungze sasa unakataa ndevu zisiot ena huku ndo uanaume huo kuna watu hawana hata kidogo wanavaa mawigi come on man have some self respect
 
Ndevu ni kazi ya hormone ya testosterone ambayo inatoka kwenye korodani. Ukitoa korodani, hutakuwa na testosterone. Na hautakuwa na ndevu.
Wakuu Habarini.
Nna issue moja inanisumbua sana nimeona nije hapa nipate ufumbuzi.

Nina tatizo la kuota ndevu kwa haraka sana nadhani kuliko binadamu wa kawaida yoyote.

Bahati mbaya sana kazi ninayoifanya inanilazimu nisiwe na Ndevu. Hivyo maisha yangu yote yametawaliwa na kunyoa ndevu tuu

Yani nikinyoa ndevu saa mbili usiku hadi kufika asubuhi saa 12 ni kama sikunyoa ndevu kabisa

Yani nikilala usiku nazisikia kabisa ndevu zinaota

Imefika kipindi inanibidi niwe nanyoa kila asubuhi ili nikienda kazini niwe Nadhifu.

Naomba msaa nifanye nini ili ndevu zisiote kabisa au laa kupunguza tatizo.

Natanguliza shukrani.
 
Back
Top Bottom