Nifanye nini ndevu zisiote kabisa au zichukue muda mrefu kuota?

Nifanye nini ndevu zisiote kabisa au zichukue muda mrefu kuota?

Wakati huo huo mimi apa![emoji4]
beardman_store.tz_CAWy3sjgkR0.jpg
 
Dah! Maisha haya bhana... Hadi Mungu anatushangaa binadamu tunataka nini?
Nairobi, Turkey na India sasa wanafanya Hair Transplantation kwa ajili ya kusaidia watu kuota nywele na ndevu. Mtu analipia Dollar 3,000 , ambayo kibongobongo ni kama Tsh 7,050,000 hivi. Kuna waturuki waliniomba ushauri mwaka 2016/2017 kuhusu kuanzisha hicho kituo hapa Bongo nikawashauri watulie kwanza maana kwa sasa hakuna Mchaga au Msambaa atakayetoa Tsh 7,000,000 ili aote ndevu - demand bado ilikuwa ndogo.

Any way, kama ndevu zako ni nyingi sana kiasi cha kukuharibia pozi basi angalia style nzuri ya kuzifuga kama kazi yako inaruhusu. Ila kama mazingira yako hayaruhusu kufuga basi jitahidi tu kunyoa kila week end ili jumatatu uende kazini ukiwa smart.

Kama unazichukia sana unaweza kucheki na madaktari wakakusaidia kuangalia kiasi chako cha homoni za kiume na kuziweka sawa kama zipo nyingi sana na ndizo zinachochea ndevu kukua haraka. Kama ni homoni basi nadhani na nguvu za kiume utakuwa nazo nyingi sana pia, kwa hiyo ukihitahi kuzipunguza mwambie kabisa daktari.

Kuna Laser treatment pia ambayo hutumika kwenye shina la nywele na kuzuia zisiote kabisa. Corona ikitulia na Madege yakianza kupaa nenda zako India kaka. Ni hela ndogo tu nadhani haizidi Millioni 20, na ukifanya mara moja tu ndio basi maisha yako yote hazioti.

Kila la kheri!
 
Wengi wakiwa watoto hua wanapenda waote ndevu lakini ndevu zikianza anaanza pia kuzichukia....Y?
 
Mie natafuta hata mafuta ya ku boost ndevu zangu. Ziko so patchy na nikinyoa zote naonekana kama nina 18 years old !🤣🤣🤣
 
Mkuu katika Maumbike ya mwanadamu, hakuna aliyeumbwa perfect. Kila mtu unakuta anakiungo labda jimezid au kimepungua. Kunawenzako wanalilia ndevu.

Sasa ushaur waku ni kupambana tu na hali yako .
 
Mie natafuta hata mafuta ya ku boost ndevu zangu. Ziko so patchy na nikinyoa zote naonekana kama nina 18 years old ![emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]mwenye nacho huongezewa.

Sema wabongo wengi wanaume hamna desturi ya kushave ndevu wenyewe mpaka muende saloon. Kama una midevu hapo kila wiki saloon
 
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]mwenye nacho huongezewa.

Sema wabongo wengi wanaume hamna desturi ya kushave ndevu wenyewe mpaka muende saloon. Kama una midevu hapo kila wiki saloon
Ukiwa na vile vifaa vinavyohitajika inakuwa poa ila kama huna unaeza ukafosi ukajitoa mapele tu.
 
Dah! Maisha haya bhana... Hadi Mungu anatushangaa binadamu tunataka nini?
Nairobi, Turkey na India sasa wanafanya Hair Transplantation kwa ajili ya kusaidia watu kuota nywele na ndevu. Mtu analipia Dollar 3,000 , ambayo kibongobongo ni kama Tsh 7,050,000 hivi. Kuna waturuki waliniomba ushauri mwaka 2016/2017 kuhusu kuanzisha hicho kituo hapa Bongo nikawashauri watulie kwanza maana kwa sasa hakuna Mchaga au Msambaa atakayetoa Tsh 7,000,000 ili aote ndevu - demand bado ilikuwa ndogo.

Any way, kama ndevu zako ni nyingi sana kiasi cha kukuharibia pozi basi angalia style nzuri ya kuzifuga kama kazi yako inaruhusu. Ila kama mazingira yako hayaruhusu kufuga basi jitahidi tu kunyoa kila week end ili jumatatu uende kazini ukiwa smart.

Kama unazichukia sana unaweza kucheki na madaktari wakakusaidia kuangalia kiasi chako cha homoni za kiume na kuziweka sawa kama zipo nyingi sana na ndizo zinachochea ndevu kukua haraka. Kama ni homoni basi nadhani na nguvu za kiume utakuwa nazo nyingi sana pia, kwa hiyo ukihitahi kuzipunguza mwambie kabisa daktari.

Kuna Laser treatment pia ambayo hutumika kwenye shina la nywele na kuzuia zisiote kabisa. Corona ikitulia na Madege yakianza kupaa nenda zako India kaka. Ni hela ndogo tu nadhani haizidi Millioni 20, na ukifanya mara moja tu ndio basi maisha yako yote hazioti.

Kila la kheri!
Kuna watu hawana ndevu kabisa...Je hawana nguvu za kiume?
 
Dah! Maisha haya bhana... Hadi Mungu anatushangaa binadamu tunataka nini?
Nairobi, Turkey na India sasa wanafanya Hair Transplantation kwa ajili ya kusaidia watu kuota nywele na ndevu. Mtu analipia Dollar 3,000 , ambayo kibongobongo ni kama Tsh 7,050,000 hivi. Kuna waturuki waliniomba ushauri mwaka 2016/2017 kuhusu kuanzisha hicho kituo hapa Bongo nikawashauri watulie kwanza maana kwa sasa hakuna Mchaga au Msambaa atakayetoa Tsh 7,000,000 ili aote ndevu - demand bado ilikuwa ndogo.

Any way, kama ndevu zako ni nyingi sana kiasi cha kukuharibia pozi basi angalia style nzuri ya kuzifuga kama kazi yako inaruhusu. Ila kama mazingira yako hayaruhusu kufuga basi jitahidi tu kunyoa kila week end ili jumatatu uende kazini ukiwa smart.

Kama unazichukia sana unaweza kucheki na madaktari wakakusaidia kuangalia kiasi chako cha homoni za kiume na kuziweka sawa kama zipo nyingi sana na ndizo zinachochea ndevu kukua haraka. Kama ni homoni basi nadhani na nguvu za kiume utakuwa nazo nyingi sana pia, kwa hiyo ukihitahi kuzipunguza mwambie kabisa daktari.

Kuna Laser treatment pia ambayo hutumika kwenye shina la nywele na kuzuia zisiote kabisa. Corona ikitulia na Madege yakianza kupaa nenda zako India kaka. Ni hela ndogo tu nadhani haizidi Millioni 20, na ukifanya mara moja tu ndio basi maisha yako yote hazioti.

Kila la kheri!
😀😀😀 20Milioni? Nadhani nitaziacha tu. Tatizo zinaota haraka sana, tangu nimeandika huu uzi nimeshanyoa ndevu zaidi ya x4. Na hapa kesho inabidi nikanyoe pia.
 
Back
Top Bottom