dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
π π π π π πHomoni hizo zipo inavyotakiwa .. Ndio urijali huo baba ..Dawa ni kuongeza homoni za kike , kuacha hiyo kazi au kuendelea unavyofanya kila siku
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
π π π π π πHomoni hizo zipo inavyotakiwa .. Ndio urijali huo baba ..Dawa ni kuongeza homoni za kike , kuacha hiyo kazi au kuendelea unavyofanya kila siku
Dawa ssa si unayo ushajua kwamba ukinyoa ukilala ukiamka zineota tena bc we nyoa half usiwe unalala uwe unakesha macho amin Hazitaota tena au una swar la ziada tena apoWakuu Habarini.
Nna issue moja inanisumbua sana nimeona nije hapa nipate ufumbuzi.
Nina tatizo la kuota ndevu kwa haraka sana nadhani kuliko binadamu wa kawaida yoyote.
Bahati mbaya sana kazi ninayoifanya inanilazimu nisiwe na Ndevu. Hivyo maisha yangu yote yametawaliwa na kunyoa ndevu tuu
Yani nikinyoa ndevu saa mbili usiku hadi kufika asubuhi saa 12 ni kama sikunyoa ndevu kabisa
Yani nikilala usiku nazisikia kabisa ndevu zinaota
Imefika kipindi inanibidi niwe nanyoa kila asubuhi ili nikienda kazini niwe Nadhifu.
Naomba msaa nifanye nini ili ndevu zisiote kabisa au laa kupunguza tatizo.
Natanguliza shukrani.
Umeshapata solution?Wakuu Habarini.
Nna issue moja inanisumbua sana nimeona nije hapa nipate ufumbuzi.
Nina tatizo la kuota ndevu kwa haraka sana nadhani kuliko binadamu wa kawaida yoyote.
Bahati mbaya sana kazi ninayoifanya inanilazimu nisiwe na Ndevu. Hivyo maisha yangu yote yametawaliwa na kunyoa ndevu tuu
Yani nikinyoa ndevu saa mbili usiku hadi kufika asubuhi saa 12 ni kama sikunyoa ndevu kabisa
Yani nikilala usiku nazisikia kabisa ndevu zinaota
Imefika kipindi inanibidi niwe nanyoa kila asubuhi ili nikienda kazini niwe Nadhifu.
Naomba msaa nifanye nini ili ndevu zisiote kabisa au laa kupunguza tatizo.
Natanguliza shukrani.
Kama hela ipo? vijana wangu wataleta chapchap!
Mkuu wewe una haja ya kutaka zisiote wewe nyoa ama trim kwa syle nzuri au zipungze sasa unakataa ndevu zisiot ena huku ndo uanaume huo kuna watu hawana hata kidogo wanavaa mawigi come on man have some self respectWakuu Habarini.
Nna issue moja inanisumbua sana nimeona nije hapa nipate ufumbuzi.
Nina tatizo la kuota ndevu kwa haraka sana nadhani kuliko binadamu wa kawaida yoyote.
Bahati mbaya sana kazi ninayoifanya inanilazimu nisiwe na Ndevu. Hivyo maisha yangu yote yametawaliwa na kunyoa ndevu tuu
Yani nikinyoa ndevu saa mbili usiku hadi kufika asubuhi saa 12 ni kama sikunyoa ndevu kabisa
Yani nikilala usiku nazisikia kabisa ndevu zinaota
Imefika kipindi inanibidi niwe nanyoa kila asubuhi ili nikienda kazini niwe Nadhifu.
Naomba msaa nifanye nini ili ndevu zisiote kabisa au laa kupunguza tatizo.
Natanguliza shukrani.
Kabisaaaa!!!.Nasoma Uzi huu huk nashika ndevu hakika wanaume tutabak wachache
Wakuu Habarini.
Nna issue moja inanisumbua sana nimeona nije hapa nipate ufumbuzi.
Nina tatizo la kuota ndevu kwa haraka sana nadhani kuliko binadamu wa kawaida yoyote.
Bahati mbaya sana kazi ninayoifanya inanilazimu nisiwe na Ndevu. Hivyo maisha yangu yote yametawaliwa na kunyoa ndevu tuu
Yani nikinyoa ndevu saa mbili usiku hadi kufika asubuhi saa 12 ni kama sikunyoa ndevu kabisa
Yani nikilala usiku nazisikia kabisa ndevu zinaota
Imefika kipindi inanibidi niwe nanyoa kila asubuhi ili nikienda kazini niwe Nadhifu.
Naomba msaa nifanye nini ili ndevu zisiote kabisa au laa kupunguza tatizo.
Natanguliza shukrani.